JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,847
- 14,240
Acheni hizo wabongo,think bigger,mwamvita Makamba ni boss mkubwa wa Vodacom south afrika.Kusimamia sera, kuingia mikataba na wadhamini, kusimamia mapato kumemshinda Mtanzania ?
Huwezi kukuta Mchina wa Gwanzuu kaletwa na Visa UK kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Man U na Kiingereza hajui.
Au Mhindi wa Bombay awe imported kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa New York Yankees wakati kuna Wamarekani milioni 100 wanaweza kazi hiyo.
Never, ever!
Hizi ni biashara sio mali ya serikali,sio kwamba huyo mzambia amekuja kuwa waziri au mkurugenzi wa ttcl,kwa taarifa yenu nchi hii ioiishawahi kuwa na mwanasheria mkuu raia wa Ghana!!
Kinachotskiwa ni cv sio kulia Lia,hao ambao wangetaka hii nafasi alioxhukua mzambia,wekeni cv zenu hapa,
Hapa bongo,Kuna kampuni ya wazawa kabisa ina tender kubwa huko Kenya,na hakuna kampuni ya Kenya yenye uwezo huo,hii ya bongo ni sole provider,ikitokea kazi lazima wabongo waende hata kama ni kubadilisha mapazia tu,ndivyo zilivyo biashara.
Itokee ajira ya UN kutanisha wasomi wetu na wakenya,nani atashinda,jibu liko wazi!!kama Raisi wenu anakimbia UN anaenda kujificha Msumbiji kwenye halmashauri!!wakati Ruto anagonga interview tu,aljwzeera,ujerumani