Mzazi, nini kinakupa ugumu kumuomba msamaha mtoto wako pale unapomkosea?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,625
Wazazi wengi huwa hawana utamaduni wa kuomba msamaha watoto wao pale wanapogundua kuwa wamewakosea.

Badala yake hutengeneza mazingira ama ya kugeuza kosa lile liwe kwa mtoto, au kutengeza mazingira ya kumfanya mtoto kuonekana anastahili adhabu hiyo sababu alizubaa kusema mapema kuwa hajakosa.

Jambo hili linafanya baadhi ya watoto kukua na vinyongo wangipunguza upendo kwa wazazi wao na mara nyingine kuhamisha tabia ile ile kwa watoto wao, na pia kuchangia kuchochea matatizo ya afya ya akili.

Mzazi nini kinakupa ugumu kuomba msamaha pale unapomkosea mtoto wako?
 
Wazazi wengi huwa hawana utamaduni wa kuomba msamaha watoto wao pale wanapogundua kuwa wamewakosea.

Badala yake hutengeneza mazingira ama ya kugeuza kosa lile liwe kwa mtoto, au kutengeza mazingira ya kumfanya mtoto kuonekana anastahili adhabu hiyo sababu alizubaa kusema mapema kuwa hajakosa.

Jambo hili linafanya baadhi ya watoto kukua na vinyongo wangipunguza upendo kwa wazazi wao na mara nyingine kuhamisha tabia ile ile kwa watoto wao, na pia kuchangia kuchochea matatizo ya afya ya akili.

Mzazi nini kinakupa ugumu kuomba msamaha pale unapomkosea mtoto wako?
Mzazi aitakiwa kujishusha kiasi hicho kwa mtoto wako ni juu kila mtoto kumueleza mzazi wake makosa yake kwa busala tu asitegemee kuambiwa ni samehehe mwanangu
 
Mshua wangu alikuwa na utaratibu kuwa ninapokosea ananipa nafasi ya kujitetea na kujielezea. Jambo ambalo lilinijenga katika kujielezea na nikawa napata shida sana kublend na jamii ya yenye watu wazima wakoloni kama hii yetu ya Tanzania.

Unakuta najua kabisa sijakosea au nina hoja ya utetezi halafu mtu ananikazia anataka kwenda straight na adhabu. Nilikuwa naleta legue walimu walijua huyu mtoto sio yeye ni malezi aliyokulia yamemjenga hivi.

Hadi leo hii huwa ni ngumu sana mimi kushindwana na mtu.
 
Mshua wangu alikuwa na utaratibu kuwa ninapokosea ananipa nafasi ya kujitetea na kujielezea. Jambo ambalo lilinijenga katika kujielezea na nikawa napata shida sana kublend na jamii ya yenye watu wazima wakoloni kama hii yetu ya Tanzania.

Unakuta najua kabisa sijakosea au nina hoja ya utetezi halafu mtu ananikazia anataka kwenda straight na adhabu. Nilikuwa naleta legue walimu walijua huyu mtoto sio yeye ni malezi aliyokulia yamemjenga hivi.

Hadi leo hii huwa ni ngumu sana mimi kushindwana na mtu.
Mshua alifanya jambo zuri sana.... Ni kweli ukikutana na wenye mawazo ya kikoloni si rahisi kukuelewa
 
Mie my mdada anamwita kakaka kake kashuri anamwita aje au anamfuata chumbani anamwomba msamaha baba naomba unisamehe, nimekukosea baba angu kipenzi nakupendaje ila kama kakosea weeh mtoto ni mdogo ila anajua kumpigia bibi yake , bibi nauliwa hawazi sema njoo kadogo Badoo minne ila acha tu
Ngoja nianzie chini kusoma. Sijui nimelewa
 
Wazazi wengi huwa hawana utamaduni wa kuomba msamaha watoto wao pale wanapogundua kuwa wamewakosea.

Badala yake hutengeneza mazingira ama ya kugeuza kosa lile liwe kwa mtoto, au kutengeza mazingira ya kumfanya mtoto kuonekana anastahili adhabu hiyo sababu alizubaa kusema mapema kuwa hajakosa.

Jambo hili linafanya baadhi ya watoto kukua na vinyongo wangipunguza upendo kwa wazazi wao na mara nyingine kuhamisha tabia ile ile kwa watoto wao, na pia kuchangia kuchochea matatizo ya afya ya akili.

Mzazi nini kinakupa ugumu kuomba msamaha pale unapomkosea mtoto wako?
Mila na desturi za kiafrika ndiyo tatizo.

Wengine wakaenda mbali zaidi na kusema, mtu mzima hakosei!

Hii ni ajabu sana! Msamaha hauna umri, mkubwa amuombe msamaha mdogo na mdogo amuombe msamaha mkubwa, ikitokea amekosea, huo ndiyo uungwana.

Wazungu wametupita kwa mbali sana, mtoto wa kizungu anaweza hata kumwambia baba yake, "Dad, pls don't be stupid", ikitokea baba amefanya jambo la kijinga.

Sasa wewe jaribu kumwambia mzazi wako hivyo uone kama huachiwi laana.

Mimi nikioa nikapata watoto, nitajitahidi sana kuwalea wanangu kwa kujishusha ikitokea nimekosea, hii tabia itaimarisha upendo kwenye ngazi ya familia na itawafanya watoto waige hata wakiwa na familia zao.
 
Wazazi wengi huwa hawana utamaduni wa kuomba msamaha watoto wao pale wanapogundua kuwa wamewakosea.

Badala yake hutengeneza mazingira ama ya kugeuza kosa lile liwe kwa mtoto, au kutengeza mazingira ya kumfanya mtoto kuonekana anastahili adhabu hiyo sababu alizubaa kusema mapema kuwa hajakosa.

Jambo hili linafanya baadhi ya watoto kukua na vinyongo wangipunguza upendo kwa wazazi wao na mara nyingine kuhamisha tabia ile ile kwa watoto wao, na pia kuchangia kuchochea matatizo ya afya ya akili.

Mzazi nini kinakupa ugumu kuomba msamaha pale unapomkosea mtoto wako?
NAdhani makuzi tuliyopitia kwa wazazi wetu kutuonyesha ubabe ndio yameyujengea mazoea kwamba mtoto haombwi msamaha

Lakini in real sense kumuomba mtoto msamaha kuna faida nyingi ikiwemo kumfundisha mtoto kuwa responsible for his/he actions na kumpa mtoto confidence mbele ya mzazi au hata jamii, inamfundisha mtoto pia kuepuka kutenda jambo ambalo anajua litaumiza wengine au kuwakwaza, inamjenga mtoto kihisia pia

Leo hii tuna viongozi wengi ambao wanafanya makosa makubwa lakini hawawajibiki kwa sababu hawakupata hayo makuzi

Wenzetu wazungu jambo linapoharibika kiongozi lazima awajibike bila shurti, either aombe msamaha au ajiuzulu kwa sababu wamepitia hayo makuzi
 
Back
Top Bottom