Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
asante kwa picha mkuu .
Ronaldo, unafuatilia hadi siasa za bongo.
Kweli ufisadi wa Tanzania umefikia viwango vya Kimataifa.
Kwa taarifa tu,usifikirie huyu chenge ndio mwizi maarufu,yupo mwingine,azungumziwi sana sababu alikuws anaumwa,ndo amerudi juma mosi jioni.
Huyo ni mwizi wa kutupwa,anaiba kama hana akili nzuri,ni mwizi haujapata kuona.
Anaitwa,Jakaya Mrisho Kikwete.
We unakuja lini bongo sasa?