MWINYI Was A Visionary Leader

Mtanganyika,
Mkuu wangu kwa nini tuandikie mate wakati wino tunao...tazama figures za IMF kulingana na madai yako miaka ya Nyerere na Mwinyi.
Bofya HAPA

Mkuu Mkandara, kwanza asante kwa kuleta argument based on the facts na sio fiction. Angalia debt % per GDP wakati wa baba Mwinyi ukicompare na Mwalimu.

Mwinyi alipoingia madarakani alikabidhi serikali kwa IMF and World Bank, Washington consensus became Tanzania government main policy. Tukaanza kugawana viwanda vya serikali, tukawa cheerleader wa free market bila hata kuandaa Urafiki kushindana na mitumba. Tukazima subsidize kwenye kilimo usiku mmoja, wakati USA bado wananua mahindi kwa wakulima wao. Inshort Mzee wenu Mwinyi ndio alitupiga msumali wa kichwa.

Watu wanakumbuka phrase yake moja ya Ruksa, mnasahau aliruhusu mazuri na mabaya.
 
Mkuu Mkandara, kwanza asante kwa kuleta argument based on the facts na sio fiction. Angalia debt % per GDP wakati wa baba Mwinyi ukicompare na Mwalimu.

Mwinyi alipoingia madarakani alikabidhi serikali kwa IMF and World Bank, Washington consensus became Tanzania government main policy. Tukaanza kugawana viwanda vya serikali, tukawa cheerleader wa free market bila hata kuandaa Urafiki kushindana na mitumba. Tukazima subsidize kwenye kilimo usiku mmoja, wakati USA bado wananua mahindi kwa wakulima wao. Inshort Mzee wenu Mwinyi ndio alitupiga msumali wa kichwa.

Watu wanakumbuka phrase yake moja ya Ruksa, mnasahau aliruhusu mazuri na mabaya.


Mzee Mtanganyika:

Nime-scan data alizoweka Mkandara. Lakini naona unafanya makosa kwa kutumia indicator moja ya madeni kuonyesha kuwa Mwinyi aliharibu. Na vilevile kwenye posti zilizotangulia mnaonyesha kuwa IMF na WB ndio wanaoongoza nchi toka enzi ya Mwinyi mpaka sasa. Hili pia ni kosa kubwa. Mashirika haya yame-influence nchi kuanzia mwishoni mwa 60.

Kuanzia 1968-1985, Nyerere alipokea misaada mingi kutoka Mashirika ya fedha na nchi wahisani. Tena alipokea fedha hizo wakati nchi haina madeni. Na alipewa misaada mingi kwa sababu nchi ilikuwa na amani, na vilevile aliweza kuelezea blueprint zake ambazo zilifanana na zile za bank ya dunia.

Kwa kifupi tu Mchumi mmoja wa Marekani aliandika theory kuwa kwenye nchi yenye watu ambao hawana kazi na yenye upungufu wa mashine, ukiweza kuongeza mashine za uzalishaji kwa wingi basi utaongeza maradufu GDP. Independently bila kujua kuwepo nadharia hii, Warusi waliweza kufanya mapinduzi makubwa ya viwanda na kuongeza GDP.

Hivyo nadharia hii ikachukuliwa na World Bank kama moja ya blueprint za maendeleo katika nchi masikini. Na kwa sababu serikali ya Urusi ndio iliyokuwa chanzo cha mapinduzi ya viwanda Urusi, basi ikaaminiwa kuwa hata serikali za kiAfrika zinaweza kufanya kama waRusi. Na hii ndio sababu katika kipindi miaka ya 70, serikali za nchi masikini kama Tanzania, Zambia zilijazwa mapesa kufungua miradi mbalimbali.

Mpinzani wangu wa jadi Companero anajua serikali ya Tanzania ilivyochukua ardhi ya ndugu zake wachungaji hili kuanzisha mashamba ya NAFCO. Yeye anaita State Capitalism.

Anyway kufikia mwishoni mwa 70, dalili zikaanza kujionyesha kuwa theory ya kutumia serikali kufanya economic expansion ilikuwa haifai na nchi nyingi zikawa zipo kwenye madeni kuliko zipochukua uhuru.

Hivyo Nyerere alituacha na economic model ambayo ilikuwa unsustainable. Na bado kuna watanzania wanaodai kuwa tulikuwa na viwanda vya umma. Wakati viwanda hivyo havikufunguliwa kwa jitihada zetu.

Hivyo kama Obama ame-jumpstart economy ya Marekani kwa kukopa pesa kutoka China na kuongeza national debts. Kwanini basi deni la Mwinyi lisiwe justifiable?

Ninachokiona mimi kwenye ubishi huu ni tabia ya Watanzania kutojifunza na kuendelea kubishana kama wapo mpirani. Financial crisis na global recession ni shule nzuri sana. Na tungeweza kupanua maarifa yetu ya kuangalia jinsi mataifa mengine yanavyopambana na matatizo.

Wenu

Z10
 
Mtanganyika,
Mkuu hata sielewi argument hapa. Debt % per GDP ya Mwinyi ilikuwa juu, inflation na karibu kila kitu ukiangalia wakati wake ndio tulikuwa vibaya zaidi lakini huu ndio undani wa uchumi kulingana na data hali wananchi walifurahia zaidi ruksa ambayo iliwapa uwezo wa kuiba mali zao wenyewe.

Kisha Sio Mwinyi aliyefungua milango isipokuwa Nyerere mwenyewe July 1984 bungeni na nakumbuka sisi ndio tulianza kuleta mali kutoka Dubai na Comoro kabla hata Wadanganyika hawajashtukia Uhuru huo. Na Mwinyi hasa kutangaza RUKSA ilikuwa awamu yake ya pili (1990) sisi wengine tumekwisha jikata..

Tatu, sii kweli masharti ya IMF wakati wa Nyerere ndiyo yaleyale alopewa Mwinyi walipokuja na SAP..in fact IMF walibadilisha masharti yao baada ya Gorbachev kuingia madarakani na mwanzo wa kifo cha cold war na wameendelea kubadilisha (reform policies) )hadi sasa hivi masharti sii magumu tena kama alokuwa nayo Nyerere na Ujamaa. Leo hii nchi zinatakiwa kuonyesha uwezo wake badala ya nchi kulazimishwa kubadilisha siasa zake na naweza sema tu masharti wanayowekewa Cuba, North Korea na Iran leo hii ndio alokuwa nayo mwalimu simply because tulikuwa tukimiliki uchumi wetu.

Tunachoshindwa wengi kufahamu ni kwamba mabadiliko yoyote ya policies za kiuchumi duniani zinalenga nchi za magharibi ambazo ziko 100 yrs mbele yetu..Na ukiwatazama wao miaka 100 iliyopita walimiliki pia uchumi wa nchi zao tena ilikuwa vigumu sana kwa mgeni kuja kuwekeza nchini zao unless una immigrate. Walihodhi benki zao, viwanda vyao, mashirika yao na karibu kila kitu walichofanya. Ubepari unahitaji mtaji kama wananchi wako hawana mtaji ni vigumu sana kufikiria Ubepari unaweza ku sustain uchumi wa nchi maskini.

Naweza sema kwa kukisia ut kwamba pengine asilimia 80 ya biahsra zote za Ulaya na Amerika ni mali ya benki zao, majumba makubw ana madogo unayoyaona huko ni mikopo iliyowezeshwa na benki zao, magari yaani kila kitu unachokiona kinashamiri kwao kimetokana na benki yaani mkopo na sio toka mfukoni mwa mtu. Hata huyo Bill Gates tajiri mkubwa duniani alianza na mkopo kabla hajafika hapo alipo leo, tofauti kabisa na mikakati inayotayarishwa kwa ajili ya nchi zetu.

Kwa hiyo, kufungua kwa milango yetu kulituwesha sisi kuleta mitumba, magari mitumba wakati tukashindwa kabisa kujenga miundombinu mipya zaidi ya kuchukua mitumba na mikataba feki kwani ndio ulikuwa uwezo wetu..hivyo siwezi sema Kiuchumi Mwinyi alikuja mna mazuri hata kidogo ikiwa sisi hatukuwa namazingira sawa na nchi za magharibi ambazo zilisherehekea Ubepari..Na ndio maana hadi leo tunakulana sisi wenyewe kwa wenyewe kwa sababu Ubepari pasipo mtaji ni sawa na ndoto ya maskini anayelala pale msikitini Kisutu akisema - ONE DAY YES!
 
Wapo wanaodai eti mzee Mwinyi siye aliyerudisha Vyama vingi nchini, this is ridiculous, Yeye ndiye aliyekuwa raisi wa nchi wakati ule, angesema hapana liwalo na liwe , wala hakuna mchakato wowote wa vyama vingi ambao ungeendelea nchini. huwezi kumnyang'anya mzee Mwinyi credit ya kurudisha vyama vingi nchini hata kidogo. inawezekana kweli Idea iitolewa na IMF au World Bank au hata Taifa lolote kubwa, lakini kitendo cha kukubali wazo zuri na kulifanyia kazi ni kitendo cha busara.

Mpaka mwaka 1985 Ujamaa ulikuwa umeshashindwa, sasa ingekuwa jambo la ajabu kuendelea na sera zile zile wakati dunia nzima ilikuwa inabadirika kufuata ubepari na sera za soko huria.

Halafu kingine cha kushangaza wengine wanadiriki hata yale mazuri ya Mwinyi credit kumpa Nyerere, eti kama Si Nyerere kupigia debe vyama vingi visingerudishwa, mbona yeye alivifuta at the first place?.
Mwinyi angesema NO!, na kuamua kufa na tai shingoni kingefanyika kitu?

So far, nadhani Mzee Mwinyi is one of the Great presidents our country has ever had, or will ever have
 
Wapo wanaodai eti mzee Mwinyi siye aliyerudisha Vyama vingi nchini, this is ridiculous, Yeye ndiye aliyekuwa raisi wa nchi wakati ule, angesema hapana liwalo na liwe , wala hakuna mchakato wowote wa vyama vingi ambao ungeendelea nchini. huwezi kumnyang'anya mzee Mwinyi credit ya kurudisha vyama vingi nchini hata kidogo. inawezekana kweli Idea iitolewa na IMF au World Bank au hata Taifa lolote kubwa, lakini kitendo cha kukubali wazo zuri na kulifanyia kazi ni kitendo cha busara.

Mpaka mwaka 1985 Ujamaa ulikuwa umeshashindwa, sasa ingekuwa jambo la ajabu kuendelea na sera zile zile wakati dunia nzima ilikuwa inabadirika kufuata ubepari na sera za soko huria.

Halafu kingine cha kushangaza wengine wanadiriki hata yale mazuri ya Mwinyi credit kumpa Nyerere, eti kama Si Nyerere kupigia debe vyama vingi visingerudishwa, mbona yeye alivifuta at the first place?.
Mwinyi angesema NO!, na kuamua kufa na tai shingoni kingefanyika kitu?

So far, nadhani Mzee Mwinyi is one of the Great presidents our country has ever had, or will ever have
Gamba,
Ni kweli Mwinyi alikuwa rais wakati wa mfumo wa vyama vingi kuanzishwa. Lakini yeye alitaka Tanzania iendelee na chama kimoja baada ya maoni ya raia kuonyesha kuwa 80% walitaka kuendelea na mfumo huo. Nyerere akawatahadharisha kuwa wakichagua kuendelea na chama kimoja wataganda nacho na madhara yake ni makubwa zaidi kuliko kuachia vyama vingi. In theory Mwinyi was opposed but yes, the multiparty was established under his rule. PS. Hotuba zote za Nyerere na Mwinyi on multiparty unaweza kuzipata pale TBC.
 
Mkuu hata sielewi argument hapa. Debt % per GDP ya Mwinyi ilikuwa juu, inflation na karibu kila kitu ukiangalia wakati wake ndio tulikuwa vibaya zaidi lakini huu ndio undani wa uchumi kulingana na data hali wananchi walifurahia zaidi ruksa ambayo iliwapa uwezo wa kuiba mali zao wenyewe.

Wakati Mzee Mwinyi anachukua Madaraka, mwaka 1985 Inflation ilikuwa 36.1%, mwaka 1986 akafanikiwa kuipunguza kwa 7.76% na kufikia 33.3%. Mwaka 1987 akashusha inflation kutoka 33.3% na kufikia 32.4%. mwaka 1987, mwaka 1988 hakufanikiwa kuishusha hiyo inflation na matokeo yake ikapanda hadi 47.702% ikiwa ni ongezeko la asilimia 47.23. mwaka 1989 ilifanyika kazi ya ziada na inflation ikashuka kutoka hiyo 47.702% hadi 20.602% mwaka 1990 iflation ilikuwa 22.562%, mwaka 1991 ilikuwa 28.037%, mwaka 1992 ikashuka na kufikia 21.935%. mwaka 1993 ikawa 23.619%, na mwaka 1994 ikapanda tena hadi 37.146, na mwaka 1995 ikashuka hadi 23,969%. kwa hiyo kwa Mujibu wa hizi data ni dhahiri Mzee Mwinyi na serikali yake walikuwa wanapambana na mfumuko wa bei, wakati mwingine unapanda na mara nyingi zaidi wanaushusha. ukiondoa mwaka 1988 na mwaka 1994 ambapo mfumuko wa bei ulikuwa ni asilimia 47. 702 na 37.146%, miaka yote 8 iliyobakia ya utawala wake mfumuko wa bei ulikuwa chini ya mfumuko wa bei katika kipindi cha miaka mitano ya mwisho ya utawala wa Nyerere(1980 hadi 1985).

