...Mwisho wa UONGO ni AIBU!

...Mwisho wa UONGO ni AIBU!

Dude, Please !!!!

Is this the best you can do ? You guys.....!

- HA! ha! ha! My Super Brother Ben, nilikwambia hizi siasa za majitaka kwa kijana mdogo kama wewe mwenye bright political future, sio sawa kwako wanaokutuma ni marafiki sana wa hawa wanaokutuma uwachafue, wanakuponza bure mkuu wangu shituka japo kidogo before it is too late!!

- NI USHAURI WA BURE TU KWAKO!!, KWA SABABU HATA UKIFIKIA NAFASI YA KUWA MKUBWA HUKO CHADEMA BADO UNAHITAJI KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, KAMA WALIVYO VIONGOZI WAKO WA JUU USIWAONE HIVYO NA KUJIFANYA VIBURI MWISHO WA SIKU NI MARAFIKI WA KARIBU SANA NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, AMKA KIJANA MDOGO!!

LE MUTUZ
 
Huwa napata sana shida na Hoja za huyu Kilaza wa Magamba maana haeleweki na anakimbia hoja.
 
Kama wewe unajua imechakachuliwa, lete ya kwako ambayo haijachakachuliwa tuione.

Jenga hoja kwa evidence na siyo mihemko ya kibavicha.

Hizi kelele unazopiga ni kelele za debe tupu. Huoni huyo aliyeleta uwongo kuhusiana na hili swala ameamua kufunga thread yake haraka na kuukimbia uongo wake.

.....Bongo lala wewe mwenzako kajenga hoja kwa kutoa evidence kutokana na speech iliyoko kwenye hyo video haina mwanzo wala mwisho,mara nying comments zako ni za kipumba.vu sana,inaonyesha uko affected kwa kitu fulani enzi za your childhood au hata ukubwani mwako, it might be "malnutrition or child abuse whatever" mjinga wewe.
 
- Mzee Mengi kwenye hili alichemka maana hata gazeti lake Nipashe halikukubali uongo huu wa gazeti la Mtanzania ambao baadaye wao wenyewe wameomba radhi kwamba sio kweli, kurusha rusha Majina kama kina Mengi ni dalili za kukosa hoja.

Le Mutuz

Wasome hapa Red Brigade

Gazeti la Mtanzania na Mwananchi yaliripoti habari hii kama ulivyorekodiwa,

Je ni lini yaliwahi kuandika habari ya kuikanusha habari hiyo?

Video ipo uliyozunguza zaidi ya dakika 15, na tayari 98% ya wazee waishio mijini washaona, sasa wewe unaamini umei edit na umeruka kiunzi?

Wale vijana uliowatuma wafuatilie video kwa waandishi wa habari na wawalipe pesa ili wasirushe hewani wamekuingiza mjini, wamekula 20m zenu tu,

Wamekupa copy, original tunayo na
Sisi tutaendelea kuwaonyesha wazee wote nchini kile ulichoongea siku ile mbele ya wanahabari wa nchi hii,
 
- HA! ha! ha! My Super Brother Ben, nilikwambia hizi siasa za majitaka kwa kijana mdogo kama wewe mwenye bright political future, sio sawa kwako wanaokutuma ni marafiki sana wa hawa wanaokutuma uwachafue, wanakuponza bure mkuu wangu shituka japo kidogo before it is too late!!

- NI USHAURI WA BURE TU KWAKO!!, KWA SABABU HATA UKIFIKIA NAFASI YA KUWA MKUBWA HUKO CHADEMA BADO UNAHITAJI KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, KAMA WALIVYO VIONGOZI WAKO WA JUU USIWAONE HIVYO NA KUJIFANYA VIBURI MWISHO WA SIKU NI MARAFIKI WA KARIBU SANA NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, AMKA KIJANA MDOGO!!

LE MUTUZ

Kama una busara kiasi hiki ungefika mbali kisiasa zaidi ya hapa ulipo kwa umri huo uliotukuka.

Hapa tunajadili hoja na sio pua za watu au "Ujomba" na "Ushangazi " mkuu maana kuwa na urafiki kwa gharama yoyote na mtu anayetumia vigezo vya ubaguzi dhidi ya wanadamu wenzake inahitaji moyo.So ni vyema kumrekebisha kwanza kabla ya kuwa na urafiki nae na kuzuia kasumba hii potofu kuenea.Siasa sio uadui hiyo ni principle ya kwanza kwa mwanasiasa anayejitambua

Tujadili sera zitakazowasaidia wazee badala ya kuwakejeli kuwa "wanasubiri kufa"

Shukrani pia kwa ushauri maana pengine umenishauri kulingana na experience ya makosa yako pia.Sitaupuuza ushauri huu!Ubarikiwe Brother!
 
Zako/Zenu mnazoleta huwa ni Original?!Hizi ni fikra zinazoongozwa na watembea na sumu mifukoni kwa ajili ya kuteketezan wenzao.

