idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,300
- 38,450
Jamaa ana I'd nyingi sana, kuna sehemu atajichanganya tu. Si unajua kuchamba kwingi........!!!Na hii ni ID ya NAPE...?
Jamaa ana I'd nyingi sana, kuna sehemu atajichanganya tu. Si unajua kuchamba kwingi........!!!Na hii ni ID ya NAPE...?
Japo wanasema tabia ya vijana wa UVCCM ni kujipendekeza but wewe unatia fora....hata kama unatafuta bwana,you have surpassed
- HA! ha! ha! My Super Brother Ben, nilikwambia hizi siasa za majitaka kwa kijana mdogo kama wewe mwenye bright political future, sio sawa kwako wanaokutuma ni marafiki sana wa hawa wanaokutuma uwachafue, wanakuponza bure mkuu wangu shituka japo kidogo before it is too late!!
- NI USHAURI WA BURE TU KWAKO!!, KWA SABABU HATA UKIFIKIA NAFASI YA KUWA MKUBWA HUKO CHADEMA BADO UNAHITAJI KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, KAMA WALIVYO VIONGOZI WAKO WA JUU USIWAONE HIVYO NA KUJIFANYA VIBURI MWISHO WA SIKU NI MARAFIKI WA KARIBU SANA NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, AMKA KIJANA MDOGO!!
LE MUTUZ
'ikulu siyo wodi ya wagonjwa', 'kwani hamuwaoni wagonjwa mahututi wanaotafuta urais mpaka makanisani'
nukuu kutoka kwa Nape ziarani Mara
chanzo:Mawio
Hiyo video imetengenezwa na mwigulu hahaha , hiyo video ni fake..magamba yameshikwa pabaya....shame on you nape mwandosya. Kwanza nape mwenyewe ashajichokea basi tuu ni vile yuko ccm kwa maslahi binafsi.uchumia tumbo ni kitu kibaya sana.kawadanganyeni wajinga.ben saa8 ni mwiba mchungu sana kwa magamba.
Hapana wao walisoma kilicho nukuliwa na vyombo vya habari kutoka kwa NAPE. HIVI KWANINI VIDEO IMELETWA KWA MAFUNGU NA KWANINI KAMA ALIKUWA NAYO ALIKAA KIMYA TUU.Wamekurupuka kama alivyokurupuka Ben Saanane, haya walete na wao video, Nape kaleta ushahidi kamili kuwa waliosema ni waongo, si maneno yake hayo.
Umewashuka shuu.
Yani hiii kauli wameshaosikia wazee wengi na imewakosesha usingizi wazee wetu wakina MAKAMBA,MALECELA,lowasa,Mangula,Makinda na wengine.@Nape Nnau
"Wazee wanaosubiri
kufa Kesho"
...mzee Mwandosa akíisikia hii kauli yako atajisikiaje?...
Haiwezekani kwenye mkutano mtu akazungumza within 11 minutes, ....
Mmoja wao nasikia aliwahi kukanusha kuwa hakuwahi kusema ....hataki kura za ...wa...Kwa kiongozi wa ccm kukana kauli zake ni kawaida.
Tupe link ya gazeti hilo likiomba radhi. Huu ni uongo uliokubuhu. Nasoma sana magazeti lakini unalolisema sijaliona. Labda lilinipita bila kuliona, sasa liweke hapa tulione kupitia link uliyonayo.Naamini Nape kalala ataukuta ushauri wako, but nina link ya gazeti la Mtanzania mnaloli reffer hapa likiomba radhi kwa kumnukuu vibaya Nape. Sasa kwa kuwa Bavicha majanga hilo hamkuliona. Nalo mtadai imechakachuliwa
tatizo Nape amezidi kuongeaongea bila mpangilio.wanaume hawawagi hivyo.au hujaoa?na nahisi,kama umeoa basi ndoa yako haina amani.huwezi kuwa longalonga namna hiyo,na mke wako aweje?mwanaume hukaa chini na kutafakari kabla ya kuzungumza.sio siri nape unakera sana.na katika watu ambao hawafai kuwa viongozi msikitini,kanisani wala katika jamii ni wewe.kaa chini wazee wakupe hekima.ccm ina wazee wenye busara kama akina sitta,warioba,na warioba.ni vizuri ukae chini ya miguu yao ujifunze.huwezi kuja kuwa kiongozi mzuri kama usipojifunza kupata hekima ya ulimi.usikurupuke mzee.unajua,biblia inasema,"hata -------- akinyamaza huonekana mwenye hekima".kinyuma cha hii sentensi ni nini?TAFAKARI........CHUKUA HATUA.
