Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,087
- 34,884
Wanakuwa ni watamu sana unawakaanga hao kwa moto bası unakula kam unavyokula kamba kochi wana raha sana kuliwa hao jaribu utaona.Miaka 40 ilopita bado unakumbuka ladha yake...Naona wanasifiwa sana itabidi na mm nionje...Lkn ukitafuna ule utumbo/ mweupe wanaokuwa nao insects inakuwaje unauhisi mdomoni 😕