mfumuko wa bei 1980 ulikuwa 30.205%, mwaka 1981 ulikuwa 30.3%, mwaka 1982 ulikuwa 25.7%, mwaka 1983 ulikuwa 28.9%, mwaka 1984 ulikuwa 27.1%, na mwaka 1985 ulikuwa 36.1%.

chanzo cha hizi data.
Tanzania Inflation rate (consumer prices) - Economy

Na kwa upande wa GDP per Capita.
data zinaonyesha kuanzia mwaka 1977 mpaka 1984 GDP per Capita ilikuwa inashuka wakati 1985 mpaka mwaka 1993 ukiondoa mwaka 1991 , GDP per Capita ya Tanzania ilikuwa ikipanda,
na data ziko kama hivi ifuatavyo.

mwaka 1977, GDP per Capita ilikuwa 968 (TSH), mwaka 1978 ilikuwa 950 Shillings, mwaka 1979 ilikuwa 944 shillings, mwaka 1980 ilikuwa 933 shillings, mwaka 1981 ilikuwa 915 shillings, mwaka 1982 ilikuwa 885 shillings, mwaka 1983 ilikuwa 853 shillings, mwaka 1984 ilikuwa 835 shillings, mwaka 1985 ilikuwa 840 Shillings.

wakati mwaka 1986 ilikuwa 843 shillings, mwaka 1987 ilikuwa 860 shillings, mwaka 1988 ilikuwa 880 shillings, mwaka 1989 ilikuwa 885 shillings, mwaka 1990 ilikuwa 890 shillings, mwaka 1991 ilikuwa 860 shillings, mwaka 1992 ilikuwa 904 shillings na mwaka 1993 ilikuwa 915 shillings.

source of information.
Macro-economic trends in the Tanzanian economy

Kwa mujibu wa data hizo hapo juu, theluthi ya mwisho ya utawala wa Nyerere kiuchumi ilikuwa chini kabisa kulinganisha na sehemu kubwa ya Utawala wa mzee Ruksa. na nadhani ndo maana Watanzania wa Kawaida, wanamheshimu sana huyu mzee kwa sababu sera zake zilikuwa ni kwa ajili ya kuwagusa watu moja kwa moja.
 
Na wakati Mwinyi anaachia madaraka nchi ilikuwa imefilisika. Serikali ilikuwa haina uwezo wa kuwalipa wafanyikazi wake mishahara hata wafanyikazi wa Ikulu walikuwa hawajalipwa kwa miezi zaidi ya mitatu. Ndio Mkapa akaanzisha zoezi la ukusanyaji kodi kitu ambacho Mwinyi alikuwa ameacha kabisa kwa kuwapa maswahiba wake wafanyibiashara ruksa ya kutolipa kodi.
 
Gamba la Nyoka,

Wewe naona umezaliwa miaka ya 80 na haya ya Mwinyi umeyasikia tu au kuyaona ukiwa mdogo. Kuwa na vyama vingi ni NYERERE alilazimisha. Ni Mwinyi huyu alitaka hadi kujiongezea muda kwenye Urais kwa kuvunja katiba na hapo kazee ka Butiama kakaja na kummaliza. Kakasema "nchi haiwezi kuongozwa kwa maamuzi ya Kitandani....." Miaka hiyo Mama Sitti Mwinyi akisema " Gamba la Nyoka uwe au usiwe PM" basi itakuwa hivyo.

Jasusi:
Kipindi Mwinyi anaondoka, Tanzania ilikuwa na hali mbaya sana. Nakumbuka kuna mashine moja muhimu sana male Muhimbili iliyokuwa itumike kumtibu Dada yangu Mpenzi na Mumewe iliharibika. Yes, mwaka mmoja wote walikufa kwa ugonjwa ambao ungeliweza kutibiwa au hata kuwasaidia kuishi miaka kadhaa zaidi. Hili limenifanya NIMCHUKIE Mwinyi hadi kesho na sidhani kuna jambo lolote atafanya ili nimpende. Nilichukia kile KIBAO alinaswa hakikuwa cha Nguvu. Angelirushiwa VIATU kama Iraq na vikampata.........

Ningelikuwa na uwezo wa Kisiasa.................... Mungu asipe uwezo huo.
 
Gamba,
Ni kweli Mwinyi alikuwa rais wakati wa mfumo wa vyama vingi kuanzishwa. Lakini yeye alitaka Tanzania iendelee na chama kimoja baada ya maoni ya raia kuonyesha kuwa 80% walitaka kuendelea na mfumo huo. Nyerere akawatahadharisha kuwa wakichagua kuendelea na chama kimoja wataganda nacho na madhara yake ni makubwa zaidi kuliko kuachia vyama vingi. In theory Mwinyi was opposed but yes, the multiparty was established under his rule. PS. Hotuba zote za Nyerere na Mwinyi on multiparty unaweza kuzipata pale TBC.

Jasusi:

Wakati wa mwanzo wa vuguvugu la vyama vingi, Mwinyi hakuzungumza sana ni mfumo gani ufuatwe. Watu wengi walitaka chama kimoja lakini yeye alifuata ya Nyerere alivyofanya 1965. Alianzisha tume na kufuata maoni ya tume. Wala hakujiingiza sana kwenye mijadala ya vyama.
 
Jasusi:

Wakati wa mwanzo wa vuguvugu la vyama vingi, Mwinyi hakuzungumza sana ni mfumo gani ufuatwe. Watu wengi walitaka chama kimoja lakini yeye alifuata ya Nyerere alivyofanya 1965. Alianzisha tume na kufuata maoni ya tume. Wala hakujiingiza sana kwenye mijadala ya vyama.
Mkuu wangu, nilisoma hapa hapa JF jinsi Mwinyi alivyomtumia watu wa Usalama Nyerere kule Butiama wakiulizia kwa nini Nyerere anawaunga mkono Mrema na Seif Sharrif kuanzisha Upinzani. Na Nyerere akatishia kurudisha kadi ya chama ikiwa limewagusa akisema CCM sio mama yake mzazi. Sasa la kujiuliza kwa nini Mwinyi hakuwa mwepesi kukubali upinzani hata akawa na balls za kutaka kumpinga mwalimu - Yasome ya Sikonge vizuri!
 
Gamba la Nyoka,

Wewe naona umezaliwa miaka ya 80 na haya ya Mwinyi umeyasikia tu au kuyaona ukiwa mdogo. Kuwa na vyama vingi ni NYERERE alilazimisha. Ni Mwinyi huyu alitaka hadi kujiongezea muda kwenye Urais kwa kuvunja katiba na hapo kazee ka Butiama kakaja na kummaliza. Kakasema "nchi haiwezi kuongozwa kwa maamuzi ya Kitandani....." Miaka hiyo Mama Sitti Mwinyi akisema " Gamba la Nyoka uwe au usiwe PM" basi itakuwa hivyo.

Jasusi:
Kipindi Mwinyi anaondoka, Tanzania ilikuwa na hali mbaya sana. Nakumbuka kuna mashine moja muhimu sana male Muhimbili iliyokuwa itumike kumtibu Dada yangu Mpenzi na Mumewe iliharibika. Yes, mwaka mmoja wote walikufa kwa ugonjwa ambao ungeliweza kutibiwa au hata kuwasaidia kuishi miaka kadhaa zaidi. Hili limenifanya NIMCHUKIE Mwinyi hadi kesho na sidhani kuna jambo lolote atafanya ili nimpende. Nilichukia kile KIBAO alinaswa hakikuwa cha Nguvu. Angelirushiwa VIATU kama Iraq na vikampata.........

Ningelikuwa na uwezo wa Kisiasa.................... Mungu asipe uwezo huo.

Sikonge:

Sasa unamchukia Mwinyi kwa sababu ya hospitali ya Muhimbili. Tena hospitali yenyewe ni ya serikali. Je huoni kuwa serikali kuendesha hospitali ni kitu kilichodumaza sekta ya afya?

Wakina Doc. Kariuki wangeruhusiwa kufungua hospitali binafsi miaka ya 60, 70 na 80, uwezekano mkubwa ni kuwa mashine unazozitaja zingekuwepo na zingekuwa zinafanya kazi.

Kuiuliza serikali huduma ya afya, ujenzi wa barabara, kutoa elimu wakati hakuna resources za ku-sustain hizo huduma ni kujitakia matatizo.
 
Na wakati Mwinyi anaachia madaraka nchi ilikuwa imefilisika. Serikali ilikuwa haina uwezo wa kuwalipa wafanyikazi wake mishahara hata wafanyikazi wa Ikulu walikuwa hawajalipwa kwa miezi zaidi ya mitatu. Ndio Mkapa akaanzisha zoezi la ukusanyaji kodi kitu ambacho Mwinyi alikuwa ameacha kabisa kwa kuwapa maswahiba wake wafanyibiashara ruksa ya kutolipa kodi.

Mwinyi aliikuta nchi katika hali mbaya sana. Kumbuka wakati Mwinyi anaacha madaraka Watanzania wengi walikuwa katika hali nzuri ya kimaisha. Mwinyi hakukusanya kodi kwa sababu Watanzania wengi walikuwa hawana kipato.
Mwinyi aliweza kuwanufaisha Watanzania wengi kimaisha, kitu kilichomsaidia Mkapa kuweza kukusanya kodi. Foundation aliotuachia Mzee Mwinyi ni muhimu sana kwa taifa letu.
 
