Chawa katika ubora wake.CCM kipo ndugu miaka 70 mbele lengo letu kuakikisha kinabaki pekee Duniani👈
Yani tangu uhuru mpaka kufikia karne ya 22 bado wananchi wanaimani nacho
tena kubwa sana👈
Ukweli ni CCM tu👈
ndio tumaini la kweli kwa yoyote mwenye nia ya kutafuta fursa za kuwaongoza Watanzania
wenzake✍️