Mzee Kawawa afariki dunia!

Mzee Kawawa afariki dunia!

R.I.P. Simba wa vita,

Inna Lillahi, wa Inna Ilaihi Raajiuun!
 
Haiwezekani kila kiongozi akifa tuwe na sikukuu yake. Tutakua na siku ngapi za mapumziko ktk taifa hili la uchumi mdororo?

Maoni yangu kusiwe na mapumziko mengine yeyote hata akifa nani even waliokwisha shika urais achana na mawaziri wakuu.

Hawa wote tutawapa heshima na tutawakumbuka siku ya mashujaa
 
Haiwezekani kila kiongozi akifa tuwe na sikukuu yake. Tutakua na siku ngapi za mapumziko ktk taifa hili la uchumi mdororo?

Maoni yangu kusiwe na mapumziko mengine yeyote hata akifa nani even waliokwisha shika urais achana na mawaziri wakuu.

Tuna viongozi wangapi waasisi wa taifa hili waliobakia unawajua?

Hawa wote tutawapa heshima na tutawakumbuka siku ya mashujaa


Tuna viongozi wangapi waasisi wa taifa hili waliobakia unawajua wewe?
zaidi ya nyerere,karume na Kawawa?
 
r u serious? walijiandaa na kifo chake mapema nini? tungekuwa sharp hivi na kwenye mambo mengine ,mbona tungefika mbali.

Inanishangaza inanibidi nifikirie kila mtu maarufu labda ameshatungiwa wimbo wake unaweka store siku ukifa wanatoa kitu ambacho nacho sio sahihi hata kidogo kwangu mimi.
 
100ay.jpg
Rashidi-Kawawa-web.jpg
http://images.google.com/imgres?img...shid+kawawa&gbv=2&ndsp=20&hl=en&sa=N&start=60
 
Rais Jakaya Kikwete, katika sauti ya huzuni kubwa, ametangaza siku saba za maombolezo kwa bendere kupepea nusu mlingoti.

Mkuu hebu naomba ufafanuzi kidogo inamaana tutakuwa mapumzikoni 7 days au ni just nusu mlingoti?
 
Mkuu hebu naomba ufafanuzi kidogo inamaana tutakuwa mapumzikoni 7 days au ni just nusu mlingoti?
ona huyu!!, ANATAKA MAPUMZIKO WIKI NZIMA, LOH.
ishu ni kwamba maombolezo, BENDERA ZITAPEPEA NUSU MILINGOTI, dah.
 
RIP Mzee Kawawa. Ulikuwa ni moja ya watanzania walioitumikia nchi yetu kwa moyo wote
 
ona huyu!!, ANATAKA MAPUMZIKO WIKI NZIMA, LOH.
ishu ni kwamba maombolezo, BENDERA ZITAPEPEA NUSU MILINGOTI, dah.

Mkuu kama ndo viongozi wetu ndo wanavyofikiria hivyo sasa mimi nifanyeje???

By the way hata nikifanya kazi all 365.75 days, na sioni ni nini serikali yangu inanifanyia kwa kulipa kodi kubwa ninayolipa, si ni-bora niende vakesheni kunapokuwa na misiba mikubwa kama hii.

Ni wazo langu tu though!
 
Kweli imeniguswa sana,
Nimedondosha Mchozi maana huyu Baba ndio kimbilio letu watu wa Kusini.
Sasa itakuwaje,
Mungu amemchukua sekunde chache kabla ya Mwaka mpya.
Yaani Taifa linaanza mwaka mpya kwa Msiba Mkubwa kama huu.
kweli Hujafa Hujaumbika.
Jamani tuwe waangalifu Kwa muda huu mfupi ulio baki.

Watakao uona mwaka huu jamani tutumiane hata sms tuu.

Ahsanteni wanandugu,

Benno
+255 713 092 952

GODBLESS ALL WHO WILL WISH ME A HAPPY NEW YEAR 2010
 
mkuu kama ndo viongozi wetu ndo wanavyofikiria hivyo sasa mimi nifanyeje???

By the way hata nikifanya kazi all 365.75 days, na sioni ni nini serikali yangu inanifanyia kwa kulipa kodi kubwa ninayolipa, si ni-bora niende vakesheni kunapokuwa na misiba mikubwa kama hii.

Ni wazo langu tu though!
mnhh, lakini kuna kaukweli.
 
Mungu ailaze roho ya Mzee wetu Kawawa mahala pema peponi
 
R.I.P Mpiganaji wa kweli. Jana nilitoa pole niliposikia u mgonjwa. Habari za kifo kisicho rasmi zilipotua hapa nikasikitika na kutoa pole na neno toka moyoni mwangu. Baadaye nilifurahi ITV walipotangaza jana kuwa una nafuu na kifo ni uvumi, na mtoto wako akatuhakikishia kuwa hali imeendelea kuimarika na nikakuona live umelala na uliteta neno. Na leo tena huzuni yangu ikarudi pale pale.

Ndiye jemedari peekee mwenye uchungu na hii nchi ulikuwa umebaki. Kwa heri baba na upumzike kwa amani. Ingekuwa kuna mawasiliano ya kimwili huko uendako sasa, basi ingekuwa ni wakati kumhadithia swahiba Julius Kambarage Nyerere yaliyojiri ya kuuza nchi, rushwa, ufisadi na ubepari tangu alipotuacha rasmi tarehe 14/10/1999. Pumzikeni kwa amani.
 
Back
Top Bottom