Tanzania tunahitaji expatriate wa ki Zambia kuwa Mkurugenzi Mtendaji Yanga ?
Kama ambavyo alinyimwa Visa yule Mama wa Kikenya mwenye degree ya cookery kuja kuongoza VODACOM ndivyo hivyo ilibidi huyu Mzambia apigwe chini.
Haya, kaja kwenye mkutano wa utambulisho hajui Kiswahili, Maulidi Kitenge anampa maneno ya kuongea ya Kiswahili. Kwa hiyo mijadala ndani ya Yanga itakuwa inampita, kwa sababu Jangwani hakunaga mjadala wa Kingereza. Hakukuwa na haja.
Pombe Magufuli aliyewaambia Watanzania tembeeni kifua mbele anabiringika kaburini.
Kama ambavyo alinyimwa Visa yule Mama wa Kikenya mwenye degree ya cookery kuja kuongoza VODACOM ndivyo hivyo ilibidi huyu Mzambia apigwe chini.
Haya, kaja kwenye mkutano wa utambulisho hajui Kiswahili, Maulidi Kitenge anampa maneno ya kuongea ya Kiswahili. Kwa hiyo mijadala ndani ya Yanga itakuwa inampita, kwa sababu Jangwani hakunaga mjadala wa Kingereza. Hakukuwa na haja.
Pombe Magufuli aliyewaambia Watanzania tembeeni kifua mbele anabiringika kaburini.