- Ukitaka kumua nyoka unaanzia kichwani kwanza! hawa mapacha watatu ndio hasa kichwa cha nyoka na magambas!
William @ NYC, USA.
Willy nakubaliana na wewe na hilo halina ubishi
Ila isiwe ndio ajenda maana wengine wanafikiria ukishwaondoa hao watatu ndio umetibu tatizo ila hawajaelewa kuwa hao ni kama tone kweney bahari
Mkakati uwe ni kulimaliza tatizo na sio kutafuta tiba halisi ya tatizo na sio kutibu dalili tuondoe mazalia ya mbu na sio kuja kutibu malaria