mzee warioba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ana Chuki na Rais Samia na Anataka Kumchafua yeye na serikali yake na ndio maana anaongea Vitu bila kuweka Ushahidi wa Aina yoyote ile

    Ndugu zangu Watanzania, Inasikitisha sana kuona Mtu ambaye Alikuwa ni Waziri Mkuu na Mwanasheria tena Kufikia Ngazi ya Ujaji anaweza kutoka Hadharani akaongea vitu utafikiri mtu ambaye ametoka usingizini. Inawezekana vipi mtu ambaye Amekuwa Mwanasheria akaanza kuongea vitu bila ushahidi wa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kama Rais anajibiwa, kukosolewa na wakati mwingine kubagazwa Mwacheni Mzee Warioba naye apewe dozi. Demokrasia hiyo. Inahitaji uvumilivu.

    Hamjambo wote! 1. Watibeli tunafuatilia Kila hatua inayoendelea. 2. Kwenye Haki, kile unachotendea wengine hata kama hakistahili nawe unatakiwa kutendewa kitu hichohicho. Hiyo ni HAKI. 3. Haki ni nzuri kwenye kuitamka na inavutia Sana lakini utekelezaji wake haufurahishi ingawaje unaleta...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Kihongosi apelekwe darasani afundishwe, anatia aibu! Mzee Warioba hana chuki na mtu bali ana chuki na uovu

    Kuna baadhi ya kauli ukizisikia zikitoka kwa viongozi wa CCM, unabakia unajiuliza, hivi ndani ya CCM hakuna watu wenye akili kubwa, mpaka chama kinaamua kuwapa uongozi watu ambao, kwa kipimo chochote, ni watu wenye akili duni, waliojaa unafiki mkubwa? Kauli za Kihongosi hivi karibuni dhidi ya...
  4. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Nashauri tumheshimu mzee Warioba na siyo kuruhusu vikaragosi vimdhalilishe

    Kuna chawa anaitwa kikaragosi aka kihongosii. Juzi, alijitokeza na kujaribu eti kumkosoa mzee Warioba. Kumkosoa mtu yeyote si kosa. Ila kosa ni kushindwa kujibu hoja na kuzua matusi na uzushi. Huyu kikaragosi ashindwa na kulegea. Onywe. Warioba siyo saizi ya kikaragosi. Siyo chawa wala zezeta...
  5. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ni tunu ya Taifa

    Adui ni adui tu hata kama anakupongeza. Nimejifunza mambo machache sana kwa hotuba nyingi Mzee warioba tokea kwenye mchakato wa kupata katiba mpya mpaka leo, ninamuelewa sana asemavyo na weledi wake katika taifa letu la Tanzania. Adui ni adui tu hata kama umenyamaza. Hotuba ya warioba...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mstaafu anayelalamikiwa na wanaCCM kuiharibu nchi hakemiwi. Mzee Warioba anayelitakia mema taifa anaonekana mbaya

    Eti kama anataka kutoa ushauri awe anaenda Ikulu. Je kama ushauri anaoutoa fargha unapuuzwa? Kwa nini asiyatoe yake ya moyoni Mzee Warioba. Vipi kuhusu mstaafu aliyepitisha mgombea kibabe mwezi Januari 2025 kiasi cha kuleta mpasuko ndani ya CCM? Kosa lake nini kuongea na Watanzania wenzake...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kijana huna mamlaka ya kumkosoa na kumjibu Mzee Warioba

    Naomba nisiandike sana ila huu mchezo wa vijana ndani ya chama na serikali kuwajibu wazee walio tupatia hili taifa naomba niwakumbushe hamtodumu na wala hamtofika miaka waliofika na kama na tania muda utawajibu mtapata nafasi mtakula maisha ila mtafutika na mahala penu hapatakuwepo kama mnabisha...
  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Mzee warioba amecheza kama Messi, Rais anatafuta watu apige nao picha kuonesha ana umoja, mzee baada ya kutoka pale amepiga mawe

    Mzee warioba amecheza kama Messi, Rais anatafuta watu apige nao picha ilikuonesha anaumoja sasa huyu mzee baada yakutoka pale amepiga mawe bora asingemuita. Sasa amuite na Lissu aje kumshona vizuri. Hatutakuwa kitu kimoja lazima atawajibika kwa mauwaji yaliyofanyika.
  9. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Mzee Wasira ndiye Mzee pekee Tanzania ambaye akisimama na kuongea jambo unaona utajiri wa hekima na Busara alizonazo mzee wetu

