lusekelo Andrew
Member
- Dec 10, 2012
- 62
- 19
Bavicha ni janga la Taifa. Kwao uwongo ndiyo nguzo katika harakati zao za kuudanganya umma.
Na wendawazimu ni kujibu/ kuchangia hoja kwa 'point' isiyohusiana na mjadala. pia ni akili ndogo, tena mihemko ya kike. mtu aliweka hoja nukuu, mhusika amejibu, aliyeweka hoja awali, ameweka tena kumkanusha mhusika, wewe unakuja na point hata haina uhusiano na kinachoongelewa. si lazima uandike, wakati mwingine busara ni kusikiliza wengine bila kuongea. Hivi kwa nini hampevuki?