Bora umesema ana tuhumiwa maana nilidhani una ushahidi.MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI. KWA HIYO UNATAKA KUMSAFISHA NAPE KWA TUHUMA DHIDI YA BEN?

Back to topic

Hivi unajua haya mameno ya @nape yanamgusa mzee na wazee wako? Au kwenu hakuna wazee?

Na wewe una ungana na nape kutaka wazee wetu wafe?

HIVI UNAJUA KWA NINI Nape Nnauye hakuweka video yote toka jana? Kwanini alipo chukua kipande asinge chukua video nzima?

SIAMINI KAMA NAPE ALITUMWA NA CCM KUSEMA HAYO MANENO KWA WAZEE WANAO MSHAURI KILA LEO. HIVI UNAFIKIRI NAPE HANA VIDEO YOTE?

Nape Nnauye TAFADHALI WAOMBE MSAMAHA WAZEE WETU MAANA UMEWAKOSEA NA UMEMKOSEA MUNGU KWA KUINGILIA KAZI YAKE.

Nape Nnauye INA MAANA UNGEKUWA RAIS UMGEWAKUSANYA WAZEE WETU WOTE NA KUWATUPA MTONI?

INA SIKITISHA SANA.
 
Last edited by a moderator:
Haiwezekani kwenye mkutano mtu akazungumza within 11 minutes, hii video imechakachuliwa.

Kingine kinachonyesha video hii imechakachuliwa haijaanzia mwanzo wala haina mwisho ina maana mtu anaanza tuu kuongea from no where hakuna hata kuwasalimia wananchi hakuna?

Halafu unamaliza kuongea hata hakuna kuwashukuru wananchi? uongo mwingine mjipange kabla ya kupost


Na mwisho uombe msamaha kwa kuandika jina la mtu kwa kejeli

Kama wewe unajua imechakachuliwa, lete ya kwako ambayo haijachakachuliwa tuione.

Jenga hoja kwa evidence na siyo mihemko ya kibavicha.

Hizi kelele unazopiga ni kelele za debe tupu. Huoni huyo aliyeleta uwongo kuhusiana na hili swala ameamua kufunga thread yake haraka na kuukimbia uongo wake.

Mwanadiwani, maandishi yenye Italic nime copy kwenye mchango wako toka kwa bwana gwanda 1, evedence unazozitaka zipo humo kwenye Bold usiwe tu mbishi bila kushirikisha kichwa chako, rudia tena kusoma halafu ubishe sasa!
 
Hivi Nape Nnauye kwanini usiwaandikie hata hao wasio na simu au vifaa vya kuplay hizo video ulichosema kuhusu wazee wetu? Bado najiuliza hizi video zilikuwa wapi zisiwekwe tangu mwanzo na badala yake ni vipande vipande?
 
Last edited by a moderator:
Daaa video kwa nini inawekwa vipande vipande?
Hivi wazee wetu wame kukosea nini Nape? Hivi magazeti yote hayo yamemsingizia NAPE.
 
Pamefanyaje hapo kwenye (sumu) au we Mkimbizi hata hujui kiswahili?! kwa sababu naona unachanganya herufi ndogo na kubwa,vipi we Mdada lakini?!!!

Mambo yenu ya kijinga ya kusingizia watu while matukio mnapiga wenyewe yameanza kututokea puani, suala la Tindikali kule Igunga na sehemu nyingi nchini, nani asiyejua kua ccm inahusika and then mnawasingizia CHADEMA? Haya sasa Zanzibar huko watu wameanza kuwamwagia hata wageni Tindikali, nadhani inabidi kuyapitia upya mafundisho/masomo yenu mnayofundishwa huko Green Guard, ukifuga Nyoka kwa kutisha wenzio, siku 1 Nyoka huyo huyo ataota meno and then ataanza kuuma wapendwa wako au hata wewe mwenyewe!
 
- HA! ha! ha! My Super Brother Ben, nilikwambia hizi siasa za majitaka kwa kijana mdogo kama wewe mwenye bright political future, sio sawa kwako wanaokutuma ni marafiki sana wa hawa wanaokutuma uwachafue, wanakuponza bure mkuu wangu shituka japo kidogo before it is too late!!

- NI USHAURI WA BURE TU KWAKO!!, KWA SABABU HATA UKIFIKIA NAFASI YA KUWA MKUBWA HUKO CHADEMA BADO UNAHITAJI KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, KAMA WALIVYO VIONGOZI WAKO WA JUU USIWAONE HIVYO NA KUJIFANYA VIBURI MWISHO WA SIKU NI MARAFIKI WA KARIBU SANA NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, AMKA KIJANA MDOGO!!

LE MUTUZ

Huyu babu naye vipi?

Kwa mujibu wa Nape Nnauye kwa umri wako na wewe unasubiri kufa.

Kweli Nape alitusi watu wengi sana!
 
