Mzungu Omba Omba ndani ya Dar

Mzungu Omba Omba ndani ya Dar

huyo mzungu namjua,ni tapeli tu kuna watu wanamuhurumia kwa maelezo yake feki wanamtoa! Huruma zetu hizi!
 
mimi bana sitoi pesa kamwe nakupatia huduma tu uliyoomba kutokana na maelezo ya shida yako,kama ni nauli namfata konda nampa nakwambia ingia kwenye gari! Kama una njaa nakupeleka hotelini nakununulia chakula.mia
 
aliingiaje nchini?

kazaliwa hapahapa
dingi yake alikuwa
mtengeneza barabara kamwacha mama
na mimba ye kasepa zake mtoto kazaliwa mzungu nna mama alikuwa mama ntilie.hana kitu
hahahahahahahahahah
 
Duuh huyu jamaa kweli ni omba omba maana mimi nilishakutana naye kama miezi mitatu iliyopita pale Kisutu ilipokuwa stand ya mabasi... Nilikuwa kwenye gari namsubiri jamaa yangu mmoja akaja akanigongea dirisha... Nikamfungulia, akanisalimia na kuniuliza kama nazungumza kizungu, nikamjibu ndio... Akanipa story kama ya jamaa alivyosema kuwa cards zake sijui za Bank of America zimekuwa blocked ilibidi awasiliane na bank huko USA...
Kwa kuwa alijitambulisha anatoka USA na mimi ndio nimerudi toka huko sio muda mrefu sana nikamuonea huruma... Bahati mbaya siku hiyo ilikuwa ni holiday huko USA kwa hiyo na Embassy yao hapa imefungwa... Aliniomba buku 10 au 15 for some few days mpaka dada yake ametumie hela... Nikampa buku 5 ingawa nilikuwa na mashaka sana... Kumbe jamaa ni zuuuuga.... Nitakutana naye tuuu siku nyingine nitamtoa nishai...

Mkuu hii habari ya kweli??!!
 
Mi natafuta shamba boy nyumbani kwangu ukimuona tena mpe taarifa kuna mifugo pia inahitaji kuhudumiwa nitamtoa vizuri tu hata ikibidi nitampa banda la uwani awe analala mazee!!
 
Hii inaweza kuwa kweli,, maana kuna siku Wafilipino wawili walipanda daladala mitaa ya NBC na magitaa yao, me nilidhan wametokea Zanzibar, kumbe bwana wakaanza kutumbuiza masong ya kwao kisha wanapitisha kofia ili wachangiwe!!! daah walipopiga kitu cha HOTEL CARIFONIA Ilinibidi nitoe 200 yangu... Walipofika mnazi mmoja wakamshukuru konda then wakashuka.
 
hili nalo neno make na ss tukiwa makwao wanatuona km masokwe

Mi natafuta shamba boy nyumbani kwangu ukimuona tena mpe taarifa kuna mifugo pia inahitaji kuhudumiwa nitamtoa vizuri tu hata ikibidi nitampa banda la uwani awe analala mazee!!
 
he kumbe anapanga na viwango
hana adabu wenzie wananyooshaga mikono tu
aende embassy ya kwao arudishwe hm kama
vipi af hii nji bwana hawa maafisa wa immigration sjui vipi
huyu unakuta kaja hapa kimagumashi
anadhrura hovyo na hawamkamati
wkt nji za wenzetu one time unajikuta
umwerani na unarudishwa hapaa
under escot


Duuh huyu jamaa kweli ni omba omba maana mimi nilishakutana naye kama miezi mitatu iliyopita pale Kisutu ilipokuwa stand ya mabasi... Nilikuwa kwenye gari namsubiri jamaa yangu mmoja akaja akanigongea dirisha... Nikamfungulia, akanisalimia na kuniuliza kama nazungumza kizungu, nikamjibu ndio... Akanipa story kama ya jamaa alivyosema kuwa cards zake sijui za Bank of America zimekuwa blocked ilibidi awasiliane na bank huko USA...
Kwa kuwa alijitambulisha anatoka USA na mimi ndio nimerudi toka huko sio muda mrefu sana nikamuonea huruma... Bahati mbaya siku hiyo ilikuwa ni holiday huko USA kwa hiyo na Embassy yao hapa imefungwa... Aliniomba buku 10 au 15 for some few days mpaka dada yake ametumie hela... Nikampa buku 5 ingawa nilikuwa na mashaka sana... Kumbe jamaa ni zuuuuga.... Nitakutana naye tuuu siku nyingine nitamtoa nishai...
 
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha

Umekutana nae wapi?
 
