Hapa ujumbe umelengwa kwa Jiwe ni: ''kiko wapi sasa na ujuaji wako, ona maji yamefika shingoni unahaha kila kona jinsi ulivyokaliwa shingoni'' Kikwete anajua kabisa Magufuli yuko kwenye wakati mgumu sana kwenye huu uchaguzi.Hahahaa.. hawa marais wawili ipo siku watapigana ngumi live.
Ni suala la muda tu JK vs JPM ... Mkwere hii case bado mbichi aisee
Leo wafuasi wake wanashangilia meli ya DRCYule aliyeenda kuzindua treni iliyonunuliwa na mkoloni. Aisee huyu jamaa siku ifike haraka nikamrarue na kweli wakizingua tunakiamsha.
Hahahaa.. hawa marais wawili ipo siku watapigana ngumi live.
Ni suala la muda tu JK vs JPM ... Mkwere hii case bado mbichi aisee
Na yule anayejimwambafy kuwa yeye ni jiwe je?!Rais mstaafu Jakaya Kikwete amewataka wazanzibar wamchague Dr Hussein Mwinyi kwani ni mwanaccm wa kweli.
Kikwete amesema Dr Mwinyi siyo mtu wa makeke wala hapendi mbwembwe tena siyo mtu wa kujimwambafy mwambafy na hizo ndio sifa za kiongozi makini.
Source Watetezi tv
Maendeleo hayana vyama!
Wao wenyewe wanajua jamaa ni MRUNDI...Mzee anatuhabarisha kuwa imani ya Jiwe kama mwana-CCM ina mashaka!
Unawezakuta KIGOGO 2014 ni JK...Lissu akishinda Urais, naamini mmoja wa watu muhimu watakaofanikisha ushindi wake ni Kikwete.
JK naona anamsubiri kwa hamu sana awe mstaafu mwenzake, ili amtandike makondeTatizo mmoja hana nidhamu kwa wakubwa wake wa kiumri kikazi pia..lugha chafu chafu
Yale maisha bora kwa kila mtanzania alitufikisha wapi ? Awache mzaha kakosa mvuto ."Mnataka Rais wa namna ya Dkt. Mwinyi sio rais mwenye makeke mengi, mbwembwe nyingi, kujimwambafai mwambafai kwingi, kujitutumua kwingi, kuona wengine hawana maana,lakini Dkt. Mwinyi hana hiyo, isitoshe ni mwana CCM ambaye imani yake haina chembe ya shaka"View attachment 1611755
Masimango ya lalasalama....!!!"Mnataka Rais wa namna ya Dkt. Mwinyi sio rais mwenye makeke mengi, mbwembwe nyingi, kujimwambafai mwambafai kwingi, kujitutumua kwingi, kuona wengine hawana maana,lakini Dkt. Mwinyi hana hiyo, isitoshe ni mwana CCM ambaye imani yake haina chembe ya shaka"View attachment 1611755
Dadeek hilo dongo karusha tokea wapi tena
Hilo dongo ni from no where to charto man & co
Masimango ya lalasalamaHili kombora amerushiwa mzee mzima
Mzee katumwa na mabeberu!!
Ila ni yeye aliyetuachia huu msalaKikwete ni miongoni mwa watanzania wengi wanaotambua tuko chini ya kichwa maji
Mstaafu na mstaafu mtarajiwa.Kombora limetua Chato.. Hawa watu wasipoamuliwa watakuja kupigana ngumi. Hahahaha!