PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,769
- 16,017
Huyo ni Ring Leader...pole nyingi kwa vijana wa kitanzania. Huyu mzee na kundi lake lazima wawalemaze kwa 'Dhahabu Nyeupe'Huyu aache kutuzingua wakati hana alicholifanyia taifa. Ndiyo maana mchonga alimkataa kibaki huyu