Siku nyingine ukikosa nauli usitembee hadi Mwenge, kuna umbali wa kutosha. Subiri daladala ifike, piga debe kuita abiria, halafu dandia mlangoni, konda atajua wewe ni 'staff' !
Du mkuu unambinu kali.Lakini hiyo style itakua ngumu kwa mabitoz.
Siku nyingine ukikosa nauli usitembee hadi Mwenge, kuna umbali wa kutosha. Subiri daladala ifike, piga debe kuita abiria, halafu dandia mlangoni, konda atajua wewe ni 'staff' !
Jana nilikuwa najipitia zangu,nilipita pale kwenye jengo la NSSF(AKIBA)nikasimamishwa na mzungu mmoja mtu wa makamo kavalia nadhifu ,akaniuliza samahani unajua kiingereza nikasema ndio ,loo ikawa nimechokoza nyuki akaanza kuniambia ana matatizo na dada yake ,hadi sasa kaishiwa hela anaomba nimsaidie hata elfu kumi au hata elfu tano nikasema sina hiyo hela mwishowe nikamuachia elfu mbili akasema mungu akubariki ,lakini nina wasiwasi na huyo mtasha asije kuwa muongo,lakini hii ni Bongo huenda nitaonana naye tena na akaniomba kwa sababu zilezile
Mkuu hii habari ya kweli??!!
ha ha ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,wadada kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha
wapo wengi tu wall streetha ha ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,wadada kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha
atakuwa aliletwa na symbion kuja kusoma mita ya umeme watakaouzia tanzania sasa mpaka sasa hawajauza hata unit moja! Ungempelekea mh ngereja mwambie wawekezaji wako hawa na mama clinton
Jana nilikuwa najipitia zangu,nilipita pale kwenye jengo la NSSF(AKIBA)nikasimamishwa na mzungu mmoja mtu wa makamo kavalia nadhifu ,akaniuliza samahani unajua kiingereza nikasema ndio ,loo ikawa nimechokoza nyuki akaanza kuniambia ana matatizo na dada yake ,hadi sasa kaishiwa hela anaomba nimsaidie hata elfu kumi au hata elfu tano nikasema sina hiyo hela mwishowe nikamuachia elfu mbili akasema mungu akubariki ,lakini nina wasiwasi na huyo mtasha asije kuwa muongo,lakini hii ni Bongo huenda nitaonana naye tena na akaniomba kwa sababu zilezile
ila nazani huwajui vizuri hawa watu hata kidogo ndio mana wasema ivo ila laiti ngeliwajua hata nukta ya undani wa mioyo yao usingeweza kuwasalimia hata salamu na ungepigana kufa na kupona asije hata mmoja kuja kuwekeza hapo nchini ila koz huwajui ndio mana wawatetea na hakuna aliyekuja hapo kutalii hata mmoja kila unayemuona hapo kuna kilichomuleta na akikipata atasepa...............hawaji hapo bila sababu za msingi hilo weka akilini
ila nazani huwajui vizuri hawa watu hata kidogo ndio mana wasema ivo ila laiti ngeliwajua hata nukta ya undani wa mioyo yao usingeweza kuwasalimia hata salamu na ungepigana kufa na kupona asije hata mmoja kuja kuwekeza hapo nchini ila koz huwajui ndio mana wawatetea na hakuna aliyekuja hapo kutalii hata mmoja kila unayemuona hapo kuna kilichomuleta na akikipata atasepa...............hawaji hapo bila sababu za msingi hilo weka akilini
aliingiaje nchini?
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha