My Husband Is Acting Funny ..msaada pls

My Husband Is Acting Funny ..msaada pls

Niliona dada mmoja kila siku alikuwa anapewa mkong'oto na mmewe siku moja akatwangwa mpaka akazimia ..alipokuja kuzinduka na kupata nguvu akarudi kwa wazazi ile kufika anawapa sababu kwa nini yuko pale wakamwambia arudi kwa mmewe wataenda kuongea kama familia ..
ile amerudi kwa mmewe akakaa siku mbili mme akampa kipigo tena..
mama wa watu akaona isiwe tabu na alikuwa ni visenti vyake akatokomea kusikoeleweka na watoto wake wawili mme akahaha bila mafanikio miaka nenda miaka rudi ..kumbe mwana mama baada ya kuondoka alienda kwa shost wake mkoa wa mbali akamweleza yote.shost akampa mtaji mdogo miaka ile mdada akaanza kutinga kwa juhudi na maarifa mpaka akatoka akawa anafata pamba nje ya nchi mwisho wa siku kaolewa huko na watoto anasomesha jamaa nae alishaoa :smile-big:

i dont think was the best way, unless kama wali-divorce, if not hiyo degradation tu ya maana ya ndoa... sijui hali ya watoto ikoje
 
i dont think was the best way, unless kama wali-divorce, if not hiyo degradation tu ya maana ya ndoa... sijui hali ya watoto ikoje

watoto sasa wanasoma huko Uloyo sijui watakuwa na hali gani labda mzungu alishawajenga kisaikolojia:smile-big:
 
Good day all,
Nimejaribu kuwa mwanamke mwema kwa mme wangu , but on every little row we have, he leaves home for 5 days without coming back, when i call he doesnt pik up,neither does he calls. i dont knw whr he sleeps nor eats. & he coms bk later on,no apology, no explanations,even wen i try to probe, he says he doesnt want to talk abt it. we dnt have a kid yet. & we ar not a yr old in marriage yet!!! pls wives, wot have i done wrg? dont u guys also have rows , i feel like gettin away from him, i cant trust him anymore.i think he doesnt lov me again. pls your advise...


NB;Not me ..huyu mwanamama anaomba msaada wenu kimawazo

mmh hapa kuna tatizo kubwa..ila pamoja na hayo yote simshauri kukimbia ndoa yake. Kama ndoa ni ya kanisani/msikitini amshirikishe mchungaji/shekhe ataongea na mumewe ili sababu zijulikane. Mawazo yangu naona huenda huyo mumewe kuna vitu vinamkera hapo nyumbani lakini anashindwa kujiexpress himself kwa mdada.Au alipooa alikuwa na expectation sana ambazo sasa hv hazipati ndio maana anachanganyikiwa. Au huenda kabla ya kuoa alikuwa na mwanamke mwingine ambaye hakutaka kumuoa,wala kumuacha na sasa yule wa nje ameongeza mautamu na huyu wa ndani labda kabweteka sasa jamaa hapo anaona bora ajilie mautamu yake ya old.Or huenda kakamatwa na kicheche huko nje kimempumbazaa na madawa sasa anamuona mkewe ka chura vile hana hata hamu naye, ya dunia mengi, sababu zipo nyingi sana...la muhimu hapo mwambie huyo dada awe strong haina haja ya kukimbia ndoa ili iweje?na tayari walishamsendoff kwao.hizo ni challenge za maisha, hamna ndoa rahisi hata kidogo, ni kama kazi tu kila siku tunakumbana na challenge za ajabu ajabu lakini tumo tuu. Namshauri pia apige goti na kufunga kama wa msikitini au kanisani hapo kuna kishetani mtuuuu au huenda shetani ni yeye mwenyewe, asilaumu sana ajiangalie kwanza...vitu alivyokuwa anafanya kabla ya ndoa na sasa, huenda kauli imekuwa sio, usafi "F", majambozi -F ha ha ha kazi kweli kweli...ila pole mwaya kwa sababu jamaa na yeye yaani hata kuongea, amekuwa bubuuuuuuuuuuuuuuu....
 
watoto sasa wanasoma huko Uloyo sijui watakuwa na hali gani labda mzungu alishawajenga kisaikolojia:smile-big:
ohooo, kumbe aliolewa na mzungu, safi... kuna sredi moja inazungumzia wazungu wanavyodiskasi dada zetu kwenye jukwaa la maria roza

Nampongeza huyo dada, but do kids have access to their biological father?
 
ohooo, kumbe aliolewa na mzungu, safi... kuna sredi moja inazungumzia wazungu wanavyodiskasi dada zetu kwenye jukwaa la maria roza

Nampongeza huyo dada, but do kids have access to their biological father?

