Bavicha mnapenda kujiegemeza kwenye kodi ili kuhalalisha madai yenu kana kwamba hiyo kodi mnalipa peke yenu.Gharama ya kukodi huo mdege sijui ni kodi yangu!!!!?
Mbona hamuulizi viongozi wenu wanalipa pango milioni 60 kwa mwezi kwa kutumia ruzuku ambayo pia ni kodi yetu