Kinamama someni signature yangu mpya hapo chini,je mnakubaliana nayo?
Kinamama someni signature yangu mpya hapo chini,je mnakubaliana nayo?
Akina mamaaaaaa . . . . .
Asha D upo??
Nimejaa tele... Nishamaliza kucheka mie...[/QUOT
NAOMBA NIJIBU ASHA D
and I quote "MARRIAGE IS TO BE ENJOYED AND NOT TO BE TOLERATED!!!!!!!!
and I ask " ONLY FOR THE BETTER" how for "the worse?" ASHA D.
nakusubiri,nshakula mihogo ya kuchemsha ya kutosha na uji,niko gado!
Nimejaa tele... Nishamaliza kucheka mie...
CPU nadhani leo watanila watanichuna bila anastesia,ngoja tuone....
Huyu Bishanga kakosa kazi leo.
Sijui mke wake ameenda likizo kwao rufiji???
Kwa hiyo mmeo akiwa mlevi,akirudi anakudunda,hela ya kula hatoi,matusi kibao,lakini so long as unajua kwamba yeye kwenye 6x6 ni mahiri sana na una enjoy mpaka nywele zinasimama kwa hiyo uta tolerate upuuzi wake eti kwa kuwa una 'enjoy' majamboooz? maana hapa tunaongelea 'anything'MARRIAGE IS TO BE ENJOYED AND NOT TO BE TOLERATED!!!!!!!!Bishanga anything that is to be enjoyed is worth being tolerated....
Leo saa moja jioni ni mwisho wa Dunia
So akina mama wataonyesha UPENDO wa KI-MALAIKA.
Hawatakuchukia kabisa
Kwa hiyo mmeo akiwa mlevi,akirudi anakudunda,hela ya kula hatoi,matusi kibao,lakini so long as unajua kwamba yeye kwenye 6x6 ni mahiri sana na una enjoy mpaka nywele zinasimama kwa hiyo uta tolerate upuuzi wake eti kwa kuwa una 'enjoy' majamboooz? maana hapa tunaongelea 'anything'