Mzungu Omba Omba ndani ya Dar

Mzungu Omba Omba ndani ya Dar

Wabongo bwana,kila mtasha tunaona kama ni tajiri sana na amezaliwa ulaya,huyo atakua amezaliwa na machangudoa wa kule kinondoni makaburini mtasha alienda kutafuta dozi akampata mdada wa bongo mara mdada kapatakitu kazaa mtoto anafanana na baba yake,mtoto kawa mkubwa kaja nssf kakupiga bao ukampatia donge nono kwa sababu ya rangi yake.Baada ya hapo mtoto kaona kumbe kwa kuwa na ile rangi na ungenge kidogo anavuta hela kilaini.Kweli rangi za wazungu zinaeshimika.
Sijui nani kawadanganya kuhusu wazungu au ngozi nyeupe ndio wenye neema?
Nawapenda wa Kenya!
 
Mi natafuta shamba boy nyumbani kwangu ukimuona tena mpe taarifa kuna mifugo pia inahitaji kuhudumiwa nitamtoa vizuri tu hata ikibidi nitampa banda la uwani awe analala mazee!!
bei yake utaiweza? Maana humlipi mtu. Unailipa rangi yake!
 
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha

Wamejaa kila kona ya jiji especially how eastern Europeans
 
Sio ajabu mzungu kukosa pesa.
Ila sasa hivi kuna wazungu wengi matapeli hapa Dar.
Mtoa mada kafanya vizuri kutahadharisha wasiojua wajue.
Pia yupo mzungu fulani anatembea madukani na dollar feki hapa Dar.
 
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha

This is a New Type of Investment; Kapitia TIC kwa ajili ya uwekezaji wa kuomba. BEGGARS' INVESTMENT COMPANY LTD (BIC)
 
Wazungu wamesaidia wangapi bana wee? mimi akiniomba kama ninacho nampa kwa moyo. Mi kuna mmdada alikua anomba kutumia computer yangu somewhere na mimi nilikua namsaidia ni mwanafunzi aliibuka maeneo hayo akifanya research na enzi hizo hakukua na mambo ya moderm so internet ilikua ni issue huko pembezon. Basi nikawa namsaidia na akawa anasema yeye ni mcanada kumbe at last nilijua nilikua namsaidia m-Israel for long time unaware. Baada ya yeye kuondoka ndo nilikuja kujua baadae sana kutoka source zingine. To me niliiona kama ni blessing kwani sikutegemea kuna siku m-israel angekua chini ya dari yangu kuomba kusaidiwa. Nawashauri saidia any one if you have it course biblia imesema ni kwa kusaidia wageni hata watu wa zamani waliwakaribisha malaika bila wao kujua.
 
Sio ajabu mzungu kukosa pesa.
Ila sasa hivi kuna wazungu wengi matapeli hapa Dar.
Mtoa mada kafanya vizuri kutahadharisha wasiojua wajue.
Pia yupo mzungu fulani anatembea madukani na dollar feki hapa Dar.

umeona ehee hali ya kiuchumi globally tete
 
Hao wapolish.romania na bosnian siku hizi ni km wachina.wako kila mahali na wanafanya kila kitu kupata pesa.umalaya,usenge ujambazi kuomba omba.kila kitu
 
Wewe ni xenophobic. Yule mt ulipaswa kumsaidia. Kama mwanamke,ungemkaribisha myumbani kwako.



I speak to you many times,but you say the ears are ringing,got to have them fixed.

If you don't hear the telephone ring and don't pick up the receiver-how can you hear the call or know who is on the other end of the line.
 
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha

Ubalozi wa Marekani wa zamani pale Laibon Rd walikuwa na bonge la tangazo ndani kwamba hawatoi msaada wa fedha kwa raia wa Marekani walioishiwa wakiwa Tanzania.

Waliwekewa bango kabisa wasijisumbue hata kupanga mstari.
 
Kwani mtu akiwa anashida...kumsaidia hadi uangalie colour?

Shida haina adabu...remmy ongala aliimba.
 
akina dada waache tamaa,kulingana na mfumo wa dunia ulaya hakuna dili, the sky has reach the limit,now its time for africa,awake! (watakuja wengi kweli kiutapeli)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom