baba luno
Member
- Aug 14, 2015
- 13
- 6
Habari wanajamvi,
Naomba kufahamishwa ni gharama kiasi gani za ushuru na mapato ya TRA nitalazimika kulipa endapo nitanunua gari either mpya or used kutoka upande wa pili wa majirani zetu hapo Zambia? Na je inaweza kua nafuu kidogo ukilinganisha na ukiagiza kutoka japani kupitia bandari yetu ya dar ? Ukizingatia kua thamani ya gari kwa mfano mpaka inafika dar pot ni shs 15ml na wakati huo huo ya upande wa pili zambia hapo nakonde shs 15ml.
Concern yangu nataka kujua ya upande upi itakua na gharama nafuu za ushuru mpaka nitambe nayo mtaani.?
Naomba kufahamishwa ni gharama kiasi gani za ushuru na mapato ya TRA nitalazimika kulipa endapo nitanunua gari either mpya or used kutoka upande wa pili wa majirani zetu hapo Zambia? Na je inaweza kua nafuu kidogo ukilinganisha na ukiagiza kutoka japani kupitia bandari yetu ya dar ? Ukizingatia kua thamani ya gari kwa mfano mpaka inafika dar pot ni shs 15ml na wakati huo huo ya upande wa pili zambia hapo nakonde shs 15ml.
Concern yangu nataka kujua ya upande upi itakua na gharama nafuu za ushuru mpaka nitambe nayo mtaani.?