teh teh lakini mkuu inabidi tujiulize, huyu jamaa kabla ya kuwa attorney general alikuwa nani na kiburi cha kufanya haya yote ametoa wapi.??
alikuwa deputy AG
teh teh lakini mkuu inabidi tujiulize, huyu jamaa kabla ya kuwa attorney general alikuwa nani na kiburi cha kufanya haya yote ametoa wapi.??
Kubwa la maadui, fisadi papaa aka A.Chenge...mie nilijua huyu atakaa kwenye system mpaka kuuzeeka kumbe Mwenyezi Mungu ni mkuu katoa maonyoo mchana kweupe...
Bado wale wengine waliochukua zile cash za stanbic unaweza kuta yupo mkuu wa kaya kwenye list hapo chachaaa
Anaenda 'likizo' kula mafao yaek, ningeelewa vizuri zaidi kama angechunguzwa kisha kufilisiwa. huu upumbavu 'kuwajibishwa' tu, hautoshi.
TUMSHUKURU SANA MUNGU na WAZUNGU , VINGINEVYO TUNGEKAMULIWA HADI DAMU ! HAWA WATU WANA ROHO MBAYA SIJAPATA KUONA !
Baada ya kusoma post yako nimejikuta nabubujikwa na machozi !Mkuu,
Hawa ni watanzania aina ya kipekee. Hawana huruma hata kidogo! Huyu jk sijui anajisikiaje anaposikia wanaume vijini wanazikimbia familia kwa sababu za michango ya maabara!
Nilisema na itakuwa
Kuna kila dalili ya chenge kufungwa kabla mwaka huu haujaisha , cheo kimoja kimoja kinamdondoka !Mtafutie ushahidi wenye mashiko umburute kortini na usimamie kesi hiyo ili hukumu itoke kwa haki
Nilisema na itakuwa
rosemarie hilo ni dua la kuku kamwe halimpati mwewe..Chenge ni mtaalamu aliyebobea kwenye sheria na siasa hivyo ukimwona wa kazi gani duniani wanasema watampata lini....Usimwonee gere kwa kupata fedha hizo unachotakiwa kujiridhisha ni kama kweli fedha hizo hakustahili kulipwa au amekwiba....vinginevyo hata sala yako leo ilikuwa unamwomba shetani kwani Mungu hapokei dua za wenye husuda...
Wew unangali esrow , na RADA . Umesahau awamu ya pili ya akina sumaye. Mikataba yote ya serikali . barabara,10% amechukua yeye , mikataba yote ya madeni tanzanite , dhahabu, almasi na GES inayolikamua taifu yeye ndo mhusika mkuu .. Hapo bado manunuzi mengine makubwa ya SERIKALI kama magari na mengine huyu mtu ni TAJIRI kuliko inavyodhaniwa
Na bado escrow yumo.
Fikiri
unamjua BOLLUSCON yuko wapi leo,kila asubuhi ina jioni
we bwana weeee,unamaanisha Profesa??????
Alivyo jeuri si mlisikia alipokwa anazomewa bungeni wakati akimsaidia madame speaker kumpatia ''formulation'' nzuri ya maneno ya kuandika azimio kwa mkulu ,alisema wala hizo kelele hazimsumbui na alisikika waziwazi kwenye TV,jama ana ngozi ngumu kama ya kiboko mzee
Mkuu siku hazigandi............huyu bwana Chenge ndiye Waziri mkuu wa bwana EL kama atapita kuwa Raisi wa Tanzania........ni ajabu sana hawa mafisadi sijui wanawaona waTZ mapoyoyo.....? eti waziri mkuu wa EL ni chenge........!!!!??Watanzania wenzangu,
kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,Chenge ambaye kwa sasa ni Mbunge na Mwenyeketi wa kamati ya Uandishi wa Katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma harvard university
yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake
Chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma Bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli Chenge,kwa taarifa tu ni kwamba Chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye Escrow zinafikia mwisho wake,Kamwe Chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na ATAVUNA ALICHOPANDA!
kilichobaki sasa hivi kwa Watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,
nimetoka kanisani na tumemshukuru Mungu kwa hapa tulipofika soo far,
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VIONGOZI WAAMINIFU,AMEN!
Sasa Chenge emejivua uenyekiti, swali linakuja je zile pesa inakuwaje?Le professor wa kichina
ni tanzanian ambassador to the netherlands. Yule jamaa hana shida ukifika pale anakupokea vizuri sana.