Mwili wa Samweli Sitta wawasili JNIA

Mwili wa Samweli Sitta wawasili JNIA

MSIBA WA SITTA: Ndege iliyobeba mwili wa marehemu Spika Mstaafu Samwel Sitta imewasili Dar adhuhuri hii, Makamu wa Rais Samia Suluhu awaongoza wananchi kuupokea.
FB_IMG_1478788185065.jpg
 
nenda kaulize mkuu ukifa huna thamani
Huyu hajui tu, maiti inatambulika kama mzigo wa kawaida tu. inaingizwa kwenye manifest, inafanyiwa declaration na clearing agent na hs code kabisa. afisa wa TRA anakagua, na maofisa wengine wa afya nk. inatolewa cargo release order ndo unatoka.
ukishatolewa nje ndo unakuwa na thamani baada ya kufika kwa wahusika.
 
Tangulia Mzee wangu Sitta...!!

I will really really miss you..!! Pumzika baba..!!

Uuuuuuwiiii uuuuuuuwiiiiiiiiiii...
uuuuuuhwiiiiiii...

Munguuuu eeeeehhh... uuuuuwwiiiiii... daaahh, siamini aiseee.. dunia hii tunapita kweli.. daah..



Basi,basi nyamaza eeh, iiiih nyamaza eeeh, iiiiih nyamaza eeeh
 
Pole sana mama Sitta , maana pia mbele yako kuna kazi ya kutambua watoto wa mzee ambao hukuwazaa wewe , pole sana mama Mungu akutie nguvu
 
Muwe mnauliza basi.Hiyo ndege haijakodiwa,imekuja kama "Scheduled Flight" ambayo safari zake kati ya Dubai to Dsm to Dubai huwa ni kila siku.Hufika saa 0910 alasiri na kuondoka saa 1145 jioni.
Ndege hii ni ya abiria,lkn hubeba pia na mizigo.Na maiti hutambulika kama "mzigo",hivyo huja ikiwa imewekwa kwenye container ndogo kama mizigo mingine.

Huu ndio mwisho wa thamani ya mwili,mwili uliundwa kwa nyama....unaondoka kama abiria unarudi kama mzigo.
Tuyapiganie yale yaliyo ya roho,maana kiimani roho huendelea hata baada ya mwili kutoka.Haya yaliyo ya mwili ni ubatili,tena ubatili mtupu.

I will ba back!!To say Farewell to u!!Roho yako ipate pumziko la Amani,ushiriki kalamu Takatifu na wale wote waliopigana vita vya mwili na roho wangali hai.
Umeongea kwa falsafa ya hali ya juu sisi binadamu tupunguze majivuno
 
Huyu hajui tu, maiti inatambulika kama mzigo wa kawaida tu. inaingizwa kwenye manifest, inafanyiwa declaration na clearing agent na hs code kabisa. afisa wa TRA anakagua, na maofisa wengine wa afya nk. inatolewa cargo release order ndo unatoka.
ukishatolewa nje ndo unakuwa na thamani baada ya kufika kwa wahusika.
Na kodi ya anko inalipwa am a?
 
Comment nyingi za kebehi zinaonesha jinsi binadamu tunavyochukulia kifo siku hizi Kama ni jambo la kawaida kawaida tu.

Buriani Mzee Sitta tena Buriani ya kuonana Mwanasiasa Nguli
 
Pole sana mama Sitta , maana pia mbele yako kuna kazi ya kutambua watoto wa mzee ambao hukuwazaa wewe , pole sana mama Mungu akutie nguvu

Ningekuwa Ndugu wa Karibu wa Familia ya Mzee Sitta ningeshauri Mtu fulani asipewe fursa ya Kuzungumza Kwan huenda angerudia aliyoyafanya kwa Dr. Masaburi!
 
Comment nyingi za kebehi zinaonesha jinsi binadamu tunavyochukulia kifo siku hizi Kama ni jambo la kawaida kawaida tu.

Buriani Mzee Sitta tena Buriani ya kuonana Mwanasiasa Nguli
Hapana ni kuelimishana tu
 
Apumzike alikopangiwa na mungu wake.Maana una mengi mazuri uliyoyatenda
 
Comment nyingi za kebehi zinaonesha jinsi binadamu tunavyochukulia kifo siku hizi Kama ni jambo la kawaida kawaida tu.

Buriani Mzee Sitta tena Buriani ya kuonana Mwanasiasa Nguli
Marehemu aliwakebehi Watanzania na Maaskofu wetu akidhani hii dunia ni yake na angeishi milele, hastahili heshima yoyote mtu huyu.

Kiukweli kabisa kama binadamu tukiweka kando unafki mwili wa Sitta unapaswa kuzikwa na City au na Masheikh.
 
Back
Top Bottom