Last edited by a moderator:
- Yaani this is the best of JF, yaani FACTS zunawekwa hapa wananchi wanapewa mchele na pumba ahsante sana Katibu wa Uenezi wa Chama changu this is just super!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPUNDUZI!!

Le Mutuz

Mkuu Jana usiku umekesha kwenye bar gani mpaka asubuhi?

Tuwekee tena na picha zile unazopiga na wasichana wakiwa nusu uchi.
 
- Mzee Mengi kwenye hili alichemka maana hata gazeti lake Nipashe halikukubali uongo huu wa gazeti la Mtanzania ambao baadaye wao wenyewe wameomba radhi kwamba sio kweli, kurusha rusha Majina kama kina Mengi ni dalili za kukosa hoja.

Le Mutuz

Hivi wewe si unalingana tu umri na Mengi?

Kati yako wewe na Mengi ni nani kaishiwa hoja?

Badala ya kulea wajukuu unakuja kupiga porojo JF na wajukuu zako.
 
- HA! ha! ha! My Super Brother Ben, nilikwambia hizi siasa za majitaka kwa kijana mdogo kama wewe mwenye bright political future, sio sawa kwako wanaokutuma ni marafiki sana wa hawa wanaokutuma uwachafue, wanakuponza bure mkuu wangu shituka japo kidogo before it is too late!!

- NI USHAURI WA BURE TU KWAKO!!, KWA SABABU HATA UKIFIKIA NAFASI YA KUWA MKUBWA HUKO CHADEMA BADO UNAHITAJI KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, KAMA WALIVYO VIONGOZI WAKO WA JUU USIWAONE HIVYO NA KUJIFANYA VIBURI MWISHO WA SIKU NI MARAFIKI WA KARIBU SANA NA VIONGOZI WA JUU WA CCM, AMKA KIJANA MDOGO!!

LE MUTUZ


Katika watu naona wanahoja ni Ben Saanane,,,sasa nashindwa kuelewa anatumwa nini....This guy is doing a good job katika kujenga hoja.

Mwambie Nape alete clip yote hapa kuanzia anaanza mpaka anamaliza youtube hawata m charge.Na utasikia Nape anakuambia ww pia unasubiri kufa ahahaaaaaaaaaaaaaa maana ww si kijana tena mzee Le Mutuz umri wako above 50 .
Kubagua si jambo jema kama navyofanya Nape ....AMKA le Mutuz uwaumbue wale wanao sema kuna uhusiano kati ya Mwili mkubwa na akili ndogo
 
Kama wewe unajua imechakachuliwa, lete ya kwako ambayo haijachakachuliwa tuione.

Jenga hoja kwa evidence na siyo mihemko ya kibavicha.

Hizi kelele unazopiga ni kelele za debe tupu. Huoni huyo aliyeleta uwongo kuhusiana na hili swala ameamua kufunga thread yake haraka na kuukimbia uongo wake.

tunaomba nape aweke video yote, kwani shida iko wapi, video itasema yenyewe, hawa wanaodai imechakachuliwa nao wana hoja, kwann video isiwe na mwanza wala mwisho uliona wapi, hii ni hoja ya msingi. ikiwa nape hakutamka hayo ukiweka video yote isiyofanyiwa uhariri itajibu yote wala ww hutahitaji kuja kuanza kuafuta kujitetea

kuhusu CDM kuchangisha hela wananchi sioni kama ni baya, hata ccm ina utaratibu wake wa kupata fedha na baadhi ya mbinu zimekuwa zikilalamikiwa na wapinzani kuwa mna makapuni ynayopewa tenda wakai mwingine bila hata kufuata taratibu kama skakata la mwaka jana, hii kama ipo ni mbaya zaidi kuliko ya CDM. pili kama ulisoma historia rejea mada za luddism movement na Chartism movement, ukisoma mada hizi utafuta kibwagizo chako

kila la kheri wenye vyama mnaovitetea hata pale ambapo inaonekana kuna maosa yamefanyika

NB: Kukosea kwa binadamu ni jambo la kawaida, yy aliye muungwana pale anapokosea hatafuti kujisafisha kwa njia zinazoleta mashaka bali hukiri na kuomba msamaha kuwa ameikosea jamii, mtu anayetubu makosa yake ndiye huibuka kuwa shujaa katika jamii, ikiwa hatuna tabia ya hivo sio rahisi kufanikiwa katika maisha yetu. Hii haina tofauti na mtu kumkamata mke/mke anazini nje ya ndoa halafu anaaanza kusema ulinifananisha haikuwa mm, hv utajisikiaje?

Nape alishatoa kauli nyingi za kebehi ambazo zingine zilirushwa na vyombo vya habari wananchi wakazisikia na zilihusu wazee hao hao, je hizo nazo mnasemaje?

kumbukeni msitukane wakunga uzazi ungalipo
 
nape namfananisha na Idd Amin aliekusanya wazee na kuwatosa ziwani kisa ni uchafu kampala, shame on u Nape.
 
Back
Top Bottom