johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,956
- Thread starter
- #41
Naunga mkono JK yuko sahihi 99.9%
Nadhani wamejifunza kitu kutoka kwa mwendazake.Mwenda zake alichowafanya hawatakaa wasahahu
Nadhani kila kitu kinatokea kwa sababu tumejifunza vitu vingi sanaNadhani wamejifunza kitu kutoka kwa mwendazake.
Kwamba ikiwa aliwatesa vile waliompinga vipi kwa wao wanaojiandaa kumpinga samia?
Ni mbinu ya kujinasua ili kuepuka kikombe walichokinywea waashi wakati wao wakiwa watemi!!
Picha inayoonekana kutokana na matamko ya wastaafu hawa ni kwamba kuna minon'gono inayoendelea chini chini ya kutenganisha kofia hizi mbili.Mwenda zake alichowafanya hawatakaa wasahahu
😂😂😂😂 Kama walioumwa na nyokaMwenda zake alichowafanya hawatakaa wasahahu
Siku Mungu akihesabu siku zao na kuzikomesha wataondoka tuDaaah!!! Wanachotaka CCM ni Kwamba Chama Tawala Hakiwezi Kushindwa lakiti ndio kina Dola
Aisee,UKAWASIKIA KABISAAA WAKITETA?aiseeKikwete ni mnafiki sana. Hakumtaka kabisa Magufuli awe rais ni zali tu mwendazake ilimuangukia. Au bwashee unatetea hoja yako wakati hule mamia ya container ya mama salma yalizuiwa na Jiwe bandarini hadi yalipiwe ushuru maza akamshukia Jiwe kwa kumuambia ujue hata huo urais bila sisi usingeupata.
Jiwe nafsi ilimsuta na kumuuma sana akaamua kumpoza festledi wa awamu ya nne kwa ubunge na kumuachia mamia ya container zake
Kwa hili tusitegemee udikteta kutoweka nchini, siku akipata madaraka mtu aliyekulia kijijini lzm turudi kwenye udikteta.Juzi Mzee Msuya kalisemea hili jambo leo Kikwete naye kazungumza jambo hilo hilo, kuna nini kinafukuta huko ndani?
View attachment 1764497
Mwenzakae alitumia madhaifu ya katiba kuumiza watuMwenda zake alichowafanya hawatakaa wasahahu
Hiyo 0.1% unampinga kwa sababu gani?Naunga mkono JK yuko sahihi 99.9%
Kwa hiyo tukusikize wewe au yeye.Kikwete ni mnafiki sana. Hakumtaka kabisa Magufuli awe rais ni zali tu mwendazake ilimuangukia. Au bwashee unatetea hoja yako wakati hule mamia ya container ya mama salma yalizuiwa na Jiwe bandarini hadi yalipiwe ushuru maza akamshukia Jiwe kwa kumuambia ujue hata huo urais bila sisi usingeupata.
Jiwe nafsi ilimsuta na kumuuma sana akaamua kumpoza festledi wa awamu ya nne kwa ubunge na kumuachia mamia ya container zake
Tetezi zilianza mapema sana kua jiwe angekua raisi rejea hata uzi wa mayala kabla hata ya mchakato wa ccm.Membe aliwekwa ku balance mapambanoKikwete ni mnafiki sana. Hakumtaka kabisa Magufuli awe rais ni zali tu mwendazake ilimuangukia. Au bwashee unatetea hoja yako wakati hule mamia ya container ya mama salma yalizuiwa na Jiwe bandarini hadi yalipiwe ushuru maza akamshukia Jiwe kwa kumuambia ujue hata huo urais bila sisi usingeupata.
Jiwe nafsi ilimsuta na kumuuma sana akaamua kumpoza festledi wa awamu ya nne kwa ubunge na kumuachia mamia ya container zake