The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hicho kipigo atakachopata hatakisahau maishani enapo atapona kunyongwa kama kuku au kware!
Kila means zitatumika kama kuna mwiko, mwichi au hata mkanda twende kazi
Hicho kipigo atakachopata hatakisahau maishani enapo atapona kunyongwa kama kuku au kware!
Ofkoz unatizama na mtu wako ......ndio maana nikasema kama hapigi ila kama vipi ah............ jihami. Jamani this issue is of more emotional to me so I cant comment more.
Akiona vipi naye atest zali siku moja......the moment anaingia after hiyo refuge yake nawe tafuta kokoko zako, puliza uturi bi dada, jipure....... beba kibeti toka.......akiuliza uendako ......"Darl I dont want to talk bout it sweetheart......cheers" .....kwa tabasamu na bashasha zote toka. Nenda kwa ndugu yako yoyote au hata yake ambae mwaelewana.........sogoa dada kama vile hakuna lililotokea kwako. Rejea baada ya muda mrefu tu wa kutosha.... pita moja kwa moja bafuni, take your time kisha toka panguza miguu.... tinga jeans lol kuonyesha msisitizo kuwa huna haja ya "huduma" ......... shusha pumzi kuuubwa ya kuonyesha umechoka sana kabla hujablew a good nite kiss. ............In case akiuliza tena ulikokuwa.mjibu taratiiibu sana tena ikiwezekana sauti ipitishie mlango wa pua, ibane dada......tumia sauti ya kike huku ikisindikizwa na jicho la mahabat mwambie.................Baby am so tired (hapa unapiga na miayo ukijinyoosha na viungo)..... lets sleep.
Kwa jinsi watu wa aina yake walivyo...ni wepesi sana kupick up makosa yako na kusahau yake... atalianzisha tu yaani hatasubiri hadi kuche atadai maelezo....(kama hapigi) wala usijibishane naye kwa ukali wala kukurupuka kuwa mbona wewe huwa watoka, walala husemi ah......mwambie tu taratibu hun tutaongea kesho sasa hivi ni usiku. .......Ukiwa na bahati mtalala but the first kituo itakuwa kwa best man kwenda kukushtaki kuwa umeanza infiii......Hapo hapo ndo pa kulianzisha gumzo.:smile::hippie:
(Hivi nimeomba BAN eh??)
hahahahaha MJ1 umenichekesha sana hapo jamaa lazima ageuke mbogo ,unajua mkuki kwa Nguluwe ..?
Good day all,
Nimejaribu kuwa mwanamke mwema kwa mme wangu , but on every little row we have, he leaves home for 5 days without coming back, when i call he doesnt pik up,neither does he calls. i dont knw whr he sleeps nor eats. & he coms bk later on,no apology, no explanations,even wen i try to probe, he says he doesnt want to talk abt it. we dnt have a kid yet. & we ar not a yr old in marriage yet!!! pls wives, wot have i done wrg? dont u guys also have rows , i feel like gettin away from him, i cant trust him anymore.i think he doesnt lov me again. pls your advise...
NB;Not me ..huyu mwanamama anaomba msaada wenu kimawazo
In a world of uncertainty, you don't have to keep hold of things that doesn't determine the path of your life.Good day all,
Nimejaribu kuwa mwanamke mwema kwa mme wangu , but on every little row we have, he leaves home for 5 days without coming back, when i call he doesnt pik up,neither does he calls. i dont knw whr he sleeps nor eats. & he coms bk later on,no apology, no explanations,even wen i try to probe, he says he doesnt want to talk abt it. we dnt have a kid yet. & we ar not a yr old in marriage yet!!! pls wives, wot have i done wrg? dont u guys also have rows , i feel like gettin away from him, i cant trust him anymore.i think he doesnt lov me again. pls your advise...
Hebu basi printi hayo ma-ushauri wa Brandon umpelekee. Tena na tena nasema...Mungu wa huyu dada ni mkubwa sana kwani ndani ya mwezi mmoja jamaa atakuwa amesahaulika kama mtu aliyekojoa pembeni mwa njia..
Unajua mtoto anasababisha mtu aandikwe moyoni mwako kama vile tunavyoandikwa kwenye kitabu cha Mungu. Sasa huyu dada anangoja nini?
ooops....i may be late to comment but for the one concerned about this, it won't be late i think. Check with me through inbox email.....i can help, advise and i believe it will work...gime ur phone number through inbox, i will call u and arrange how we can meet and discuss about ur issue.Thanks and very sorry for this.
Kweli kabisa DC yaani me mpaka roho inaniuma huyo dada achape lapa kabisa kabla hajazaa mtu ukishazaa nae kila unapotaka kumsahau unakutana na ile taswira ya mtoto unakumbuka machungu aliyokusababishia half ukute mtoto ndio kafanana nae ndio balaa lol me sometimes huwa natamani mtoto ningempa kabisa na nimsahau nisiwaone wote ye na mwanae linakuja la uchungu wa mwana umemzaa kwa uchungu halafu mtoto mzuri ndio unashindwa kabisaaaa yaani huyo dada ana bahati sana aangalie njia mapema
Jamaa alikua blacmailed au alipata shinikizo flan kuingia katika hii ndoa....bidada hakuwa chaguo lake..hapa anachofanya ni kuonyesha kwamba ndoa ni zaidi ya makaratasi yaliyosainiwa mbele ya kasisi.
ooops....i may be late to comment but for the one concerned about this, it won't be late i think. Check with me through inbox email.....i can help, advise and i believe it will work...gime ur phone number through inbox, i will call u and arrange how we can meet and discuss about ur issue.Thanks and very sorry for this.
aisee maty kama kuchapa lapa ingekuwa rahisi ivo wengi wangechapa hapa kuna mambo mengi lakini kwa sababu tunaongelea upande mmoja inakuwa ngumu kidogo halafu kama unavoelewa jamii yetu mara nyingi wababa ndo wanabeba makosa ya kina mama mwanamke akiwahi tu kukushtaki nakulalamika... pigia mstari. hapa waeza kuta jamaa aliona kitu kwa mkewe kuna viumbe hawajua kusamehe na kubeba vinyongo kila wanapotembea au kakutana na wanawake mambo mtaani huko akasema habanduki mtu au alikuwa na mchumba au mdada walipendana kabla hajaoa sasa yale maumivu anahakikisha anamkamata huyu kaka kwa nguvu yoyote ndo maana akiingia ndani pamoto anatoa visago tu mi naamini kwenye hili ukweli wote dada anaujua vizuri UNAPOKOSEWA NA MTU YOYOTE JITAFAKARI KWANZA WEWE ULICHANGIA KWA KIASI GANI KUMFIKISHA MWENZIO HAPO ALIPO NDO UTAWEZA KUTATUA TATIZO OTHERWISE UTALALAMIKA MPAKA SIKU YA KWAHERI NDUGU
I am sure mpaka sasa FL1 ameshafikishija messeji na utendaji umeanza... hiyo ndio tamu ya JF.... kumkoma nyani giladi ----
Good day all,
Nimejaribu kuwa mwanamke mwema kwa mme wangu , but on every little row we have, he leaves home for 5 days without coming back, when i call he doesnt pik up,neither does he calls. i dont knw whr he sleeps nor eats. & he coms bk later on,no apology, no explanations,even wen i try to probe, he says he doesnt want to talk abt it. we dnt have a kid yet. & we ar not a yr old in marriage yet!!! pls wives, wot have i done wrg? dont u guys also have rows , i feel like gettin away from him, i cant trust him anymore.i think he doesnt lov me again. pls your advise...
NB;Not me ..huyu mwanamama anaomba msaada wenu kimawazo
Mdada kazoma komenti zote hapa Nitakuja na update Soonest