MWINYI Was A Visionary Leader

Shamu

JF-Expert Member
Dec 29, 2008
510
44
Thanks MR. Pres. Ally Hassan Mwinyi

Aliikuta nchi katika hali ngumu ya kimaisha, akaibadilisha nchi kwa kutufumbua macho, thanks Mzee wetu. Mzee Ruksa ni kiongozi wa kuigwa duniani kote. Tanzania ilikuwa haina demokrasia, lakini akatupa RUKSA tufanye tunavyotaka kwa misingi ya haki, na ukweli.

Leo Tanzania kuna uhuru wa vyombo vya habari, education, demokrasia ya vyama vingi, yote kwa sababu ya Mzee wetu MR. PRES. Ally Hassan Mwinyi. Mzee Mwinyi You are TRUE PRESIDENT. Tumshukuru Muumba wetu kwa kutupa A TRUE PRESIDENT.
 
Thanks MR. Pres. Ally Hassan Mwinyi

Aliikuta nchi katika hali ngumu ya kimaisha, akaibadilisha nchi kwa kutufumbua macho, thanks Mzee wetu. Mzee Ruksa ni kiongozi wa kuigwa duniani kote. Tanzania ilikuwa haina demokrasia, lakini akatupa RUKSA tufanye tunavyotaka kwa misingi ya haki, na ukweli.

Leo Tanzania kuna uhuru wa vyombo vya habari, education, demokrasia ya vyama vingi, yote kwa sababu ya Mzee wetu MR. PRES. Ally Hassan Mwinyi. Mzee Mwinyi You are TRUE PRESIDENT. Tumshukuru Muumba wetu kwa kutupa A TRUE PRESIDENT.

Akafungua madirisha ili tupate hewa safi lakini nzi nao wakepenya pia!
 
Akafungua madirisha ili tupate hewa safi lakini nzi nao wakepenya pia!

Hao nzi una maanisha mama Sitti alipokaribisha waarabu wakanunua zile mbuga na kulamba TAUSI kibao....Mwinyi aliongoza nchi akiwa kitandani.....
 
Namkumbuka sana kwa msemo huu:
Tulumbane kwa kushinanisha hoja wala si nguvu kwa kutumia nguvu ya hoja na si hoja ya nguvu
 
Exactly! He was a visionary Leader the nation had never experienced before. Nyerere alileta ukatoliki wake na kumrithisha mwanae mpendwa Mkapa. JK anajaribu kufuata nyayo za Mwinyi ingawa bado hajafanikiwa kuvivaa viatu vya Mwinyi vema. Marais bora nchini kwetu ni MWINYI, JK, Mkapa na wa mwisho ni Nyerere
 
Vision leader or visionary leader?...either way he wasn't....he brought this Kwere problem onto us

Mwili unao lakini unakonda kwa roho mbaya yako. Wema huna huna hata ihsani pia!!!! Usiwe mchoyo wa kukumbuka fadhira. Waulize walokuzidi umri mzee mwinyi alipewa nchi kutoka kwa mchonga ikiwa katika hali gani.
 
Hao nzi una maanisha mama Sitti alipokaribisha waarabu wakanunua zile mbuga na kulamba TAUSI kibao....Mwinyi aliongoza nchi akiwa kitandani.....

Pole sana, inaoneka nawe ni muathilika wa arabufobia (ugonjwa wa kuogopa waarabu). Wee umeona tausi tu ndio wanaolambwa!!!!! Vipi zile dhahabu kule geita ambazo zimekuwa zikilambwa na kiongozi aliyekuwa akiongoza nchi akiwa amesimama ambaye alikuja baada ya mwinyi; ua ni kwa vile zinalambwa na wasiokuwa waarabu?????
 
Exactly! He was a visionary Leader the nation had never experienced before. Nyerere alileta ukatoliki wake na kumrithisha mwanae mpendwa Mkapa. JK anajaribu kufuata nyayo za Mwinyi ingawa bado hajafanikiwa kuvivaa viatu vya Mwinyi vema. Marais bora nchini kwetu ni MWINYI, JK, Mkapa na wa mwisho ni Nyerere

Inategemea na uwezo wako wa uelewa. Mwinyi naweza kusema alikuwa rais mwenye matatizo kuliko rais yeyote hapa Tanzania. Lakini matatizo hayo hayakutokana na dini yake, Mkapa alikuwa rais mzuri kuliko Mwinyi lakini uzuri wake haukutokana na dini yake, JK tunafahamu urais wake ulivyo dini yale pia si tatizo. Tatizo ni kuwa aliingia ulingoni akiwa amefungwa kamba, mafisadi (wengi wao ni wakristo) wanadhibiti nchi kwa hiyo ameshindwa kuonesha uwezo wake wa utawala, ndio maana katika kipindi cha miaka mitano hajafanya kazi yoyote.
 
No, Not me ...

Nichangie kidogo kabla huu mjadala haujaelekea kwenye udini, kwa sababu naona unaelekea huko haraka ...

Naweza kusema matatizo tuliyo nayo sasa hivvio ya kutokujua tuko wapi, tunaelkea wapi yalianza hasa na Utawala wa Mwinyi. Aliyakuta matatizo ni kweli, kama ambavyo viongozi woye wanaoingia madarakani wa wanakuta matatizo. Ndiyo maana wanagombea na kuchaguliwa kutatua matatizo.

Mwinyi alitakiwa kuichukua nchi na kueindeleza bila kuvuruga yale mazuri aliyoyakuta. Kwa maana ya kutumia nguvu ya soko KWA MASLAHI YA NCHI HII, bila kuvuruga mihimili ya uchumi aliyoikuta. Kulikuwepo na viwanda kede kede, sasa hivi viko wapi? Huwezi kusema viwanda vya kutengeza nguo kwa kutumia pamba yetu vilikuwa havifai. Vivyo hivyo vile vya viatu, karatasi n.k. n.k.... Kama Nyerere alifanya alichoweza, basi ilitakiwa Mwinyi arekebishe makosa twende mbele. Alichofanya ni kutupa yote alojenga Nyerere, mazuri na mabaya kwa jumla ... hakuweza kuchekecha na kujenga contunuity fulani ya ujenzi wa nchi yetu. Mwinyi alikuwa na chance nzuri sana ya kufanya hivyo. HAKUFANYA.

Wengi wanaweza kumsifu Mwinyi kwa kujaza bidhaa madukani toka nchi za nje. Cha kujiuliza ni kama vitu hivyo vingeweza kujazwa toka kwenye viwanda vyetu, hata kama siyo vyote.

Wachina walire-form na kutumia nguvu ya soko kuboresha uchumi wao... sote tunajua walipo sasa.

Kwa kifupi, utawala wa Mwinyi ulikuwa mwanzo wa nchi yetu kurudi nyuma. We are yet to recover! Kwa sababu dira mimi bado siioni!

Visionary leader? Where is the vision?
 
Ni kawaida marais walio madarakani kupigwa madongo wakati watarajiwa na wastaafu hata wale ambao hawakupendwa, hupandishwa chati kwa nostalgia.

Hata George W. Bush kuna popularity poll imetoka majuzi inamuonyesha anapanda popularity anakuwa karibu sawa na Obama, wakati Obama anashuka. Ex-presidents do not have to govern, and soon people forget theiir weaknesses and misgovernment, and excuse them for the ones they remember, while praising them for their strong points.

Nani alifikiri George W. Bush angeweza kupanda popularity tena? Same thing with Mwinyi. Optical illusion.
 
No, Not me ...

Nichangie kidogo kabla huu mjadala haujaelekea kwenye udini, kwa sababu naona unaelekea huko haraka ...

Naweza kusema matatizo tuliyo nayo sasa hivvio ya kutokujua tuko wapi, tunaelkea wapi yalianza hasa na Utawala wa Mwinyi. Aliyakuta matatizo ni kweli, kama ambavyo viongozi woye wanaoingia madarakani wa wanakuta matatizo. Ndiyo maana wanagombea na kuchaguliwa kutatua matatizo.

Mwinyi alitakiwa kuichukua nchi na kueindeleza bila kuvuruga yale mazuri aliyoyakuta. Kwa maana ya kutumia nguvu ya soko KWA MASLAHI YA NCHI HII, bila kuvuruga mihimili ya uchumi aliyoikuta. Kulikuwepo na viwanda kede kede, sasa hivi viko wapi? Huwezi kusema viwanda vya kutengeza nguo kwa kutumia pamba yetu vilikuwa havifai. Vivyo hivyo vile vya viatu, karatasi n.k. n.k.... Kama Nyerere alifanya alichoweza, basi ilitakiwa Mwinyi arekebishe makosa twende mbele. Alichofanya ni kutupa yote alojenga Nyerere, mazuri na mabaya kwa jumla ... hakuweza kuchekecha na kujenga contunuity fulani ya ujenzi wa nchi yetu. Mwinyi alikuwa na chance nzuri sana ya kufanya hivyo. HAKUFANYA.

Wengi wanaweza kumsifu Mwinyi kwa kujaza bidhaa madukani toka nchi za nje. Cha kujiuliza ni kama vitu hivyo vingeweza kujazwa toka kwenye viwanda vyetu, hata kama siyo vyote.

Wachina walire-form na kutumia nguvu ya soko kuboresha uchumi wao... sote tunajua walipo sasa.

Kwa kifupi, utawala wa Mwinyi ulikuwa mwanzo wa nchi yetu kurudi nyuma. We are yet to recover! Kwa sababu dira mimi bado siioni!

Visionary leader? Where is the vision?

I absolutely agree with you for ur points,
kweli Mwinyi ameifanya nchi yetu kuwa kama jinsi ilivyoleo kutegemea kila kitu kutoka nje ya nchi,hata wembe,n.k. aliua viwanda karibu vyote wala hakutaka kuviendeleza il tanzania ijivunie na Made in tanzania ila akaweka ruksa ya kila kitu hata katika maswala nyeti ya uchumi,China wako mbali sana kwa sababu yaviwanda vyao wala si kitu chochote, je sisi tuko wapi leo? ni miaka 5o sasa lakini hata viwanda vilivyokuwepo vya kutengeneza nguo,viatu n.k leo vyote havipo....ooh eti tunasema tunaendelea,,,je ni kweli tanzania inaendelea?
Hivi maendeleo tuinayaangalia katika vigezo vipi? kuwa na traffik jam? building good house while depending on imoprtation for everything?
I dont know even what am I writing here maana sijui hii nchi inakwenda wapi na inatoka wapi?
ooh let me have dinner.
 
Thanks MR. Pres. Ally Hassan Mwinyi

Aliikuta nchi katika hali ngumu ya kimaisha, akaibadilisha nchi kwa kutufumbua macho, thanks Mzee wetu. Mzee Ruksa ni kiongozi wa kuigwa duniani kote. Tanzania ilikuwa haina demokrasia, lakini akatupa RUKSA tufanye tunavyotaka kwa misingi ya haki, na ukweli.

Leo Tanzania kuna uhuru wa vyombo vya habari, education, demokrasia ya vyama vingi, yote kwa sababu ya Mzee wetu MR. PRES. Ally Hassan Mwinyi. Mzee Mwinyi You are TRUE PRESIDENT. Tumshukuru Muumba wetu kwa kutupa A TRUE PRESIDENT.
Hakuna kitu, Mwinyi hana tofauti na JK wa sasa, Inamaana Gb yako ni ndogo na haina Antivirus kwani umeshindwa kukumbuka yanayo tokea huko Loliondo kwa sasa?
 
Vision leader or visionary leader?...either way he wasn't....he brought this Kwere problem onto us

Kwani hukubali kusema ukweli. Tanzania ya leo ni bora mara trillions compare ya wakati wa Nyerere. Umesahau unga wa Yanga? Umesahau Foleni ya kununua mafuta? Sema ukweli Mr.
 
Inategemea na uwezo wako wa uelewa. Mwinyi naweza kusema alikuwa rais mwenye matatizo kuliko rais yeyote hapa Tanzania. Lakini matatizo hayo hayakutokana na dini yake, Mkapa alikuwa rais mzuri kuliko Mwinyi lakini uzuri wake haukutokana na dini yake, JK tunafahamu urais wake ulivyo dini yale pia si tatizo. Tatizo ni kuwa aliingia ulingoni akiwa amefungwa kamba, mafisadi (wengi wao ni wakristo) wanadhibiti nchi kwa hiyo ameshindwa kuonesha uwezo wake wa utawala, ndio maana katika kipindi cha miaka mitano hajafanya kazi yoyote.