Ile sredi nimechoka hatari kweli kweli
 
The system above resembles compressed air system. Any system that is designed to carry out pressurized air must have a relief valve, which acts as a safety valve when pressure surges. Mathematically, could be expressed as
.............................................
 
Emotionally ninachowezamshauri dada huyu ni kuwa kwa namna inavyoelekea amejitahidi kuwa mwema kwa mumewe ila tu bahati mbaya mumewe ndo aina ileeee ninayoijua mie MJ1. Kuna mawili dada ajichunguze kwanza huo wema wake- inawezekana anakuwa mwema kwa kukaa kimya akiogopa kumwuzi mumewe au anakuwa mwema kwa kuwa na nidhamu ya uwoga kwa mumewe. Hii haikusaidii wala kukutunuku cheti cha mke mwema. Kuwa mtiifu kwa nidhamu halali. wengine wanakuwa wake wema wa Usista kwa maana ya kuwa hata kufunua upaja kimtego anaona kama anajishushia heshima kwa mumewe sasa akikamatika huko nje outomatically anakuwa na hasira ya why amekuoa wewe -wife -sister na kuchelewa kukutana na Mwadawa ameyemwehusha akawehuka.(Why Men love Bitches) Jichunguze kwanza wema wako kama mke mwema ulikuwa ukoje kwa sababu kuwa mke mwema kunajumlisha nidhamu, utii, na tabia njema kwa mumeo pamoja na kuwa na uwezo wa kuzo wa kukemea pale anapokosea /kueleza feelings zako unapokosewa/ kumfurahisha unapofurahishwa.

Kama hayo yote umefanya na bado hali ni tete, basi anatakiwa auvae ukichaa hata wa siku moja. Hata kama ikibidi siku anayorudi baada ya kulala nje panda juu ya meza na usimamie kidole gumba, awake hadi kieleweke masuala ya I dont want talk about it hakuna mwambie atasema. Atatishia kupiga bibi jiandae, na atakaponyanyua mkono kukupiga yaani fanya kituko cha mwaka, chochote kile lakini aelewe kuwa umechoka na tabia hiyo ya kinyanyasaji. Ikishindikana bidada peleka kwa wazee.

(Samahanini am too emotional leo, ndo maana nikaomba BAN- na ninaomba Mods msini-BANNUE hadi siku tatu zipite. Seriously)
 
The system above resembles compressed air system. Any system that is designed to carry out pressurized air must have a relief valve, which acts as a safety valve when pressure surges. Mathematically, could be expressed as
.............................................
Hahahaaa... the human body is like that machine... and the best example is the GIT
 
Emotionally ninachowezamshauri dada huyu ni kuwa kwa namna inavyoelekea amejitahidi kuwa mwema kwa mumewe ila tu bahati mbaya mumewe ndo aina ileeee ninayoijua mie MJ1. Kuna mawili dada ajichunguze kwanza huo wema wake- inawezekana anakuwa mwema kwa kukaa kimya akiogopa kumwuzi mumewe au anakuwa mwema kwa kuwa na nidhamu ya uwoga kwa mumewe. Hii haikusaidii wala kukutunuku cheti cha mke mwema. Kuwa mtiifu kwa nidhamu halali. wengine wanakuwa wake wema wa Usista kwa maana ya kuwa hata kufunua upaja kimtego anaona kama anajishushia heshima kwa mumewe sasa akikamatika huko nje outomatically anakuwa na hasira ya why amekuoa wewe -wife -sister na kuchelewa kukutana na Mwadawa ameyemwehusha akawehuka.(Why Men love Bitches) Jichunguze kwanza wema wako kama mke mwema ulikuwa ukoje kwa sababu kuwa mke mwema kunajumlisha nidhamu, utii, na tabia njema kwa mumeo pamoja na kuwa na uwezo wa kuzo wa kukemea pale anapokosea /kueleza feelings zako unapokosewa/ kumfurahisha unapofurahishwa.

