PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
Sijui nani kawadanganya kuhusu wazungu au ngozi nyeupe ndio wenye neema?Wabongo bwana,kila mtasha tunaona kama ni tajiri sana na amezaliwa ulaya,huyo atakua amezaliwa na machangudoa wa kule kinondoni makaburini mtasha alienda kutafuta dozi akampata mdada wa bongo mara mdada kapatakitu kazaa mtoto anafanana na baba yake,mtoto kawa mkubwa kaja nssf kakupiga bao ukampatia donge nono kwa sababu ya rangi yake.Baada ya hapo mtoto kaona kumbe kwa kuwa na ile rangi na ungenge kidogo anavuta hela kilaini.Kweli rangi za wazungu zinaeshimika.
Nawapenda wa Kenya!