Mr.You don't have fact on what you said. Mwinyi alikuwa anasema "Utaweza wapi kumkamua MaziwaNg'ombe ambaye hana lishe bora? Mkapa aliweza kukusanya kodi kwa sababu Mwinyi aliweza kuwanufaisha Watanzania kimaslahi, kielimu, kiuchumi nk. Mwinyi aliikuta nchi TAABANI. Zungumza ukweli. Kuwa na Critical Thinking it doesnt mean you have to disagree on every issues, Mr. Use your knowledge to help others, Mr.
 
Mr.You don't have fact on what you said. Mwinyi alikuwa anasema "Utaweza wapi kumkamua MaziwaNg'ombe ambaye hana lishe bora? Mkapa aliweza kukusanya kodi kwa sababu Mwinyi aliweza kuwanufaisha Watanzania kimaslahi, kielimu, kiuchumi nk. Mwinyi aliikuta nchi TAABANI. Zungumza ukweli. Kuwa na Critical Thinking it doesnt mean you have to disagree on every issues, Mr. Use your knowledge to help others, Mr.


wengine kila kitu wanaangalia kiudini

ila wajiulize ni bara bara ngapi alizikuta taaban na ngapi alizitengeneza alipoondoka ?

tanzania kabla ya wakati wake hata tv ya taifa hakuna na binafsi ndo kabisa

foleni kwa kila kitu

hali ilikua sio nzuri wanaokumbuka wanajua watu walilia alipokua anatuaga haijawahi kutokea na hadi leo ni kipenzi cha watu
 
Unajua isingekuwa wake zao Mwinyi na Mkapa could have been praised forever
 
kwa ukweli tumshukuru mungu Tanzania tumejaaliwa na hazina ya viongozi bora na wenye wisdom ila tuongeze juhudi kwenye uchumi ili tuwe na maisha bora
 
No, Not me ...

Nichangie kidogo kabla huu mjadala haujaelekea kwenye udini, kwa sababu naona unaelekea huko haraka ...

Naweza kusema matatizo tuliyo nayo sasa hivvio ya kutokujua tuko wapi, tunaelkea wapi yalianza hasa na Utawala wa Mwinyi. Aliyakuta matatizo ni kweli, kama ambavyo viongozi woye wanaoingia madarakani wa wanakuta matatizo. Ndiyo maana wanagombea na kuchaguliwa kutatua matatizo.

Mwinyi alitakiwa kuichukua nchi na kueindeleza bila kuvuruga yale mazuri aliyoyakuta. Kwa maana ya kutumia nguvu ya soko KWA MASLAHI YA NCHI HII, bila kuvuruga mihimili ya uchumi aliyoikuta. Kulikuwepo na viwanda kede kede, sasa hivi viko wapi? Huwezi kusema viwanda vya kutengeza nguo kwa kutumia pamba yetu vilikuwa havifai. Vivyo hivyo vile vya viatu, karatasi n.k. n.k.... Kama Nyerere alifanya alichoweza, basi ilitakiwa Mwinyi arekebishe makosa twende mbele. Alichofanya ni kutupa yote alojenga Nyerere, mazuri na mabaya kwa jumla ... hakuweza kuchekecha na kujenga contunuity fulani ya ujenzi wa nchi yetu. Mwinyi alikuwa na chance nzuri sana ya kufanya hivyo. HAKUFANYA.

Wengi wanaweza kumsifu Mwinyi kwa kujaza bidhaa madukani toka nchi za nje. Cha kujiuliza ni kama vitu hivyo vingeweza kujazwa toka kwenye viwanda vyetu, hata kama siyo vyote.

Wachina walire-form na kutumia nguvu ya soko kuboresha uchumi wao... sote tunajua walipo sasa.

Kwa kifupi, utawala wa Mwinyi ulikuwa mwanzo wa nchi yetu kurudi nyuma. We are yet to recover! Kwa sababu dira mimi bado siioni!

Visionary leader? Where is the vision?


kwanza usiwe mshabiki kipofu

mwinyi aliachiwa nchi ikiwa tayari viwanda vingi vishakufa na amavyo vilikua vinaoperate viko ICU huo ndio ukweli wa mambo

na bidhaa ambazo zilikua zikizalishwa hazikuweza kukidhi mahitaji maana vitu vilikua kidogo japo pia ni low quality kwa mfano hivyo viwanda vya vitambaa ukivaa ukifua kinanyumbuka utapenda

mwinyi na wenziwe ndio wakaja na azimio la zanzibar kuinusuru nchi tuwe wa kweli
 
Back
Top Bottom