Mkuu wangu, nilisoma hapa hapa JF jinsi Mwinyi alivyomtumia watu wa Usalama Nyerere kule Butiama wakiulizia kwa nini Nyerere anawaunga mkono Mrema na Seif Sharrif kuanzisha Upinzani. Na Nyerere akatishia kurudisha kadi ya chama ikiwa limewagusa akisema CCM sio mama yake mzazi. Sasa la kujiuliza kwa nini Mwinyi hakuwa mwepesi kukubali upinzani hata akawa na balls za kutaka kumpinga mwalimu - Yasome ya Sikonge vizuri!

Hapa JF kila mtu ana-source zake. Na sioni mantiki yoyote ya Mwinyi kutuma watu wa Usalama kule Butiama wakati vyama vyenyewe vya upinzani vilikuwa vina watu wa Usalama wa kutosha.

JF kila mtu ana source za kuaminika na kila mtu ana ndugu usalama wa taifa. Tell me hao Usalama walimpeleleza vipi Nyerere?
 
Hapa JF kila mtu ana-source zake. Na sioni mantiki yoyote ya Mwinyi kutuma watu wa Usalama kule Butiama wakati vyama vyenyewe vya upinzani vilikuwa vina watu wa Usalama wa kutosha.

JF kila mtu ana source za kuaminika na kila mtu ana ndugu usalama wa taifa. Tell me hao Usalama walimpeleleza vipi Nyerere?
Zakumi,
Walioenda kumwona Mwalimu wakati wa Mwinyi walikuwa mawaziri wawili. Mmoja wa ulinzi na mwingine nadhani wa mambo ya ndani. Katika mazungumzo yao wakamwambia Mwalimu wametumwa na rais kumwuliza kwa nini anaunga mkono kuwepo upinzani. Mwalimu akasema kama huo ndio msimamo wa CCM basi nawarudishia kadi yenu. Waziri wa ulinzi akaruka akasema alikuwa amekuja kuona maendeleo ya nyumba anayojengewa na jeshi. Yakaisha. Hizi habari si ngeni.
 
Mwinyi aliikuta nchi katika hali mbaya sana. Kumbuka wakati Mwinyi anaacha madaraka Watanzania wengi walikuwa katika hali nzuri ya kimaisha. Mwinyi hakukusanya kodi kwa sababu Watanzania wengi walikuwa hawana kipato.
Mwinyi aliweza kuwanufaisha Watanzania wengi kimaisha, kitu kilichomsaidia Mkapa kuweza kukusanya kodi. Foundation aliotuachia Mzee Mwinyi ni muhimu sana kwa taifa letu.

Haki:

Mwinyi angeweza kukusanya kodi. Kwenye mahojiano na BBC alikubali kuwa Mkapa alifanya juhudi kubwa katika kukusanya kodi. Tatizo linalokuja hapa ni kuwa, watu wanafikiri kuwa kama Mwinyi angeweza kukusanya kodi basi maji yangekuwa bure. Hospital zingekuwa za maana. Hiyo sio kweli.

Huduma ya maendeleo ya jamii ni direct proportion na kipato cha watu. Hivyo nchi yenye kipato kidogo ukiilundikia kodi hili kudumisha huduma, utakachofanya ni kudumaza maendeleo tu.
 
Zakumi,
Walioenda kumwona Mwalimu wakati wa Mwinyi walikuwa mawaziri wawili. Mmoja wa ulinzi na mwingine nadhani wa mambo ya ndani. Katika mazungumzo yao wakamwambia Mwalimu wametumwa na rais kumwuliza kwa nini anaunga mkono kuwepo upinzani. Mwalimu akasema kama huo ndio msimamo wa CCM basi nawarudishia kadi yenu. Waziri wa ulinzi akaruka akasema alikuwa amekuja kuona maendeleo ya nyumba anayojengewa na jeshi. Yakaisha. Hizi habari si ngeni.

Jasusi:

Unaona usemi wako ulivyo tofauti na posti zingine hapo juu. Mwinyi kumuuliza Nyerere kwa kutumia proxy kwanini anaunga mkono upinzani ni tofauti kubwa sana na kusema kuwa Mwinyi alipinga vyama vingi.

Nakumbuka 1987, Nyerere akiwa Zambia alisema mfumo wa chama kimoja haufai. Alipokuja Tanzania alinyamaza. Baadaye walipobanwa akafafanua kwa kusema kuwa mfumo wa chama kimoja hauchangamshi mawazo na hauna check and balance.

