Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #101
Hakika hawa watu wanataka kujikweza bila kuwa na sifa hizo.Mbona viongozi wa dini anaitwa kwa Cheo Chao kisha jina.
Mf: Mchungaji D, Askofu D, shehe D nk.
Kwani Hawa wabunge tusiwaite Mb. K na sio kulazimisha tuanze na Mheshimiwa wakati wengine hawana hiyo heshima
Wengi wao wana sifa ambazo wengi wetu mitaani tunawazidi kwa sifa mzuri .
Wanalichafua bunge letu hao wataka sifa.