Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Ndege ya Emirates iliyobeba mwili wa marehemu Spika mstaafu, Mhe. Samwel Sitta yawasili uwanja JNIA saa 9:05 alasiri. mchana.
Video
Mke wa Marehemu Mzee Samuel John Sitta, Mama Magret Simwanza Sitta akiwa ameambatana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mara baada ya mwili wa marehemu kutua katika uwanaja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar
Askari wa Vikosi vya Usalama wakiwa wamebeba mwili wa Mzee Samuel John Sitta mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere leo.
Video
Mke wa Marehemu Mzee Samuel John Sitta, Mama Magret Simwanza Sitta akiwa ameambatana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mara baada ya mwili wa marehemu kutua katika uwanaja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Jijini Dar
Askari wa Vikosi vya Usalama wakiwa wamebeba mwili wa Mzee Samuel John Sitta mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere leo.