Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,065
umeona eeh!?!ndio mana wamama wanatakiwa wajitahidi kujipatia vijibanda kwa ajili ya mambo ka haya, haipendezi kikitokea cha kutokea urudi nyumbani.
na mi nakwambia kabisa usijidanganye urudi kwa wazazi!
mimi waif angu hm kwao ni hapa hapa dar......!yani nakwambia akienda kuwachek wazazi anakaa nusu saa tu WANAMTIMUA.....''rudi kwa mumeo huko,unatutafutia kesi bure sisi.hatutaki kukaa na wake za watu''
sasa mimi naona kama ni kitu ambacho kinamtrain bi-mama KUYAKABILI MATATIZO YAKE MWENYEWE!ukiingia kwenye ndoa JUST FACE CHALLANGES BASI!usiwe mtu wa kulia lia