my new signature......

Hiyo picha inanifanya nikupite bila kukutambua. Aaah. Mambo ya mwisho wa dunia nini umeamua kujisitiri!



lol.....lol...lol.... Nimeona niende saloon kidogo maana nilisemwa mbaya saana, na si unaelewa tena mwanamke kusifiwa sunah! Nipe maoni.. do you like it Nk...
 
Nashukuru mpenzi tumeafikiana... ni muhimu saana tuongee wawili kwa upana zaidi ili tuweze rekebishana, ila coz mda umeisha naamini leo itabidi uwe karibu na huyo CPU ili ile 6x6 by far itumike maana najua ni mda mrefu sasa... kesho tutoke walau brunch kisehemu kizuriii ambacho hakina disturbances... Usisahau ile lingerie unapoondoka...lol

Nenda kule kwenye thread ya Mzuanda uone
Anaitwa wifi na mtu kule, tena anasema waende kuoga kabisa. Yaani akamuogeshe
Si anajua kule huoni
Nikisema umuangalie na jicho la 3 unafikiri utani
Simpendwi miyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nielewe Asha D jamani, mbona bado umelalaaa
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:
 
Nenda kule kwenye thread ya Mzuanda uone
Anaitwa wifi na mtu kule, tena anasema waende kuoga kabisa. Yaani akamuogeshe
Si anajua kule huoni
Nikisema umuangalie na jicho la 3 unafikiri utani
Simpendwi miyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nielewe Asha D jamani, mbona bado umelalaaa
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-
cry:

Hubby hata hutani hujui jamani?!
 
Iko bomba. Naona sasa ukienda salon next time tutatafutana JF. Maana hiyo picha inafanya nitamani uvue hiyo burka.

lol.....lol...lol.... Nimeona niende saloon kidogo maana nilisemwa mbaya saana, na si unaelewa tena mwanamke kusifiwa sunah! Nipe maoni.. do you like it Nk...
 
Nenda kule kwenye thread ya Mzuanda uone
Anaitwa wifi na mtu kule, tena anasema waende kuoga kabisa. Yaani akamuogeshe
Si anajua kule huoni
Nikisema umuangalie na jicho la 3 unafikiri utani
Simpendwi miyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nielewe Asha D jamani, mbona bado umelalaaa
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:


Hubby hata hutani hujui jamani?!



CPU acha kumnyanyasa rafiki yangu, mwalimu wangu na partner wangu pia ana vyeo vingi... yaani roho inaniuuuuuuumaaaaa, PLEASE STOP... Nimeenda kwa Mzuanda kama ulivyosema na sijaona baya....:doh::doh::doh: Dah!!! Mpaka naishiwa energy...
 
Iko bomba. Naona sasa ukienda salon next time tutatafutana JF. Maana hiyo picha inafanya nitamani uvue hiyo burka.



That won't happen labda tuwe wawili tu... nimefurahi umeipenda, safari ijayo tutaenda wote usijali...
 
CPU acha kumnyanyasa rafiki yangu, mwalimu wangu na partner wangu pia ana vyeo vingi... yaani roho inaniuuuuuuumaaaaa, PLEASE STOP... Nimeenda kwa Mzuanda kama ulivyosema na sijaona baya....:doh::doh::doh: Dah!!! Mpaka naishiwa energy...

Haya Kloro na Uporoto
Partner wa Lizzy ameshawaruhusu muendelee kumvizia Lizzy
Kashajichokea zake, hataki kunisikiliza tena
Endeleeni tu kumnyatia na ondokeni nae kabisa maana sasa mna kibali halisi
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:
 
Haya Kloro na Uporoto
Partner wa Lizzy ameshawaruhusu muendelee kumvizia Lizzy
Kashajichokea zake, hataki kunisikiliza tena
Endeleeni tu kumnyatia na ondokeni nae kabisa maana sasa mna kibali halisi
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:



CPU am so ready to fight with you, nenda kaone mambo kwa Mzuanda...
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Nauli ya bajaji utanilipia?!maana pochi langu limetoboka!

pole Lizzy NIMECHELEWA KUSOMA HII POST NILIKUWA KWENYE ULABU,OTHERWISE NINGEKUTUMIA KA HELIKOPTA KANGU (NINATWO TUWILI) KAJE KUKUCHUKUA,NEXT TIME......
 
Back
Top Bottom