Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
huyu fisadi ataendekea kula tu mpaka Afe.si ameachia ngazi ya kamati ya bajeti tu..ubunge mpaka mwisho.
usishangae akagombea tena ubunge.
usishangae akagombea tena ubunge.
unamjua BOLLUSCON yuko wapi leo,kila asubuhi ina jioni
Kuna kila dalili ya chenge kufungwa kabla mwaka huu haujaisha , cheo kimoja kimoja kinamdondoka !
Kung`olewa kwa Chenge ktk nyadhifa zake bungeni na kamati ya PAC kumeongezea dosari kubwa rasimu aliyoiandaa yeye na Sitta..Ukawa wamepata pointi nyingine kubwa ya kuizamisha katiba pendekezwa!!!Mkono mchafu hauwezi kuandika katiba
Kwaheri Chenge kwa heri Magamba..kalibuni mwakani kuwa chama kikuu cha upinzani!!!