Kama hayo yote umefanya na bado hali ni tete, basi anatakiwa auvae ukichaa hata wa siku moja. Hata kama ikibidi siku anayorudi baada ya kulala nje panda juu ya meza na usimamie kidole gumba, awake hadi kieleweke masuala ya I dont want talk about it hakuna mwambie atasema. Atatishia kupiga bibi jiandae, na atakaponyanyua mkono kukupiga yaani fanya kituko cha mwaka, chochote kile lakini aelewe kuwa umechoka na tabia hiyo ya kinyanyasaji. Ikishindikana bidada peleka kwa wazee.

(Samahanini am too emotional leo, ndo maana nikaomba BAN- na ninaomba Mods msini-BANNUE hadi siku tatu zipite. Seriously)

...hehehehehe!...ama kweli hii ni very emotional wajameni! pheeeeeeeeeeewwwww, MWJ1 Oyeeee kwa uwazi na ukweli wako!
 
Emotionally ninachowezamshauri dada huyu ni kuwa kwa namna inavyoelekea amejitahidi kuwa mwema kwa mumewe ila tu bahati mbaya mumewe ndo aina ileeee ninayoijua mie MJ1. Kuna mawili dada ajichunguze kwanza huo wema wake- inawezekana anakuwa mwema kwa kukaa kimya akiogopa kumwuzi mumewe au anakuwa mwema kwa kuwa na nidhamu ya uwoga kwa mumewe. Hii haikusaidii wala kukutunuku cheti cha mke mwema. Kuwa mtiifu kwa nidhamu halali. wengine wanakuwa wake wema wa Usista kwa maana ya kuwa hata kufunua upaja kimtego anaona kama anajishushia heshima kwa mumewe sasa akikamatika huko nje outomatically anakuwa na hasira ya why amekuoa wewe -wife -sister na kuchelewa kukutana na Mwadawa ameyemwehusha akawehuka.(Why Men love Bitches) Jichunguze kwanza wema wako kama mke mwema ulikuwa ukoje kwa sababu kuwa mke mwema kunajumlisha nidhamu, utii, na tabia njema kwa mumeo pamoja na kuwa na uwezo wa kuzo wa kukemea pale anapokosea /kueleza feelings zako unapokosewa/ kumfurahisha unapofurahishwa.

Kama hayo yote umefanya na bado hali ni tete, basi anatakiwa auvae ukichaa hata wa siku moja. Hata kama ikibidi siku anayorudi baada ya kulala nje panda juu ya meza na usimamie kidole gumba, awake hadi kieleweke masuala ya I dont want talk about it hakuna mwambie atasema. Atatishia kupiga bibi jiandae, na atakaponyanyua mkono kukupiga yaani fanya kituko cha mwaka, chochote kile lakini aelewe kuwa umechoka na tabia hiyo ya kinyanyasaji. Ikishindikana bidada peleka kwa wazee.

(Samahanini am too emotional leo, ndo maana nikaomba BAN- na ninaomba Mods msini-BANNUE hadi siku tatu zipite. Seriously)

Kamanda leo umekula nini? Mjusi?
 
Ile sredi nimechoka hatari kweli kweli
ohooo, kumbe aliolewa na mzungu, safi... kuna sredi moja inazungumzia wazungu wanavyodiskasi dada zetu kwenye jukwaa la maria roza
Nampongeza huyo dada, but do kids have access to their biological father?

ipo wapi hiyo? hebu ifufueni nami niambulie darasa- mawili matatu...huwezi jua bana,...naweza takwa ushauri nikajifanya najenga kumbe nabomoa!
 
Emotionally ninachowezamshauri dada huyu ni kuwa kwa namna inavyoelekea amejitahidi kuwa mwema kwa mumewe ila tu bahati mbaya mumewe ndo aina ileeee ninayoijua mie MJ1. Kuna mawili dada ajichunguze kwanza huo wema wake- inawezekana anakuwa mwema kwa kukaa kimya akiogopa kumwuzi mumewe au anakuwa mwema kwa kuwa na nidhamu ya uwoga kwa mumewe. Hii haikusaidii wala kukutunuku cheti cha mke mwema. Kuwa mtiifu kwa nidhamu halali. wengine wanakuwa wake wema wa Usista kwa maana ya kuwa hata kufunua upaja kimtego anaona kama anajishushia heshima kwa mumewe sasa akikamatika huko nje outomatically anakuwa na hasira ya why amekuoa wewe -wife -sister na kuchelewa kukutana na Mwadawa ameyemwehusha akawehuka.(Why Men love Bitches) Jichunguze kwanza wema wako kama mke mwema ulikuwa ukoje kwa sababu kuwa mke mwema kunajumlisha nidhamu, utii, na tabia njema kwa mumeo pamoja na kuwa na uwezo wa kuzo wa kukemea pale anapokosea /kueleza feelings zako unapokosewa/ kumfurahisha unapofurahishwa.

