William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #101
Mkuu Pasco,
Nimefuatilia michango yako na kwa kiwango kikubwa nakubaliana na wewe isipokuwa pale unaposema kuwa William ni bold enough eti kwa haya anayoyasema humu. Mimi sioni ujasiri wowote zaidi ya kutaka kupima joto na kiwango cha hasira za watu wanaofura kwa kuona kinachoendelea ndani ya nchi yetu kwa sababu ya mambo ya kipuuzi yanayofanywa na CCM. Ninazo sababu tatu kuonesha kuwa kujivua gamba ni attemp isiyowezekana hata kwa mtutu!
1. Wale wanaowashikia bango wenzao ama wametajwa kwenye lists of shame (part 1 and 2) na kwa hiyo hakuna anayeweza kumnyooshea kidole mwenzake. Na kama kuna aliyekashifiwa na hiyo list angeshaend mahakamani. Kwa vile hakuna aliyeenda basi hizo lists ni authentic (au nakosea???). Pia hata wale ambao hawakutajwa kwenye hizo lists, bado pandora box ikifunguliwa watajikuta nao wamenaswa na mtego wa panya wa kifisadi ndani ya CCM.
2. Kauli za Aliyekuwa karibu sana na JK, waziri wa zamani wa Utawala bora, Mama Sofia Simba zinahitimisha hoja zote. Kwamba ndani ya CCM hakuna aliye msafi (kuna anayebisha??) na pili kwamba Lowasa ni mwanamume wa shoka (sijui alitumia vigezo gani ila naamini echo yake inajulikana ndani ya CCM)!!
3. Matendo na maneno ya JK hayajawahi kunishawishi kwamba anao ujasiri wa kushughulikia ufisadi. Ukimwona anaongelea haya mambo mazito na kama wewe ni mwangalifu basi utagundua kuwa hamaanishi anayoyasema. Ndio maana anatumia maneno katibia 100 kuongelea kitu kimoja tu na misemo kibao tu isiyo na mshiko.
Kwa hayo niliyoyataja hapo juu (mnaweza kuongeza na mengine) hakuna kitu kama kuvua gamba perse!
Katika hili nitabaki kuwa Tomaso milele!!
- Ingekua kweli wasingeondolewa NEC na CC, ni maneno ya kawaida sana haya kwa a frutrated person, lakini hamna ukweli kabisa ndani yake, na si kweli kwamba CCM wote ni wachafu, mimi sio mchafu na wapo wengi sana wasafi sana kama Sophia Simbaa anaamini CCM wote ni wachafu wakati wake wa kujitokeza na ksuema hayo ulikuwa ni sasa mapacha wanaposulubiwa kwenye kila kona ya taifa letu, kwa nini hajitokezi sasa wanapomuhitaji sana kuliko anytime kule nyuma?
William @ NYC, USA.