Ha Ha Ha wadau leo nimekutana na mzungu akanipiga mzinga ili aweze kusukuma siku hadi j5 ambapo dada yake atamtumia hela kutoka marekani kwa madai eti account yake imeblockiwa,Nikamtell live kwamba sina kitu kwa kumsaidia tu nikamwambia nenda ubalozi wa marekani pale watakusaidia tu kwa kuwa ni raia wao,Wadada Kuweni makini sio kila mzungu ana hela ili mkaringishie nao u-turn wengne ni magumashi tu,matapeli ha ha ha ha ha ha
Mimi nimeandika hapa hapa watu wakaja na lawama kuwa kwanini unamsema ,niliandika hivyo nikitaka kujua kama huyo mtu anashida ya muda au pia kujua kama amewa matonya wana jf wengine,lakini loh imekuwa kama nimechokoza nyuki,ilikuwa kama natoa tahadhali vile ingawa nilimpa buku 2
 
Mimi nitampitia tena kwa vyovyote vile atakuwa amenisahau hapo ndipo nitakapo mpaka kwanza nitamchukulia polisi na kuwaeleza huyu jamaa ni tapeli anadanganya watu
 
Hii inaweza kuwa kweli,, maana kuna siku Wafilipino wawili walipanda daladala mitaa ya NBC na magitaa yao, me nilidhan wametokea Zanzibar, kumbe bwana wakaanza kutumbuiza masong ya kwao kisha wanapitisha kofia ili wachangiwe!!! daah walipopiga kitu cha HOTEL CARIFONIA Ilinibidi nitoe 200 yangu... Walipofika mnazi mmoja wakamshukuru konda then wakashuka.
si asavali hao walikupigia Hotel Carifonia ukabadilika tofauti na huyu jamaa yetu anakuwa sopu kama muungwana vile
 
Mkuu hii habari ya kweli??!!

Tukio kama hili ni la pili kusikia, kuna jamaa yangu nae alikutana nae maeneo ya Quality shopping centre pale Pugu road, na hadithi yake ni kama hiyo hiyo, kuwa hana hela lakini anategemea kutumiwa anaomba elfu kumi. Jamaa alishangaa lakini hakuwa na hela ya kumsaidia. Sasa sijui ni kweli au kuna aina ya utapeli... nae alikuwa kachoka hivi...
 
Huyu Jamaa alikuwa anafanya Research. Kwa kukuomba wewe alikuwa anakusanya DATA kuhusu Umaskini Tanzania. Je ni kweli mnaishi chini ya Dola moja kwa siku? Baadaye ataAnalyis atapata Findings zake. Hongera kwa kuwa part ya Research yake.
Sikuona questionnaire wala devise yoyote ya F2F interview ya kubom hela, loh tafiti zingine chiboko
 
Tukumbuke kuwa hata wabongo wanapigika huko ulaya na marekani. Mzungu ni binadamu kama walivyo wabongo, akipigika sioni taabu kwani hata ndugu zetu huko majuu wanapigika. nashukuru sana kwa huyu alieleta hii thread kwani inanikumbusha mtoto wa shangazi alivyopigika uingereza kwa kushindwa kulipiwa karo na serikali ya TZ. mwenye uwezo wa kumsaidia amsaidie kwani ni binadamu kama sisi
 
duuh huyu jamaa kweli ni omba omba maana mimi nilishakutana naye kama miezi mitatu iliyopita pale kisutu ilipokuwa stand ya mabasi... Nilikuwa kwenye gari namsubiri jamaa yangu mmoja akaja akanigongea dirisha... Nikamfungulia, akanisalimia na kuniuliza kama nazungumza kizungu, nikamjibu ndio... Akanipa story kama ya jamaa alivyosema kuwa cards zake sijui za bank of america zimekuwa blocked ilibidi awasiliane na bank huko usa...
Kwa kuwa alijitambulisha anatoka usa na mimi ndio nimerudi toka huko sio muda mrefu sana nikamuonea huruma... Bahati mbaya siku hiyo ilikuwa ni holiday huko usa kwa hiyo na embassy yao hapa imefungwa... Aliniomba buku 10 au 15 for some few days mpaka dada yake ametumie hela... Nikampa buku 5 ingawa nilikuwa na mashaka sana... Kumbe jamaa ni zuuuuga.... Nitakutana naye tuuu siku nyingine nitamtoa nishai...

si aende na yeye kwenye ma emails tumpe jinsi gani ya kupitisha hizo pesa zake zije dar kwenye account zetu atoke asitutie aibu mtoto wa watu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom