Mwisho wa Chenge umefika rasmi

Mwisho wa Chenge umefika rasmi

Rosemarie. Chenge, alikwenda HARVARD kozi ya majira ya 'kiangazi'summer school si mtajwa katika orodha ya waliosoma kama ambayo waziri mkuu mstaafu Sumaye alikaa bweni ambalo hata leo lipo linaonekana.Kozi za Chenge ni za wiki fupi sana.
 
Mmh huyu jamaa ni jinni sidhani kama litang'oka

Hata kwa nondo au risasi haiwezekani? Mbona anadunda mitaani kwetu na tunamwona( huyo jambazi na gaidi).Mbona tunawaua na kuwachoma moto vibaka tukiwaona?Mbona tunamwona na anatembea mitaani hatumwui na kumchoma moto?
Historia chafu ya Chenge(kibaka,fisadi , jambazi na roho mbaya):
1.Alishagonga na kuwauwa wanawake wawili na kuwauwa usiku wa manane akitoka kwenye starehe zake.Akaachiwa huru!
2.Ameshiriki kwenye ufisadi wa epa, radar nk
3.Ndiyo alikuwa kwenye kamati ya uandishi wa katiba ambayo imechakachuliwa kuja kuwalinda mafisadi
3.Sasa yuko kwenye Eskro
Tukitaka Tanzania iendelee kuishi watu kama hawa wanatakiwa kufutwa kwenye uso wa dunia kwa njia yoyote ile.I we ya kumroga au kumtupia jini, kumpiga nondo/mapanga au hata kwa risasi!
 
alafu baada ya makao makuu ya chadema ufipa nyumba
mbili inayofata ni yake...
 
Hata kwa nondo au risasi haiwezekani? Mbona anadunda mitaani kwetu na tunamwona( huyo jambazi na gaidi).Mbona tunawaua na kuwachoma moto vibaka tukiwaona?Mbona tunamwona na anatembea mitaani hatumwui na kumchoma moto?
Historia chafu ya Chenge(kibaka,fisadi , jambazi na roho mbaya):
1.Alishagonga na kuwauwa wanawake wawili na kuwauwa usiku wa manane akitoka kwenye starehe zake.Akaachiwa huru!
2.Ameshiriki kwenye ufisadi wa epa, radar nk
3.Ndiyo alikuwa kwenye kamati ya uandishi wa katiba ambayo imechakachuliwa kuja kuwalinda mafisadi
3.Sasa yuko kwenye Eskro
Tukitaka Tanzania iendelee kuishi watu kama hawa wanatakiwa kufutwa kwenye uso wa dunia kwa njia yoyote ile.I we ya kumroga au kumtupia jini, kumpiga nondo/mapanga au hata kwa risasi!
no mkuu, chenge atatoka tu dunia washakuwepo mabedui chenge cha mtoto
chenge kna watu wanamlea tu huku tz.....siku yake ikifika atatoka hata kwa malungu
 
Huyo jamaa kule usukumani ukisimama nae humalizi wiki wanakuzika... Labda hatashiriki kwenye dili haramu tu ila ubunge tusahau

Hakuna kinachomshinda Mungu na kila lenye mwanzo halikosi mwisho! !!labda ndani ya ccm yao huko...
Na huu ndo mwanzo wa mwisho wake mkuu....
Mi naamini hajapatikana mtu ambae yupo serious huko....
Kwani mtera kwa Malecela ilikuwaje!!?
 
Kuna waziri mkuu mstaafu wa Italy anaitwa Silvio Berlusconi kafanana sana tabia na chief Chenge
 
Hakuna kinachomshinda Mungu na kila lenye mwanzo halikosi mwisho! !!labda ndani ya ccm yao huko...
Na huu ndo mwanzo wa mwisho wake mkuu....
Mi naamini hajapatikana mtu ambae yupo serious huko....
Kwani mtera kwa Malecela ilikuwaje!!?

kweli kabisa kwanza chenge hajaumba dunia yeye syo mungu.atangoka tuuu akingangania biology itamuondoa tu
 
Unajua chenge ni mfumo. Yupo ndani ya mfumo fisidi ambao ni kikundi kikubwa ambacho kina mikakati ya kuendelea kula. Na sasa wapo kwenye gesi. Watakwenda kwenye mafuta. Kila idara wanakula. Wana mtandao mpana sana. Kuwamaliza si kazi rahisi kihivyo. Walijenga mtandao mpana sana. Wakati change ni ag aliweka mazingira ya maswaiba wake kushika nafasi nyeti. Ag alikuwa yeye MTU wa shinyanga. DCI ndugu yake wa huko. Maadili ya viongozi pia MTU wa huko huko.PCCb pia MTU wa huko. Na hata baadaye DPP alitoka huyo. Acha wafanyakazi wadogo na watu kwenye system ambao aliwagroom. Wametengeneza sana mfumo wa ufisadi. Baba yao ni mmakuwa. Vyovyote vile ili kumfuta huyu jamaa lazima kukiondoq chama chake kwanza.

Nawaambia hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho!
Pamoja na yote aliyofanya...unafikiri aliwahi tegemea km anaweza ht kupigwa chini huo uenyekiti? !

Niwaambie tu Ukweli ni kwamba wanatumia sn nguvuza giza kwa kutoa makafara!
Bt pia kuna watu wanaiombea sana hii nchi na ndo maana mambo yanazidi kuharibika cku hadi siku so ht km huo mtandao ni mpana kiasi gani wataondoka tu.
 
Watu wa jinsi hii wako wengi katika nchi hii................ wanaofahamika ni hawa wachachetu laiti ingekuwa nchi za wenzetu kama China Urusi hawa ni wakupigwa risasi hadharani
 
Chenge ni mtaalamu aliyebobea kwenye sheria na siasa hivyo ukimwona wa kazi gani duniani wanasema watampata lini.
they say charity begins at home,
hiyo elimu yake ya sheria imelisadia nini taifa kwa ujumla wake zaidi ya kulitia hasara?!.
 
Watu wa jinsi hii wako wengi katika nchi hii................ wanaofahamika ni hawa wachachetu laiti ingekuwa nchi za wenzetu kama China Urusi hawa ni wakupigwa risasi hadharani

kuna watu hawastahili kuishi kabisa kwa mambo wanayofanya.....wanatakiwa wachinjwe hadharani
 
Nawaambia hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho!
Pamoja na yote aliyofanya...unafikiri aliwahi tegemea km anaweza ht kupigwa chini huo uenyekiti? !

Niwaambie tu Ukweli ni kwamba wanatumia sn nguvuza giza kwa kutoa makafara!
Bt pia kuna watu wanaiombea sana hii nchi na ndo maana mambo yanazidi kuharibika cku hadi siku so ht km huo mtandao ni mpana kiasi gani wataondoka tu.

MUNGU WA KWELI akubariki sana .
 
Watanzania wenzangu,

kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,Chenge ambaye kwa sasa ni Mbunge na Mwenyeketi wa kamati ya Uandishi wa Katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma
harvard university

yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake

Chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma Bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli Chenge,kwa taarifa tu ni kwamba Chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye Escrow zinafikia mwisho wake,Kamwe Chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na ATAVUNA ALICHOPANDA!

kilichobaki sasa hivi kwa Watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,

nimetoka kanisani na tumemshukuru Mungu kwa hapa tulipofika soo far,

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VIONGOZI WAAMINIFU,AMEN!

Pia he will die na hatakumbukwa kwa jema zaidi ya kwenda kulichapa fimbo kabuli lake kwa kusababishia hasara taifa
 
Back
Top Bottom