Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Mkuu huyo mwenye exclusive rights ndio boss wa chama!!!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimesikiliza maoni ya aliyewahi kuwa Rais wa JMT Mh. Jakaya Kikwete kuwa hatarajii chama cha chake kuweza kutenganisha nafasi ya urais na ile ya uenyekiti wa CCM kwa watu wawili tofauti. Ninaheshimu mno mawazo yake, isipokuwa kutenganisha nafasi hizi ni jambo ambalo linazungumzika...
Unakuwaje mwenyekiti ila maamuzi ya mwisho anafanya mtu mwingine??
waliweka makusudi ili asitimuliwe.....CCM ikimfukuza Samia leo, mnarudia uchaguzi wa urais kwa mujibu wa katiba mama
ndio ikawekwa bora awe mwenyekiti pia....