Hatuitaki ccm wala mwanaccm yoyote. Kama mnamtaka basi ni awe mwenyekiti wenu huko huko ccm na sio zaidi ya hapo.Kwa utulivu wake wa namna ya kuyaunganisha makundi mbalimbali ndiye Rais wa Tanzania 2030-2040
Kwa sasa ccm imefikia mwisho, labda muendeleze umwagaji mkubwa wa damu, lakini sioni 2030 ccm ikitoboa. Tunza hii post.Mwinyi ni presidential material, rekodi yake safi pamoja na uadilifu vinambeba.
Changamoto yake ni kuwa mtangulizi ni mzanzibari, kuwashawishi wapigakura wa bara kumchagua mzanzibari back to back, tena katikati ya minong'ono ya uzanzibari na utanganyika itakuwa ni mtihani.
Hata hivyo akigombea, naliona jina lake likiingia tatu bora ya NEC. Kama hali ikibaki hivi hivi ilivyo hii ngoma inaweza kuwa ya Dr. Nchimbi au Kasim Majaliwa.
Wewe Kwa akili zako dini zenu zinanisaidia nini au zimekusaidia nini wewe zaidi ya kuwa mjinga?Huwezi kuwatukana Marais wakristo na kuwatukana wakristo wote huku ukiwasifu waislam halafu unakana uislam na udini wako.
Hakuna utaratibu wa hivi, nachojua mpango wa Nyerere ilikua akitoka Rais wa Bara anaingia wa zanzibar sema tu ile 2005 ulifanyika uhuni wakamnyima Salim Ahmed Salim ambaye angekua mgombea wa CCM 2005.Lengo waulize walioweka huo utaratibu. Mimi tangu nipo mdogo naona sequence ipo hivyo.
Siku zote huwa mnasema hivi hivi. Ilikuwa hivi wakati wa peak ya Mrema, ikawa hivyo wakati wa Lipumba, akaja Mbowe, akaja Slaa, akaja Lowasa na sasa Lisu. Lakini CCM ni ile ile.Kwa sasa ccm imefikia mwisho, labda muendeleze umwagaji mkubwa wa damu, lakini sioni 2030 ccm ikitoboa. Tunza hii post.
Hakujawahi kutokea watu kugomea uchaguzi kama trend ya 2020, na 2025 ndio ikawa funga kazi. Ni lini uliona umwagaji mkubwa wa damu wa hivi kwa kugomea ccm kupora chaguzi?Siku zote huwa mnasema hivi. Ilikuwa hivi wakati wa peak ya Mrema, ikawa hivyo wakati wa Lipumba, akaja Mbowe, akaja Slaa, akaja Lowasa na sasa Lisu. Lakini CCM ni ile ile.
Huyo ataishia zenji huko huko labda uchaguzi uwa kama wa mwaka jana ashinde kwa asilimia 97 ilihali watu hawakuenda kutiki
Hakujawahi kutokea watu kugomea uchaguzi kama trend ya 2020 na 2025 ndio ikawa funga kazi. Ni lini uliona umwagaji mkubwa wa damu wa hivi kwa kugomea ccm kupora chaguzi?
Unapowasifu waislam pekee bila kukosoa maovu yao ya wazi ni dhahiri una mlengo wa kidini jambo ambako ni hatari kwa mustakabli wa Taifa letu.Wewe Kwa akili zako dini zenu zinanisaidia nini au zimekusaidia nini wewe zaidi ya kuwa mjinga?
Nawasifu Waislamu Kwa sababu hata wewe unajua kwamba Waislamu wakiongoza maisha yanakuwa Mazuri,Nchi hii matajiri wakubwa ni Waislamu tafsiri yake ni watu wanaopenda nakujali ustawi.
Maovu gani? Kama yapo wewe yakosoe lakini Kwa Mimi mtafutaji napenda Uongozi waoUnapowasifu waislam pekee bila kukosoa maovu yao ya wazi ni dhahiri una mlengo wa kidini jambo ambako ni hatari kwa mustakabli wa Taifa letu.
Hao waislam wako unaowasifu ,, watendaji wa chini wanaofanikisha hizo sifa ni wa madhehebu yote wakristo na wapagani wamo.
Kama Serikali inayoongozwa na waislam imeuwa maelfu ya Watanganyika na bado unawasifu basi wewe ni Mwaipopo muislam feki.
Mimi husifu sana na hukosoa pia. Hatuongozwi na malaika.Maovu gani? Kama yapo wewe yakosoe lakini Kwa Mimi mtafutaji napenda Uongozi wao
Hao walikuwa kituo gani cha kupigia kura? Au mnadhani hatujui hiyo nyomi ilikuwa inapatikana vipi, na lengo lake lilikuwa nini? Lete picha ya kituo cha kura na utaje ni wapi chenye watu 30 walioko kwenye mstari wa kura.Wamegomea watu ✍️
au niww ndio umegomea na wenzio wachache!! Lkn Watanzania tulienda kupiga kura kwa Amani kabisa👈
Tutakuwa mafala sana watu wa bara tukikubali huu ushambaKwa utulivu wake wa namna ya kuyaunganisha makundi mbalimbali ndiye Rais wa Tanzania 2030-2040
Hao walikuwa kituo gani cha kupigia kura? Au mnadhani hatujui hiyo nyomi ilikuwa inapatikana vipi, na lengo lake lilikuwa nini? Lete picha ya kituo cha kura na utaje ni wapi chenye watu 30 walioko kwenye mstari wa kura.