Inasemakana una miaka zaidi ya hamsini...bado yanayokutoka kichwani mwako ni haya...aisee kweli Majanga
william ana laana ya mzee malecela ndio maana hana kwake
Inasemakana una miaka zaidi ya hamsini...bado yanayokutoka kichwani mwako ni haya...aisee kweli Majanga
Hapana wao walisoma kilicho nukuliwa na vyombo vya habari kutoka kwa NAPE. HIVI KWANINI VIDEO IMELETWA KWA MAFUNGU NA KWANINI KAMA ALIKUWA NAYO ALIKAA KIMYA TUU.
Nape Nnauye NAKUOMBA UWEKE VIDEO YOTE SI VIPANDE HIVI.
NAPE NA KUHAKISHIA WAZEE WETU WATAKUFA KWA MPANGO WA MUMGU LAKINI SI MPANGO WAKO.
umejitahidi kuweka link vizuri lakin naskia makelele tu hakuna kinachosikika....
- Ben ungeomba Mwenyekiti wako aombe radhi kwa kusema anajua aliyerusha bomu Arusha na baadaye kukataa kuwa hamjui, ungemuomba Katibu wako aombe radhi kwa kupora mke wa watu, kwa kuasi kiapo chake kwa Mungu kwamba atakuwa padri na kumtii Mungu, unapoteza muda mwingi kujali ya wengine wakati ndani mwako kumejaa madudu yale yale unyoyakataa kwa wengine, unafiki haitoshi kuwa jina jema kwako!!
Le Mutuz
Willy,
Naona umeshindwa hoja sasa unatoka nje ya mada na kwenda personal.
Kama unapenda kuzusha na kujadili ndoa za watu hapa sio sehemu yake na tafututa watu wenye fikra hizo.Hata tutofautiane vipi kisiasa hujawahi kunisikia nikijadili masuala yale ya kusikia kuwa umetelekeza watoto USA au masuala ya wewe kuachwa na mke wako.Sijazoea na sio sahihi kuyajadili ingawa wewe unapenda kujadili trivial issues.Please,we are above this petty politics.
Unajua kuwajibu nyie ni kupoteza muda. Namshukuru securitygurd kwa kuweka kipisi cha kwanza. Video hizi zilikuwa kwenye mitandao siku ya pili tu baada ya stori kuchakachuliwa. Wengine hapa wanadai ilikua wapi!! Weka hiyo video yako,usitishie nyau hapa!Lakini cha kufurahisha hata walioandika walishaikanusha lakini kwakukisa hoja mnahangaiaka sanaaaaa! Poleni sina muda wa kupoteza kuwajibu tena kwa hoja mfu!
william ana laana ya mzee malecela ndio maana hana kwake
Bavicha ni janga la Taifa. Kwao uwongo ndiyo nguzo katika harakati zao za kuudanganya umma.
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!
Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!
Nape nilitegemea wewe kama Kiongozi utajutia kauli ulizotoa. Waliokuwekea kauli zako wamesahau hii ya siku za hivi karibuni uliyosema wenye akili timamu ni wale wanaosimamia msimamo wa serikali mbili, ikiwa na maana kuwa wasio waumini wa msimamo huo hawana akili timamu.
Rasimu ya Katiba imeletwa tujadili wote kwa kuheshimu uhuru wa mawazo. Wewe unasema sisi tusiounga mkono hoja za CCM hatuna akili timamu. Nilitegemea hili unalielewa hata baada ya kujadiliwa na vyombo vya habari na mitandao, kukomaa kwako kwa jambo hili sikuungi mkono.
Kila tamko lina gharama, lakini sisi tunakuambia kwenye mitandao tu. Subiri wazee kama watakuelewa au watanzania wengine watakaotafsiri kauli zako.
ww bwana mdogo ni mzushi, muongo na mpotoshaji kama gazeti lenu la tz daima na sasa mawio. Ww ni mtembea na sumu wa kudumu huna moral authority kuandika ujinga wako wako. Waombe radhi watz kwa usaliti wa haki na harakati za vijana
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!
Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!
Kumbe ikulu ni wodi ya kina nani? jibu pia hili usikimbie.'ikulu siyo wodi ya wagonjwa', 'kwani hamuwaoni wagonjwa mahututi wanaotafuta urais mpaka makanisani'
nukuu kutoka kwa Nape ziarani Mara
chanzo:Mawio
This is true, Nape ni mwenzetu humu, tupo naye kwa ID yake ya nape mnauye, ila pia yupo yupo!.Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
View attachment 2420687
Naomba kuthibitisha ana ngozi ngumu!.Mwenye ngozi ngumu ni hapa JF ni Pascal Mayalla wengine ngozi ya u-bwbw