Kama hayo yote umefanya na bado hali ni tete, basi anatakiwa auvae ukichaa hata wa siku moja. Hata kama ikibidi siku anayorudi baada ya kulala nje panda juu ya meza na usimamie kidole gumba, awake hadi kieleweke masuala ya I dont want talk about it hakuna mwambie atasema. Atatishia kupiga bibi jiandae, na atakaponyanyua mkono kukupiga yaani fanya kituko cha mwaka, chochote kile lakini aelewe kuwa umechoka na tabia hiyo ya kinyanyasaji. Ikishindikana bidada peleka kwa wazee.

(Samahanini am too emotional leo, ndo maana nikaomba BAN- na ninaomba Mods msini-BANNUE hadi siku tatu zipite. Seriously)
ha ha ha ha!
dada lake mimi huyoooooooooooooooooooooooooo!

NGOJA NIWAHI VALUUU maanake hapa nilipo naona kabisa ninakoelekea siko
 
Emotionally ninachowezamshauri dada huyu ni kuwa kwa namna inavyoelekea amejitahidi kuwa mwema kwa mumewe ila tu bahati mbaya mumewe ndo aina ileeee ninayoijua mie MJ1. Kuna mawili dada ajichunguze kwanza huo wema wake- inawezekana anakuwa mwema kwa kukaa kimya akiogopa kumwuzi mumewe au anakuwa mwema kwa kuwa na nidhamu ya uwoga kwa mumewe. Hii haikusaidii wala kukutunuku cheti cha mke mwema. Kuwa mtiifu kwa nidhamu halali. wengine wanakuwa wake wema wa Usista kwa maana ya kuwa hata kufunua upaja kimtego anaona kama anajishushia heshima kwa mumewe sasa akikamatika huko nje outomatically anakuwa na hasira ya why amekuoa wewe -wife -sister na kuchelewa kukutana na Mwadawa ameyemwehusha akawehuka.(Why Men love Bitches) Jichunguze kwanza wema wako kama mke mwema ulikuwa ukoje kwa sababu kuwa mke mwema kunajumlisha nidhamu, utii, na tabia njema kwa mumeo pamoja na kuwa na uwezo wa kuzo wa kukemea pale anapokosea /kueleza feelings zako unapokosewa/ kumfurahisha unapofurahishwa.

Kama hayo yote umefanya na bado hali ni tete, basi anatakiwa auvae ukichaa hata wa siku moja. Hata kama ikibidi siku anayorudi baada ya kulala nje panda juu ya meza na usimamie kidole gumba, awake hadi kieleweke masuala ya I dont want talk about it hakuna mwambie atasema. Atatishia kupiga bibi jiandae, na atakaponyanyua mkono kukupiga yaani fanya kituko cha mwaka, chochote kile lakini aelewe kuwa umechoka na tabia hiyo ya kinyanyasaji. Ikishindikana bidada peleka kwa wazee.

(Samahanini am too emotional leo, ndo maana nikaomba BAN- na ninaomba Mods msini-BANNUE hadi siku tatu zipite. Seriously)

I am sure ule muda wote ambao haukuwepo hapa wakati tunachangia, ulikuwa unagonga valuu kwanza ili akili ikae vizuri for this umesomeka na ukaeleweka ngoja niwahi kupata Ballantine kwanza na kwa hii comment yako kuna chupa yako ya Black Label ukitoka ipitie.
 
I am sure ule muda wote ambao haukuwepo hapa wakati tunachangia, ulikuwa unagonga valuu kwanza ili akili ikae vizuri for this umesomeka na ukaeleweka ngoja niwahi kupata Ballantine kwanza na kwa hii comment yako kuna chupa yako ya Black Label ukitoka ipitie.
The Finest

Tafadhali usini-BANNUE mwenzio nimeomba mod wani-BAN
 
The Finest

Tafadhali usini-BANNUE mwenzio nimeomba mod wani-BAN

HA HA HA HA comment yako najaribu kupiga picha kwamba your in the shoes za yule mwanamke, nafikiri kwa HISANI YA MJ1 NA NYAMAYAO angefanya ile kazi, jamaa akirudi akiwa amelala ampitie juu na khanga au zile style za KAMASUTRA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom