Mwisho wa Chenge umefika rasmi

.. christine ibrahim kweli kabisa ulichosema kila kitu kina mwanzo na mwisho, dunia hii washakuwepo viongozi mabedui walijifanya miungu mtu lkn walikufa na walizikwa kama mizogaaa
 
Last edited by a moderator:
Huyu itakuwa anakula izo fedha za kifisadi na madada poa... Fedha za haramu uishia kwenye anasa..

unafikiri ile ajali hadi akaua yule mdada ilikuwaje...alikuwa anawakimbiza wadada wale walikuwa ktk bajaji....
 
Mkuu umeongea kwa hisia sana mpaka ukanikumbusha jinsi alivyogonga mtu na kuua na kesi ikaisha hivi hivi.

alikuwa anawakimbiza wale madem walikuwa kwny bajaji.....c..nge akikuwa bwax mbaya
c..nge alidhamiria kbsa kuwauaaaa
 
Za mwizi ni arobaini,ccm walimlea,ccm walimlea alipoua mabinti wale wawili pale alipowaua,wamemlea kifo cha wizu wa Epa
Sasa tumempata nz bado
 
je? mnakumbuka gazeti la Mwana Halisi la mwaka 2009, april lilivyo lipoti mafisadi wa richmond akiwemo huyu mzee wa vijicent kaficha mabilion ya ya watanzania katika visiwa vya New jessay kwenye nchi flani ya wenzetu?
Wenda ndo principal za Harverd walimtuma asikosee kufanya hivyoo!.
 
.. christine ibrahim kweli kabisa ulichosema kila kitu kina mwanzo na mwisho, dunia hii washakuwepo viongozi mabedui walijifanya miungu mtu lkn walikufa na walizikwa kama mizogaaa

Yes!
Unajua wakishakua kwenye hivyo vyeo wanajisahau...Shetani huwa hana urafiki wa kudumu ipo siku atakuacha uchi ushangae
 
Last edited by a moderator:
Watanzania wenzangu,

kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,Chenge ambaye kwa sasa ni Mbunge na Mwenyeketi wa kamati ya Uandishi wa Katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma
harvard university

yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake

Chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma Bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli Chenge,kwa taarifa tu ni kwamba Chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye Escrow zinafikia mwisho wake,Kamwe Chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na ATAVUNA ALICHOPANDA!

kilichobaki sasa hivi kwa Watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,

nimetoka kanisani na tumemshukuru Mungu kwa hapa tulipofika soo far,

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VIONGOZI WAAMINIFU,AMEN!

Aisee, unaijua Gamboshi wewe? Subiri uone, kwa ccm huyu ataibuka tena
 
Watanzania wenzangu,

kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,Chenge ambaye kwa sasa ni Mbunge na Mwenyeketi wa kamati ya Uandishi wa Katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma
harvard university

yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake

Chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma Bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli Chenge,kwa taarifa tu ni kwamba Chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye Escrow zinafikia mwisho wake,Kamwe Chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na ATAVUNA ALICHOPANDA!

kilichobaki sasa hivi kwa Watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,

nimetoka kanisani na tumemshukuru Mungu kwa hapa tulipofika soo far,

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VIONGOZI WAAMINIFU,AMEN!

Kwa taarifa yako Chenge ndie sterling wa kila aina ya ufisadi nchini. Chenge hawezi kuondolewa kutoka kwenye nafasi aliyo nayo CCM labda mpaka serikali nzima ing'oke.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom