Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,114
- 32,950
Khee, kura ya maini tena?Kura ya maini ya katiba mpya itakapo pingwa na yeye pia atapiga
Khee, kura ya maini tena?Kura ya maini ya katiba mpya itakapo pingwa na yeye pia atapiga
Tena unakuwa cleared kama mizigo mingine pale swissport.nenda kaulize mkuu ukifa huna thamani
We uko kijiji gani?umeambiwa Emirates bado unauliza kukodi ndege.Gharama ya kukodi huo mdege sijui ni kodi yangu!!!!?
na wanakurusha kwenye zile lifi za kusukumia mizigo kama hawajafunga vizuri uanweza chomokaTena unakuwa cleared kama mizigo mingine pale swissport.
AmenMuwe mnauliza basi.Hiyo ndege haijakodiwa,imekuja kama "Scheduled Flight" ambayo safari zake kati ya Dubai to Dsm to Dubai huwa ni kila siku.Hufika saa 0910 alasiri na kuondoka saa 1145 jioni.
Ndege hii ni ya abiria,lkn hubeba pia na mizigo.Na maiti hutambulika kama "mzigo",hivyo huja ikiwa imewekwa kwenye container ndogo kama mizigo mingine.
Huu ndio mwisho wa thamani ya mwili,mwili uliundwa kwa nyama....unaondoka kama abiria unarudi kama mzigo.
Tuyapiganie yale yaliyo ya roho,maana kiimani roho huendelea hata baada ya mwili kutoka.Haya yaliyo ya mwili ni ubatili,tena ubatili mtupu.
I will ba back!!To say Farewell to u!!Roho yako ipate pumziko la Amani,ushiriki kalamu Takatifu na wale wote waliopigana vita vya mwili na roho wangali hai.
Mchango wa maafaGharama ya kukodi huo mdege sijui ni kodi yangu!!!!?
Mkuu umeandikaje vile?Kura ya maini ya katiba mpya itakapo pingwa na yeye pia atapiga
Yaani ukishakufa bwana, unakuwa kama mzigo huna tofauti na maboksi ya pichu kutoka Dubai, China, Thailand. Hivi Sitta ndo leo wa kuchanganywa na mizigo hovyohovyo? Ama kweli Mungu siyo Sitta!!hawakodi wanalipia kama mzigo
kweli mkuuYaani ukishakufa bwana, unakuwa kama mzigo huna tofauti na maboksi ya pichu kutoka Dubai, China, Thailand. Hivi Sitta ndo leo wa kuchanganywa na mizigo hovyohovyo? Ama kweli Mungu siyo Sitta!!
hawakodi wanalipia kama mzigo
fact about lifeBinadamu sie sio kitu, basi tu tunajidai kiburi but we are nothing....imagine leo hii watu wanakuweka kundi moja na mizigo kisa umekua mzoga. Inanikumbusha siku nimepigiwa simu baba amefariki tunaanza kujadili tutauhifadhi mwili vipi..nikasema yaani mzazi wangu leo tunaanza kutafakari namna ya kumhifadhi hadi mazishi yatakapofanyika?
All in all hua naipenda sana hii "...do not take life so seriously, you will never get out of it alive...."
dah!! flight Cargo miss chagga unadhambi ujue