Na Mvua Hizi Ntawakamata Wengi....!!!

Na Mvua Hizi Ntawakamata Wengi....!!!

kumradhi akina nshomire ila hawa wadudu walishawahi kunitapisha nilihisi nakufa...sirudii!
 
halafu mimi si hadi wapikwe hata hivi hivi nakamata nang'oa mabawa natafuna!
 
Hahaha....nimewala nikiwa mdogo, ukubwani sidhani kama nishawahi kula.

mimi pia.....ila niliwala usiku wa kuamkia leo kwenye ndoto.....hivi Dr sio kwamba nilikuwa nalogwa........?.....kumbikumbi usingizini jamani......
 
Hahaha...Dr hiyo ndoto yako maana yake utabarikiwa chakula kingi kama wingi wa kumbikumbi na utakula hadi kusaza....

Sijui nimepatia Dr...!!!

mimi pia.....ila niliwala usiku wa kuamkia leo kwenye ndoto.....hivi Dr sio kwamba nilikuwa nalogwa........?.....kumbikumbi usingizini jamani......
 
hao wadudu ni najisi kwamujibu wa BIBLIA Mambo ya Walawi 11 : 20 - 23. Tena vyote vitambaavyo vyenyemabawa viendavyo kwa miguu minne hivi ni machukizo kwenu,
 
Mmmh... Nilikuwa nawapenda hao wadudu nikiwa mdogo ila siku ya graduation ya primary walichonifanyia hao wadudu siwapendi mpaka kufa!!
 
Hawa jamaa wanajua sana mapenzi. Ndio maana utasikia watu wakisema; Mmegandana kama kumbikumbi.
 
Hahaha...Dr hiyo ndoto yako maana yake utabarikiwa chakula kingi kama wingi wa kumbikumbi na utakula hadi kusaza....

Sijui nimepatia Dr...!!!

mmmmh......naomba iwe hivyo......ila hiyo yenye kumbix2 Dr.....ingekuwa ice cream basi au........black forest gateau........
 
Back
Top Bottom