    Heshima ya Mzee Wasira kwa jamii na kwa chama haijawahi shuka, Mzee akiongea unaona Nuru, unaona mwanga unatapa uchungu wa kuilinda amani ya Tanzania yetu. Sisi vijana tunategemea tuambiwe uchungu wa kulinda amani ya Taifa letu, tunataka tuambiwe juu ya thamani ya Amani tuliyonayo sasa...
  10. ngara23

    JamiiForums Tanzania BAKWATA mbona mnachelewa kumjibu msomi, jaji na Waziri mkuu staafu, Mzee Warioba

    Assalam Alyekum! Mashehe wa BAKWATA hatujawazoea hivo Mnashindwa Nini kutoka kumjibu na kimtishia kumkata kichwa Mzee Warioba. Mashehe wetu Bakwata nyie ndo wapenda amani, mlipigania uhuru Njoo mpe majibu huyu Mzee Au hamjapewa ubwabwa na pakiti ya tende
  11. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asante sana Mzee Warioba, umeongea kile ambacho CCM imeshindwa kuongea

    Mzee Warioba ameongea mengi ambayo sasa yamenukuliwa mitandaoni Aliyoongea CCM ya sasa haina ubavu wa kuyaongea kwa vile sasa CCM si chama cha wananchi, bali viongozi ambao hawafai kuitwa viongozi. Dondoo muhimu Serikali inahusika na mauaji Waliouwawa ni wengi hata kuliko waliouwawa vita ya...
  12. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Nimekaa Leo nimemsikiliza mzee Warioba kwa umakini, huyu mzee hafai kabisa!

    Huyu Muhuni aliyezeeka anaonekana kuna vitu vingi yuko behind na ndo mpishi wa haya yote amekosa maadili ya Uongozi na Uzee wake inatakiwa akamatwe mara moja kwa vitendo vyake vya kihuni. Juzi Kati alikua na Mazungumzo na Rais wa Jamuhuri Ikulu alikua katika Position ya Kushauri kuuliza na ku...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Najaribu ku figure out Mzee Warioba na Samia waliongea nini?

    Picha zilitoka juzi wakionekana Ikulu. Katika hali ya mauaji yale , kweli waliigusia? Samia alijibu vile vile kuwa nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi Mze Warioba alimshauri nini? Lets guess!
  14. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, nukuu/maneno haya yametolewa na mzee Warioba?

    Wakuu Katika pitipita zangu nimekutana na hizi kauli ambazo zimetolewa na Mzee Warioba ni kweli?
  15. kavulata

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ana hoja au viroja?

    Mzee Warioba mimi namuona kama Mzee mnafiki mkubwa anaetaka kurekebisha makosa yake kupitia Samia, Rais mwanamke mzanzibari. Kuna wakati namuona kama mzee ambae watu fulani wanamtumia vibaya kutaka kufanikisha agenda zao. Mzee Warioba anaonekana amepiga U-turn kutoka kwenye mrengo wa Ujamaa wa...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba alikuwa na ujasiri wa kumwambia Samia kuwa hapa ulikosea alipokutana naye jana? Fanya moja mbili tatu?

    Jaji Warioba alikutana na Samia jana. Hatukuia walizunhumza nini. But.most likely ni mauaji yaliyotokana na uchaguzi bandia. Najiuliza walizunhumza nini na alikuwa na ujasiri wa kumwambia matakwa ya wananchi na chanzo kikubwa cha machafuki hayo ya 29 1. Katiba mpya 2. Tume huru ya uchaguzi 3...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba sikumuona wakati wa kulivunja bunge na leo wakati wa kulizindua bunge. Kunani?

    Za ndani kabisa, zinasema sura ya mzee Warioba na ile ya mama hazisomani, hivyo mzee kapigwa detention. Ndiyo maana mzee huyu haonekani katika shughuli na hafla zote za serikali. Tarehe 9 .12 tukamboe huyu mzee wetu.
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba Ongea kitu

    Mzee wetu Warioba kimya chako sio kizuri. Ongea kitu . Kinyume chake utaishia kama ndugu yako Butiku.
  19. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mzee Warioba amesema taarifa za uwepo wa Polepole Tanzania zinaukakasi, puuzeni

  20. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mzee Warioba una jukumu kubwa la kusuluhisha hili Taifa, wewe pekee ndo mzee unakubalika na umma

    Baada ya Kauli ya mzee Butiku, ambaye naamini atakuwa ametumwa na watu wa mfumo ili kumkana afande Tesha, mimi nimuombe tu mzee Warioba kuwa yeye peke yake kwa sasa ndiye akiongea kitu umma utamsikiliza, namshauri asichukue upande, asimame kama msuluhishi na ajiepushe kuuza mtaji huu muhimu...
Back
Top Bottom