mheshimiwa jk ailikuwa muongeaji sana hapo mwanzo,matokeo yake akaanza kuona kuwa anaanza kujichanganya.mfano.alisema ana list ya wauza unga..na sasa mchi inaharibiwa na hao wauza unga na hachukui hatua yoyote.huoni kuwa ni tatizo?sisi wananchi tutamwelewaje?angalia alivyotangaza vita na mafisadi, na watu tukamwamini sana,sassa mbona kashindwa?BAADA YA HAPO MMEANZA SERA YA HAMSINI KWA HAMSINI(genda equity).HEBU JIULIZE,KWA NINI MNATAKA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA DAKIKA MOJA?KWA NINI MFIKIRIE KU COMPROMISE STANDARDS KWA SABABU TU YA GENDER? HATUWEZI KUMCHAGUA MTU KWA SABABU YA SEX YAKE,NA PIA HATUWEZI KUMKATAA MTU KWA SABABU YA SEX YAKE.CHAMA ILITAKIWA KIPANGE MIKAKATI YA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE ILI WAWEZE KUFIKIA STANDARDS NA KUCOMPETE NA WANAUME NA KUWASHINDA.NA NAAMINI HIYO INGAKUWA BUSARA.KULIKO KUWABEBABEBA TU ILIMRADI KUFIKIA 50%.TUJIULIZE SWALI,MCHI ZILIZO ASISI MAMBO YA GENDA EQUALITY ,NI NGAPI IMEFIKIA FIFTY-FIFTY? YANI NGOMA WAPIGE WENZENU NINYI MCHEZE BILA KUTAFAKARI MAANA YA HIYO NGOMA?KATIBA YA SASA HAIJAMKANDAMIZA MTU KWA JINSIA YAKE.SASA,KWA NINI MUANZE KUJADILI KUWEKA 50% KWENYE KATIBA???KIKWETE SASA HIUVI NI RAIS.NADHANI SASA ANAONA KWAMBA KUWA RAISI NI ZAIDI YA GENDER.YEYE MWENYEWE TU MWENYE MIAKA MINGI KWENYE SIASA TANGU ENZI ZA MWALIMU,LAKINI BADO NCHI INAMUUMIZA KICHWA.KUKABIDHIWA NCHI SIO MCHEZO.HEBU TAFAKARINI.TUMIENI MUDA WENU KUJADILI MAMBO YA MSINGI YA MAENDELEO YA NCHI,NA CHANGAMOTO ZINAZOLIKABILI TAIFA KWA UJUMLA,IKIWA NI WANAUME,WANAWAKE,PAMOJA NA WATOTO.SIO KUA ABSORBED NA A SINGLE SIDE TU,KWA SABABU ZA KISIASA.NA SIO KUKURUPUKA KUONGEAONGEA KWENYE VYOMBO VYA HABARI.MNAJISHUSHIA P.KWA SASA NAMPONGEZA JK ANGALAU AMEBADILIKA.BADO NA WEWE NAPE.
TAFAKARI....................CHUKUA HATUA...........
Du! Kumbe hata big baby umevundua mwisho wa uongo ni aibu? Afadhali. Pengine utajirekebisha. Unatakiwa vilevile kujua. Kuwa mwisho wa kuropoka ni aibu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums