Penny
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 575
- 48
Za leo jamani, mimi natabia moja sijui ni mbaya au la naombeni mnishauri. Kwa kweli Mr. kunikasirisha au kunuka pombe nilazima nilae mzungu wa nne ndopo ninapopata usingizi. Je mlalo huu ni mbaya mnapokuwa mmeudhiana na kama mwenza hana time yakujua what is the problem?