Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,337
- 8,782
Huyo ni CUF au,CCM wote nyie mnapaswa mfeCcm wote ni takataka..Majaliwa K. Majaliwa a new Prezida
Huyo ni CUF au,CCM wote nyie mnapaswa mfeCcm wote ni takataka..Majaliwa K. Majaliwa a new Prezida
Taka taka ,ccm yote ni garbage .Kama unatumia nguvu kujipachika madarakani wewe ni takataka tu ,hu na legitimacy Kama ilivyo takataka ccm
Mh Tundu Lissu ndio atakuwa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wenye zamu yao,hawatakubali!Amini hili nakuambia Mwinyi atakuwa Rais wa JMT 2030-2040 kwa sababu alikuwepo kwenye utaratibu kwa muda mrefu sana, na mwaka 2030 Tanzania inahitaji Rais mponya watu mvunja makundi
Safari hii Lissu atawatoa kamasi. Mwendo ni ule ule No Reform, No Election.
Hakuna free lunch.
Aliyepeleka Tanzania uchumi wa kati ni nani?Ipo Kwa sababu za kijinga na za kipumbavu zinazoangalia upuuzi wa dini badala ya uwezo wa mtu.
Hao ma RC ni pumbavu watakuja kuvuruga maisha ,walau Mkapa kidogo lakini waliosalia wote kuanzia Nyerere walikuwa washenzi tuu.
Utakuja kuona uwekezaji utapungua,mdomo sana na upuuzi mwingine
KAMA WEWE SIYO MMOJA WAPO WA RAIA FEKI BASI UNA VIDIONI NDOGO SANA KIAKILI ...DARAJA LA KUITWA ANITHI WA AKILI... Nikweli kama nilivyo wahi kusema kuwa genge la raia feki linaloshika nchi kwa sasa ni rahisi kumtamani mwinyi awe Rais kwa vigezo vifuatavyo ..Kwa utulivu wake wa namna ya kuyaunganisha makundi mbalimbali ndiye Rais wa Tanzania 2030-2040
Rais wa Tanzania ndiyo rais wa bara ...panya buku tumia akili..muungano ulisha vunjwa na wazanzibar kwa kujitungia sheria za kinchi kinyume na muungano hivyo rais wa Tanzania ndiyo rais wa bara ..Zanzibar wana rais wao tayariUnaandika maandishi mengi yaliyojaa ujinga mtupu. Waambie ndugu zako hatuna Rais wa Bara.
Jinsia ya mtoto hatuchagui mkuu. Mtoto yoyote atakayetoka inshallah. Lakini kwenye uongozi ambao tunaweza kuamua nani aongoze. Hii sequence ya kidini uenda kukawa na sababu nyuma ya pazia... wa kwanza akizaliwa wa kiume, wa pili wa kike, wa tatu wa kiume, wa nne wa kike kwa hiyo tayari ni kanuni wa tano awe wa kiume?
😠
Huyu ni mtoto Pendwa wa wagalatiaWenye zamu yao,hawatakubali!
P
Ndiyo akili zao zinavyo tamani ...ndiyo maana wanafanya bidii kubwa sana ya 👉 KUWAUA NA KUWATEKA NA KUWAFUNGULIA KESI WAZALENDO.... Samia na wahuni wenzie kina Rostam azizi, Kwao uzalendo ni mavi na mzalendo ni adui.Wanatamani Tanganyika iendelee kuwa koloni la Zanzibar ili looting ya resources za Tanganyika iendelee kutumika kuinufaisha Zanzibar kama inavyofanyika sasa hivi na Watanganyika wazidi kutekwa, kuuawa, kudhalilishwa, kubagazwa na kudhulumiwa huku wakisimangwa kuwa amani ni muhimu kuliko haki.
Nimesema uko juu lakini wananibishiaWenye zamu yao,hawatakubali!
P
Hata Marekani walikuwa wakiamini kwamba mtu mweusi asingekuja kuwa rais wa Marekani lakini historia iliandikwa.Futa hii delete kabisa. Tundu mwisho wake ni CDM tu
Taka taka ukiwa kwenye ubora wako ,kinyesi kinachotembea ,RubbishUkishakuwa chadema tu, jini cheketu lazima akae kichwani MWAKO😀😀!ili akuchetue ukifanya masihara kwa ghadhabu za cheketu unaweza hata kujipiga kichwa chako kwa nondo au kujilaza kwenye high way!..
Tumekusikia mpambe wa H. Mwinyi kwakuwa na yeye Mtanzania anafaa kutuongoza ingawa hii siyo nchi ya Kifalme.
Kwa sasa Mwinyi hayupo karibu na Team za ushindi za bara hiyo kutokana na kiti alichokalia ingawa anayo fursa ya kujipambanua ikiwa atahitajia nguvu kubwa sana pamoja na ushawishi hii kwa kusambaza Teams kwa Tanganyika.
H. Mwinyi anabebwa na raisi wa sasa Samia Suluhu Hassan kwa kigezo cha usalama wake na kutosumbuliwa iwe kwa maneno au vitendo toka kwa mfumo utakaokuja hivyo anayo turufu ya kumpendekeza H. Mwinyi na ikizingatiwa wazee wa maamuzi/washauri amebakia mmoja tu J. Kikwete hivyo inakuwa room nzuri kwa Mwinyi kutoboa.
2030-2040 vita ya Uraisi ni kubwa sana kwani kuna wahitajia wamezimwa ndoto kwa vyeo vinavyo kinzana na takwa la chama chao(VP & PM) hivyo watakuwa tayari kumwaga mboga ili kukomoana kama vile kwa EL na JK kisha waje wamtoe mtu asiye tegemewa na labda hata kati ya Mawaziri walioachwa awamu hii kina JM, HB,Dr wa Kisarawe n.k.
Hivyo tathmini ya 2030 bado ngumu sana zaidi ya kuumizana sana hapa kati kwa Fitna, hila, uchawa pro maxx ili mradi jina lichomoze kwa wananchi na kupata huruma ya wanaCCM.
Uraisi ni kuwa na mikakati thabiti na kundi zuri la kujitoa kwa kugawana majukumu ili kufikia kiu ya kuwatumikia wananchi na kuifanya Tanzania iliyo bora.
Hata Marekani walikuwa wakiamini kwamba mtu mweusi asingekuja kuwa rais wa Marekani lakini historia iliandikwa.
Duniani hakuna kisichowezekana na kuna siku muislam atakuja kuwa rais wa Marekani na ataongoza kwa sheria za Marekani na iko siku pia waziri Mkuu wa Uingereza atakuja awe ni muislam na ataongoza kwa sheria za Uingereza.
Kwa Tanzania huu ndio utawala wa mwisho kwa chama cha mapinduzi na baada ya 2030 hicho chama kitakufa kabisa na itabaki tu kwenye historia kwamba kulikuwa na chama kilichokuwa kikiitwa ccm.
Utani tag siku CCM ikitoka madarakaniHata Marekani walikuwa wakiamini kwamba mtu mweusi asingekuja kuwa rais wa Marekani lakini historia iliandikwa.
Duniani hakuna kisichowezekana na kuna siku muislam atakuja kuwa rais wa Marekani na ataongoza kwa sheria za Marekani na iko siku pia waziri Mkuu wa Uingereza atakuja awe ni muislam na ataongoza kwa sheria za Uingereza.
Kwa Tanzania huu ndio utawala wa mwisho kwa chama cha mapinduzi na baada ya 2030 hicho chama kitakufa kabisa na itabaki tu kwenye historia kwamba kulikuwa na chama kilichokuwa kikiitwa ccm.