CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
hopefully SS haingii jf,vinginevyo ama zako ama zake!
:biggrin1::biggrin1:
Haaa!
Jamani si nimemsifia, au hicho chuo kina kozi za UMBEA ??
hopefully SS haingii jf,vinginevyo ama zako ama zake!
Ngoja ntautafuta niusikilize....
Enhe sasa partner ile dinner mpaka nilete mchele au inakuaje?!
Asprin naomba nijibu mwenyewe CPU atatohoa... Maana yake wewe ndo mwanaume wa kweli (mana ni muelewa....)
Wanaonipenda kweli wameni PM na kunipasha... wee uki PM unaishia kuongea shida zako tu...
At your service partner....you say the words and i‘ll do the usefull!!
CPU anaeharibu niwewe.... yaani wewe uelewa huna kabisa hata uambiwe nini... Asprin shem wangu mzuri mara moja tu kaelewa na katii, now thats the man....lol
Hii crap inaitwa Sipiyuu hebu ikuje inisomee kwa sauti hizo bold hapo.........halafu initafsirie kinyerere pia.............
Mi nimesahau mawani yangu.
Ahaa...hebu nisaidie kuweka kwa kiinglish hii sentensi.... Ahsante sana Asha D limited and company for zis yuziful maujiko for ze babu and tu teli yuu ze truth babu'z mbichwa is vuuuu fo zis ujiko kampani limited.
Hii crap Babu inamzingua Bibi balaa
Muulize, kasema leo mwisho wa dunia atakuja pale ZERO PUB
Asprin kiinglish sifahamu choote but kikubwa hapo sababu huo ujumbe ulikua wangu na nimeelewa nafikiri inatosha pamoja na hiyo THANK YOU niliyobofya....lol
Offcoz yapaswa nikueleze shida zangu kwamba NAHITAJI UPENDO WAKO kama mwanzo
mi sijui mipasho
Kukosa kwangu uelewa chanzo ni wewe
Nitaelewa vipi wakati hunijali, hunipendi, hunilishi, . . .?
Hii crap Babu inamzingua Bibi balaa
Muulize, kasema leo mwisho wa dunia atakuja pale ZERO PUB
Inatakiwa uje kama ulivyo (ila nguo vaa...lol) hakikisha umetupia kitu cha mvuto; by the way post yako ya wale warembo nilipenda sana ile ya kijivu, ukivaa ile unaonekana hujapania ni kawaida yako... Ni weekend ijayo tu hapa..
Ukikwama, you know where to find your grandie, don't you?
Partner wapi wewe :help::help::help: Grandie wako Asprin kaahidi kukusaidia.... pleeease
Partner wapi wewe :help::help::help: Grandie wako Asprin kaahidi kukusaidia.... pleeease
Kinamama someni signature yangu mpya hapo chini,je mnakubaliana nayo?
Hhaahaha...ntazingatia hapo kwenye mabano nisije nikageuka kituko cha siku!!Yeahhh kale kazuri kweli...haionyesha kama unajitahidi sana kupendeza ila mwisho wa siku unatoka haswa!
MARRIAGE IS TO BE ENJOYED AND NOT TO BE TOLERATED!!!!!!!!Bishanga anything that is to be enjoyed is worth being tolerated....