Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Hapa naona tunakaribia kumwita Prof Safari na utaalamu wake wa natural justice.
Mimi sipingi hilo kwa sasa kuna dada hadi tunapoongea anaweza kuwa macho yamemtoka kwa kukabwa kama kibaka. Sasa tusitoe ushauri hadi huyo kaka amalize kuwa kichapo au? Na kaka mwenyewe hataki kuongea..Ni dizainii za Idd Amin (may be).
Kwa nini huyo dada asiondoke kwanza halafu ndo labda huyo kijana atakubali kufunua huo mdomo wake ambao kwa sasa unafunguka tu kwa siku 5 anazokuwa likizo?
...la la la! asithubutu kuondoka/kumkomoa, ...kosa litamrudia.
Ndio maana nasema ushauri uzingatie pande zote husika.
Kwani huyu dada hana mzee wa busara kumshtakia ambaye ni wa karibu na mume?
Haiwezekani, Unless walioana tu kivyao vyao bila baraka za wazazi.