Hivyo Nyerere alikuwa convert wa vyama vingi zamani. Na conversion yake ilikuwa ya kuwa vyama viwili vikubwa vyenye ideas za mvutano kama Republican na Democratic. Hakuwa na mpango wa vyama utitiri.
 
Jasusi:

Unaona usemi wako ulivyo tofauti na posti zingine hapo juu. Mwinyi kumuuliza Nyerere kwa kutumia proxy kwanini anaunga mkono upinzani ni tofauti kubwa sana na kusema kuwa Mwinyi alipinga vyama vingi.

Nakumbuka 1987, Nyerere akiwa Zambia alisema mfumo wa chama kimoja haufai. Alipokuja Tanzania alinyamaza. Baadaye walipobanwa akafafanua kwa kusema kuwa mfumo wa chama kimoja hauchangamshi mawazo na hauna check and balance.

Hivyo Nyerere alikuwa convert wa vyama vingi zamani. Na conversion yake ilikuwa ya kuwa vyama viwili vikubwa vyenye ideas za mvutano kama Republican na Democratic. Hakuwa na mpango wa vyama utitiri.
Zakumi,
' Hii ya Mwinyi kupinga Tanzania kuwa na multiparty mbona imo kwenye hotuba yake ya February 1992 wakati CCM ilipoanza mjadala huo? It was Mwalimu who put the nail in the coffin of one party system and you should have listened to the debate that followed the whole day on Radio Tanzania. You are right that Mwalimu had become a convert of multipartism much earlier after being disappointed by CCM's performance.
 
Mkandara kakuambia USOME UJUMBE WANGU VIZURI.

Hasira zangu kwa Mwinyi ziko mbili yaani kama alivyo Kikwete, tulimtegemea sana abadili mambo baada ya JKN. Ila yeye akaja akaleta madudu mazito zaidi. Akataka na kubadili Katiba ili atawale zaidi. Kama si yeye, Kikwete asingeliweza kuwa mgombea wa CCM. Kwa sasa ndiye kiongozi pekee mkubwa anayeweza kusema Kikwete STOP, ila ndiyo hivyo JANGALA.

Kuanza kusema hospital za akina Kairuki nk naona kweli wewe au ni dogo (samahani kama una umri wako zaidi ya 25) au umekulia kwenye familia ya wenyenazo. Kipindi kile bado zilikuwepo hospital private ila hawakuwa na mashine kubwa namna hiyo. Yeye kwa cheo chake alikuwa akitibiwa Agha Khan na mumewe akiwa ni Dr Wa Muhimbili Hospital, sasa sijui na yeye angelienda kwa akina Kairuki siyo? Ndiyo maana kwenye kila nchi, baadhi ya huduma inabidi zilipiwe na nchi. Hata Ulaya kwenyewe, huduma kama za Moyo ni Serikali inalipia maana kama ni mtu binafsi basi watashindwa wengi, sasa iweje kwa Tanzania miaka ya 90?

Maisha na pesa walizokuwa nazo, kwa wafanyakazi wa Serikali wakati ule ni wachache sana wangeliweza kulingana nao. Ila hata wao walipiga mahesabu gharama za kwenda nje na bila uhakika wa matokeo, wakaamua tu YAISHE na pesa wawaachie watoto. Private Hospital zilishakuwepo tayari na hao Agha Khan wenyewe ndiyo walim-direct aende Muhimbili maana wao hawana mtambo. Sasa unakuja kusema angelienda kwa akina Kairuki? Mkuu, usiache na wewe nikakuchukia bure kama Jangala wako unayemtetea.

Sikonge:

Sasa unamchukia Mwinyi kwa sababu ya hospitali ya Muhimbili. Tena hospitali yenyewe ni ya serikali. Je huoni kuwa serikali kuendesha hospitali ni kitu kilichodumaza sekta ya afya?

Wakina Doc. Kariuki wangeruhusiwa kufungua hospitali binafsi miaka ya 60, 70 na 80, uwezekano mkubwa ni kuwa mashine unazozitaja zingekuwepo na zingekuwa zinafanya kazi.

Kuiuliza serikali huduma ya afya, ujenzi wa barabara, kutoa elimu wakati hakuna resources za ku-sustain hizo huduma ni kujitakia matatizo.
 
Zakumi ni MWAMINI mambo kwa juu juu sana.

Mbona juzi tu hapa tumemsikia Kikwete akilaani SMS na kumbe kuna uwezekano mkubwa sana kuwa anafahamu ni nani alikuwa akiziandaa? Kubadili KATIBA pia hakusema yeye ila alikuwa akiwatumia Wazee wa Dar. Wakisema kitu yeye kakaa kimya.

