...Mwisho wa UONGO ni AIBU!

...Mwisho wa UONGO ni AIBU!

This is true, Nape ni mwenzetu humu, tupo naye kwa ID yake ya nape mnauye, ila pia yupo yupo!.
Naomba kuthibitisha ana ngozi ngumu!.
P
Kaka Paskali, nakusalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano..!!
Mara ya mwisho Nape Nnauye kuonekana humu ilikuwa lini? Maana hili kaburi ulilolifufua ni mwaka 2013..!! Almost miaka 9 iliyopita
 
Bwn. Pena. Upo??

Sasa hivi unalamba asali tu na bundle zetu.
 
Nahisi ndani ya vile vikao vyao, jf hauzungumzwi vizuri, hivyo hawa wana jf wenye verifed names, once on board, humu jf wanakuwa kimya, mfano mzuri ni jinsi Dr. Kigwa alivyokuwa active kabla ya kuitwa meza kuu!. Baada ya kuitwa meza kuu, jf, kwaheri!.
P
Hii ina ukweli kwa asilimia kubwa tu..! Nakumbuka, kipindi cha pili cha urais wa JK, alichaguliwa kwa kura chini ya zile za kipindi cha kwanza. Pius Msekwa wakati anataja sababu za kushuka kwa kura kipindi cha pili cha JK, JF ILITAJWA KAMA SABABU MOJAWAPO..!! Kwa mantiki hiyo, kiongozi kushiriki kwenye chombo kilichochusha kura za urais kwa chama tawala, lazima wakutolee macho..!!
 
Hii ina ukweli kwa asilimia kubwa tu..! Nakumbuka, kipindi cha pili cha urais wa JK, alichaguliwa kwa kura chini ya zile za kipindi cha kwanza. Pius Msekwa wakati anataja sababu za kushuka kwa kura kipindi cha pili cha JK, JF ILITAJWA KAMA SABABU MOJAWAPO..!! Kwa mantiki hiyo, kiongozi kushiriki kwenye chombo kilichochusha kura za urais kwa chama tawala, lazima wakutolee macho..!!
Hata mimi nilipojiunga, niliaga jf, Nimeamua Kustaafu Rasmi JF, Utangazaji na Uandishi wa Habari Baada ya Kuhudumu Miaka 30. Niko Free Kujiunga Siasa, Nimejiunga CCM na Nitagombea Ubunge
Nimejikuta bado niko jf kwasababu nimekuwa addicted
P
 
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!

Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa unabeba!



Where is Ben?
 
Back
Top Bottom