Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,551
Duh!, kweli ni long time, mimi sikuamini yule William niliyemsifia kuwa ni bold , ndiye William yule yule niliyekutana naye Dodoma akipiga magoti kuwanyenyekea kina Lowassa kwa heshima zote katika kubembelezea kura za kula!.- Duh! loong time ago! ha! ha! ha!
William.
Sasa Mkuu William umekuja ground zero, kati ya hoja yako ya CCM iwafukuze now or never na hoja yangu kuwa JK na CCM yake si lolote sii chochote dhidi ya mapacha watatu na hana ubavu wa kuwaondoa!, hoja ipi imesimama?.
Si umekuja na jee sasa si umeyaona mwenyewe?. Jee utaendelea kuling'ang'ania jahazi linalokwenda mrama hadi uzame nalo, ama uko tayari kuwa bold enough kusinama nawe uhesabiwe?.