Kwa kuongezea Ndugu Unstoppable, nadhani William alitoa maelezo kwa ufahamu wake juu ya hizi tuhuma Mzee dhidi ya mtuhumiwa wa EPA. Na alileza kuwa wakati wa michango ya harusi mmoja wa watu walioleta mchango alikuwa Sophia Simba (correct me I am wrong), na Bi Sophia alileta kama group contribution ambamo ndani yake kulikuwa na mchango huyu mtuhumiwa wa EPA. Kwa hiyo technically Mzee anakuwa mbali kidogo. Hata hivyo ningependa kuamini in fact ninaamini William is his own man. Yes, loves his father and all that na achokisema hapa jamvini in fact kinaweza kutafsiriwa kama kuwa na mtazamo wa mbali kidogo na Mzee? but that goes to show the character of the man! Call a spade a spade!
I hope T.K utakuwa umeridhika walau kidogo na haya majibu na pia inatuonesha kuwa kupita hili jamvi tunaweza kutoa dukuduku zetu wakati huo huo tukapata mawazo kama si majibu ya dukuduku hizo. Tuzidi kushikamana maana taifa linatafunwa! chapa kazi William, chapa kazi T.K.
Nikiri tu kuwa sikupata kusikia maelezo kama haya toka kwa Williama, naamini yalinipita..........maelezo yako yamejitosheleza