Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
No wonder RizMoja hapati uteuzi!!
Yule aliyeenda kuzindua treni iliyonunuliwa na mkoloni. Aisee huyu jamaa siku ifike haraka nikamrarue na kweli wakizingua tunakiamsha.MweNye makeke mengi ni nanii huyo
Yani hapa Kikwete nimempa big upLissu akishinda Urais, naamini mmoja wa watu muhimu waliofanikisha ushindi wake ni Kikwete.
Kikwete amechoshwa na magu na mambo yake ya hovyo ni basi tu hawezi kusema wazi.Kikwete ni Hitman
Lissu akishinda Urais, naamini mmoja wa watu muhimu watakaofanikisha ushindi wake ni Kikwete.