Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Chenge, Lowasa, Maige, JK, then who.....uwezo wa kupambana na mtu mmoja mmojaTanzania imedhihirka kuwa hatuna. Ona juzi tu hapa Bunge limekaa kujadili namna ya kuwang'oa Mhongo na Werema, hadi Werema anawaelekeza achaneni na Maswi, Pambaneni na mimi...yaani anawapunguzia idadi ya watu wa kupambana nao lakini wapi.
Mpaka ikaundwa kamati kwenda kukarabati report na maazimio iliyoyafuta yale ya kamati, lakini wapi.... Kufupisha mambo just ng'oa CCM maana huyo mnaepambana naye ana mashina kibao na mizizi imara iliyoenda mbali, hata mking'oa yeye wataota wengine wapya na mbinu mpya. Cha msingi ng'oeni CCM tu, end of story.
Mpaka ikaundwa kamati kwenda kukarabati report na maazimio iliyoyafuta yale ya kamati, lakini wapi.... Kufupisha mambo just ng'oa CCM maana huyo mnaepambana naye ana mashina kibao na mizizi imara iliyoenda mbali, hata mking'oa yeye wataota wengine wapya na mbinu mpya. Cha msingi ng'oeni CCM tu, end of story.