Mzee wetu Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba amesema kulazimisha watu wakuite wewe kuwa ni mheshimiwa mbunge, mheshimiwa waziri, mheshimiwa diwani huko ni kuweka matabaka kwenye jamii ya watanzania.
Hii inapingana na Naibu Spika alivyogombana na Mbunge wa Mbeya Mjini Mbilinyi. Tulia alilazimisha kuitwa Mheshimiwa Naibu Spika
Hakika mzee Warioba ni tegemeo la watanzania kwa busara.
Chanzo dakika 45 itv.
Kwa kumbukumbu nafikiri suala la kuweka sura ya rais kwenye fedha likipitishwa bungeni.Mwinyi aliitwa mtukufu na baada ya Mkapa kuingia madarakani akiwa bado mpya kabisa katika urais aliulizwa kama naye wawe wana mu-address kama mtukufu rais na akakataa katakata(but my take lile swali aliliandaa mwenyewe though maybe I was wrong) na pia akakataa sura yake kuwekwa kwenye pesa.
HIZI SIO HARAKATI NI MAONI YANGU NA KUJARIBU KUELEZEA JAMBOAMBALO LILIKUWA MEZANI. KAMA UNAHISI NI HARAKATI NADHANI ASHAKUMU SIO MATUSI UMEKURUPUKA. NIMEPITIA REPLY ZAKO NIMEONA KAMA JAMBO HILI LIMEKUUDHI LAKINI HATUTASITA KUTOA MAONI YETU NA USHAURI WETU KWAKUWA BAADHI YA WATU HAWATAKI KUAMBIWA UKWELIUmeanza vyema harakat!! Endeleza sasa uungwe mkono
Hakuna mtu nchi hii mwenye ubavu wa kuuliza swali hilo ana kwa ana mbele ya Rais! Kuhusu sura yake kuwa katika noti zetu ni kuwa bunge lilikubali lakini yeye alikataa na kutoa sababu ambazo hadi leo zinazingatiwa ingawa kuna baadhi ya watu walilianzisha chini kwa chini enzi za Magufuli, lakini pia aliwanyamazisha.Mwinyi aliitwa mtukufu na baada ya Mkapa kuingia madarakani akiwa bado mpya kabisa katika urais aliulizwa kama naye wawe wana mu-address kama mtukufu rais na akakataa katakata(but my take lile swali aliliandaa mwenyewe though maybe I was wrong) na pia akakataa sura yake kuwekwa kwenye pesa.
Hapana, yako Machame au Tengeru ukweniMakao alishaandaliwa pale chatou
Wengi hawakupewa cheo dhamana ya kuongoza na wananchi,vipi nao waitwe waheshimiwa??Mtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Hapana, ila nataka nikukuneUnawashwa na nini?
Najua kimachameHata kiswahili hujui masikini ya Mungu.