Pa kuwatuma UWT inaweza kuwa na maana hiyohiyo ya kuwatuma MAWAZIRI maana wengi wao ni hao ma EX-UWT. Kama Mwinyi aifikia kutuma watu kuuuliza kwanini JKN anataka Vyama vingi, sidhani kama Mwinyi alikuwa na RAHA sana moyoni hadi akataka kujua zaidi. Lilimkera na akaamua kumtisha JKN. JKN akatema Cheche, watu wakagwaya. Kama haitoshi, akamfuatia baadaye kwenye swala la kubadili katiba. Akaandika kitabu na kufanya Conference. Kitabu kipo hapa JF kama hujakisoma, basi soma. JKN alisema wazi kabisa kuwa "........ Mwinyi ni Rais Dhaifu sana. Ila tusimuondoe maana tutaleta mkosi mbaya sana kwa Taifa. Tumwache amalizie muda wake aondoke maana Rais gani anafanya maamuzi yake Kitandani? PM akiamka anajiuliza, sijui jana wameamua (Mwinyi na Sitti ) niendelee kuwa PM au wameshanibadili ...."

Halafu leo hii mnakuja Kumwaga sifa eti aliona mbali, ataonaje Mbali wakati Sitti Mwinyi alikuwa kamziba?
Zakumi,
' Hii ya Mwinyi kupinga Tanzania kuwa na multiparty mbona imo kwenye hotuba yake ya February 1992 wakati CCM ilipoanza mjadala huo? It was Mwalimu who put the nail in the coffin of one party system and you should have listened to the debate that followed the whole day on Radio Tanzania. You are right that Mwalimu had become a convert of multipartism much earlier after being disappointed by CCM's performance.
 
Mkandara kakuambia USOME UJUMBE WANGU VIZURI.

Hasira zangu kwa Mwinyi ziko mbili yaani kama alivyo Kikwete, tulimtegemea sana abadili mambo baada ya JKN. Ila yeye akaja akaleta madudu mazito zaidi. Akataka na kubadili Katiba ili atawale zaidi. Kama si yeye, Kikwete asingeliweza kuwa mgombea wa CCM. Kwa sasa ndiye kiongozi pekee mkubwa anayeweza kusema Kikwete STOP, ila ndiyo hivyo JANGALA.

Kuanza kusema hospital za akina Kairuki nk naona kweli wewe au ni dogo (samahani kama una umri wako zaidi ya 25) au umekulia kwenye familia ya wenyenazo. Kipindi kile bado zilikuwepo hospital private ila hawakuwa na mashine kubwa namna hiyo. Yeye kwa cheo chake alikuwa akitibiwa Agha Khan na mumewe akiwa ni Dr Wa Muhimbili Hospital, sasa sijui na yeye angelienda kwa akina Kairuki siyo? Ndiyo maana kwenye kila nchi, baadhi ya huduma inabidi zilipiwe na nchi. Hata Ulaya kwenyewe, huduma kama za Moyo ni Serikali inalipia maana kama ni mtu binafsi basi watashindwa wengi, sasa iweje kwa Tanzania miaka ya 90?

Maisha na pesa walizokuwa nazo, kwa wafanyakazi wa Serikali wakati ule ni wachache sana wangeliweza kulingana nao. Ila hata wao walipiga mahesabu gharama za kwenda nje na bila uhakika wa matokeo, wakaamua tu YAISHE na pesa wawaachie watoto. Private Hospital zilishakuwepo tayari na hao Agha Khan wenyewe ndiyo walim-direct aende Muhimbili maana wao hawana mtambo. Sasa unakuja kusema angelienda kwa akina Kairuki? Mkuu, usiache na wewe nikakuchukia bure kama Jangala wako unayemtetea.

Sikonge:

Mfano wangu kuhusu Kariuki ni kwamba tulifanya makosa kutegemea serikali kwa kila kitu. Kama sekta binafsi zingeachiwa toka tumepata uhuru kuendelea basi tungekuwa mbali katika huduma mpaka za hospitali.

Numbers don't lie. Ukifanya statistical analysis ya huduma tunazotaka serikali ifanye bure, na uwezo wa serikali yenyewe things don't add up. Ni lazima tuwe realistic.


Nyerere alimpigia debe Mkapa. Lakini nikimlaumu Nyerere kwa madudu ya Mkapa nitafanya makosa makubwa. Mwinyi alipigia debe Kikwete, lakini kumlaumu Mwinyi kwa madudu ya Kikwete it does not add up.

Na baadaye utamlaumu Nyerere kwa kumpeleka Kikwete shule KWIKWIKWI. Kikwete mpuuzi tu, kwanini waliwaingiza wakina Rostam na Lowassa kwenye kampeni zake.
 
Back
Top Bottom