Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Mtanganyika,
Mkuu wangu kwa nini tuandikie mate wakati wino tunao...tazama figures za IMF kulingana na madai yako miaka ya Nyerere na Mwinyi.
Bofya HAPA
Mkuu Mkandara, kwanza asante kwa kuleta argument based on the facts na sio fiction. Angalia debt % per GDP wakati wa baba Mwinyi ukicompare na Mwalimu.
Mwinyi alipoingia madarakani alikabidhi serikali kwa IMF and World Bank, Washington consensus became Tanzania government main policy. Tukaanza kugawana viwanda vya serikali, tukawa cheerleader wa free market bila hata kuandaa Urafiki kushindana na mitumba. Tukazima subsidize kwenye kilimo usiku mmoja, wakati USA bado wananua mahindi kwa wakulima wao. Inshort Mzee wenu Mwinyi ndio alitupiga msumali wa kichwa.
Watu wanakumbuka phrase yake moja ya Ruksa, mnasahau aliruhusu mazuri na mabaya.